Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

We.mwanaume umaskini unakusumbua...elfu hamsin ndio unafuatilia mpk keroooo,tafuta kwanza hela brooooo ukipata tutakuambia Cha kufanyaaa
Ebenezer siri ya mafanikio ni kuheshimu pesa sasa wewe kwako 50000 waona ndogo eeh huenda bado unakula kwa mama
 
Noo huyu mkewe inaonekana ana vitu vingi kavitunza moyoni ndio maana ile kaulo ya kusema leo ndo mwisho wa ndoa hawezi kusema mwisho wa ndoa kwa kikosa hiki tu, hawa ndani ya nyumba kutakua na chokochoko nyingi ambazo huwa hazisolviki
Kwakifupi jamaa inaone Kana Nimtu asiye puuzia hata vidogo tabia hii inamkera mkewe

Mke Ana amini wanacho kitafta nicha kwao wote nahata yeye Ana mamlaka juu ya kile wanacho miliki lakini yeye jamaa Ana amini kila kitu nichakwake nayeye ndiyo mwenye mamlaka

Hili Jambo linamkela mkewe Ana hisi Hana mamlaka juu ya Mali zao ambazo pengine Ana mchango mkubwanLakini mume haupi kipaumbele mchango wa mkewe
na

huenda tatizo hili nila mda mlefu Kama usemavyo lakini mke bado Ana mpenda mume chamsingi warekebishe tofauti zao ndogo ndogo
 
Mbembeleze taratibu jishushe, alafu umtomb€€€€€ weee uuuhh vizuri kabisa, kesi inaisha na hutasikia anataka kuondoka au talaka, atakulalia kifuani na mpige cha pili, ataacha kabisa kiburi au dharau, matatizo mengine hamuwatomb1 vizuri wake zenu, alafu mnatuletea matatizo kwenye jamii na watoto wanaanza pata shida, mpe mapenzi ya moto moto, kelele zote kwisha. Nyie vijana mnaokutana tu sijui Facebook au mitandaoni ni shida sana.
 
Vitu vikiwa chini ya kampuni ndo huwezi kugawana na mke?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Piga tena atakaa vizuri maana kuna junction inayounganisha ubongo wa mbele na ubongo wa kati imelegea kidogo baada ya kumpiga usiku ila ukimpiga vizuri tena ngumi sugunyo itasaidia kutight the junction na atatulia.
Kama ngumi sugunyo haitasaidia fanya juu chini upate chance ya kumtomba tena mshughulikie kisawasawa hakika hawezi tena kumbuka talaka wala nauli ya kwenda kusalimia wazazi
 
Vitu vikiwa chini ya kampuni ndo huwezi kugawana na mke?

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
Soma vizuri andiko langu. Kampuni aliikuta, mfano umeoa mwaka 2023 kampuni amesajili 2021. Hata kama kuna ongezeko la mtaji,mali na madeni ya kampuni hayatamhusu mtalaka. Kifupi ni kwamba vitu alivyovikuta mke au mume havitamhusu kwenye talaka hata kama viliongezeka akiwepo.
 
Rosi ndio nini jaman?!
Pole kwa yaliyotokea usimpe chochote atachechetuka huko weeh mwisho atatulia hiv unadhan kulea watoto peke yako kazi nyepesi eeh! Atarudi mwenyew na jeuri yake
 
Amekujua wewe muoga sana na siyo shujaa .
 
Ukioa sugu je utaweza jaza shimo
 
Nikweili, lakini nawashangaa wanawake wakiZanzibar wao wakipewa talaka awadai mali wanaondoka na vitu walivyo kuja navyo na kurudi kwa wazazi kusubiri mwanaume atokee aolewe tena, niliishi Zanzibar miaka zaidi ya 3 sijwai kuona wala kusikia mwanamke wa kizanzibari akifungua kesi za kudai mgawanyo wa mali ata awe kaolewa na tajiri siku akiachwa anarudi kwao wala awana habari za kudai mali.
 
Pesa atakuwa kaipiga yeye huyo mwanamke kiujanja kwaiyo anataka kupoteza kesi kwa kuanzisha kesi juu ya kesi ili pesa izimwe
 
Wanawake wakikaa kwny vikundi vikundi wanashauriana Ujinga Sana, Happ wanadhan wanamkomesha mwanaume kumbe wanajikomesha
Nikwelj wazazi wetu walidumu kwenye ndoa kwasababu walikuwa awana vikundi vikundi walikuwa muda mwingi wapo kwenye familia
 
Sahii kabisa,
Hili Nna ushahid nalo,
Wanawake wa z'bar hawana tamaa ya mali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…