Hawa jamaa bhana kuna uzi huko wamevamia ushakosa muelekeo!Nawaona tu kwa mbali Team Toyota mkianza kuusogelea uzi ili kuja kuwakatisha tamaa wasio tumia magari jamii ya Toyota.
Sasa hivi kuna travel restrictions hadi wakilegeza. Lakini ukija jiandae kisaikolojia usije ukashikwa na cardiac arrest kwa kuona iyo collection yangu za super cars.Nitumie tiketi ya ndege,andaa makazi yangu kwa siku tatu nitakazokuja kukagua hio gari.
Sawa mkuu...starehe yangu kuzihudumia tuSasa hivi kuna travel restrictions hadi wakilegeza. Lakini ukija jiandae kisaikolojia usije ukashikwa na cardiac arrest kwa kuona iyo collection yangu za super cars.
Alitaka tujue ana gari aina ya Nissan XtrailHakuna mtu atakaye kutengenezea gari jamii forum zaidi ya wewe kutafuta fundi aliye karibu nawe akutatulie tatizo
Kwa nyongeza Nisan xtrail ni gari zinazo aumbua wengi sana na wakati mwingine husumbua hata ikiwa mpya,wengi wao wameto baadhi ya spare nyingi na kufunga za Rav4 hasa Engine na gearbox
Air Mass Flow Sensor..! Unaweza kuisafisha au kuibadili kabisa mkuuHabar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo
Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Kama ni auto angalia hydraulic fluid kwenye gearbox kama ipo yakutosha. Tatizo bilashaka ni gearboxHabar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo
Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Habar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo
Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Shukrani Mkuu.Mcheki huyu jamaa Jitu la mirabaminne
Gearbox haiungurumi mkuu.Kama ni auto angalia hydraulic fluid kwenye gearbox kama ipo yakutosha. Tatizo bilashaka ni gearbox
Niliwahi kupata tatizo kama hilo kwenye xtrail, fundi alibadilisha relay tatizo likaisha. Japokuwa wakati mwingine linasababishwa na fuse.Habar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo
Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Nipo Moro fuse nimebadili imekubariKwanza pole mkuu. Kama engine haikuoshwa then tatizo lako halijasababishwa na aliyeosha gari kama walivyosema wadau wengine.
Sijajua upo mkoa gani. Ila kam upo Dar nipigie 0621 221 606. Tupime tuone shida ni nini.
kuna Mtu anakuita kule kwenye Uzi wangu ukampe Hiyo gariOkh mkuu shida ilikuwa fuse
Team Nissan acheni uoga jamani😁😁😁 tunapita tu kukagua shamba darasaNawaona tu kwa mbali Team Toyota mkianza kuusogelea uzi ili kuja kuwakatisha tamaa wasio tumia magari jamii ya Toyota.
OkayNipo Moro fuse nimebadili imekubari
Asante kwa kushare nimejifunza kituOkh mkuu shida ilikuwa fuse