Wasalaam nyote,
mwenye kujua huduma ya kwanza kabla sijafika hospitali anisaidie.
Kifua kimebana sana ghafla usiku huu,kinauma na siwez hata kuongea sauti ni kama ya kuku mwenye mdondo. Maumivu makali sana ya kifua na ninapumua kwa tabu sana.
Sijawah kuwa na asthma wala hatuna historia hyo kwetu. Ila mimi nishawah kuwa na allergies zikaniletea kitu wanaita rhinnits kama skosei.
wadau msaada wenu na maombi. Kwa hali ilivo nkifika kesho asubuhi ashukuriwe Mungu.
mwenye kujua huduma ya kwanza kabla sijafika hospitali anisaidie.
Kifua kimebana sana ghafla usiku huu,kinauma na siwez hata kuongea sauti ni kama ya kuku mwenye mdondo. Maumivu makali sana ya kifua na ninapumua kwa tabu sana.
Sijawah kuwa na asthma wala hatuna historia hyo kwetu. Ila mimi nishawah kuwa na allergies zikaniletea kitu wanaita rhinnits kama skosei.
wadau msaada wenu na maombi. Kwa hali ilivo nkifika kesho asubuhi ashukuriwe Mungu.