Msaada wa gari yangu

Msaada wa gari yangu

Hakuna mtu atakaye kutengenezea gari jamii forum zaidi ya wewe kutafuta fundi aliye karibu nawe akutatulie tatizo

Kwa nyongeza Nisan xtrail ni gari zinazo aumbua wengi sana na wakati mwingine husumbua hata ikiwa mpya,wengi wao wameto baadhi ya spare nyingi na kufunga za Rav4 hasa Engine na gearbox
Alitaka tujue ana gari aina ya Nissan Xtrail
 
Habar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo

Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Air Mass Flow Sensor..! Unaweza kuisafisha au kuibadili kabisa mkuu
 
Habar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo

Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Kama ni auto angalia hydraulic fluid kwenye gearbox kama ipo yakutosha. Tatizo bilashaka ni gearbox
 
Habar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo

Msaada tafadhali
View attachment 1696451

Kwanza pole mkuu. Kama engine haikuoshwa then tatizo lako halijasababishwa na aliyeosha gari kama walivyosema wadau wengine.

Sijajua upo mkoa gani. Ila kam upo Dar nipigie 0621 221 606. Tupime tuone shida ni nini.
 
Habar wakuu, Jana nimepata shida kwenye gari baada yakutoka kuosha niliiwasha vizuri nikaondoka nikapaki, Sasa baada yakupaki nawasha gari inawaka inakaa sailensa vizuri kabisa lakini lakini nikikanyaga mafuta hailesi iko sailensa tuu nakanyaga mguu wamafuta mpaka mwisho inaongeza kwambali sailensa lakin hailesi kabisa
Gari yangu ni Nissan xtrail, inatumia sensa kwenye mafuta haina waya kebo

Msaada tafadhali
View attachment 1696451
Niliwahi kupata tatizo kama hilo kwenye xtrail, fundi alibadilisha relay tatizo likaisha. Japokuwa wakati mwingine linasababishwa na fuse.
 
Back
Top Bottom