balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Mwambie atengeneze scenerio ya Adverse possession ili ionekane alivamia.Asiwatambue hao watoto.Atafute wakili amtengenezee.Ionekane alivamia ,hamjui mmiliki na yuko hapo permanently.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ndugu yako alikuwa akiendeshaje maisha ya familia kwa miaka 10 bila malipo?...........Asante kwa kuandika.
Ndugu yangu alikuwa ana litunza shamba lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 5 kwa makubaliano ya malipo sio kwamba alikosa eneo la kuishi.
Na kama unasema suala la kufanya usafi wewe kwa akili yako ekari 5 ni eneo la mtu akufanyie usafi bure kwa zaidi ya miaka 10? (Kukata miti,kufyeka na kupanda mazao ya kudumu vyote vifanyike bure kwa kuwa tu ndugu yangu alikuwa anaishi hapo??)
Hayo mambo ya kuroga mwenye shamba ni imani na mawazo yako tu hakuna ukweli hata kidogo.
Mm nimeleta hapa ili kupata msaada hata wa mawazo sio kubishana na mtu.
Huu ni wizi kama wizi.Mwambie atengeneze scenerio ya Adverse possession ili ionekane alivamia.Asiwatambue hao watoto.Atafute wakili amtengenezee.Ionekane alivamia ,hamjui mmiliki na yuko hapo permanently.
Mara nyingi wasiotafuta mali huwa na roho za ajabu sana.Habari zenu?
Kuna ndugu yangu alikuwa analinda shamba la mtu kwa muda wa zaidi ya miaka 10(bila malipo) mwenye samba ameshafariki.
Watoto wa mwenye shamba wanataka kumtoa kwa nguvu huyo ndugu yangu ambaye alikuwa anaishi hapo kwa miaka yote huku akiwa na familia yake hali kadhalika alipanda mazao ya kudumu kama michungwa,minazi nk kwa idhini ya mwenye shamba amabaye ameshafariki.
Watoto walitaka kumuondoa kwa nguvu mara kadhaa na kumuweka ndani/polisi bila mafanikio.
Jana walimkamata ndugu yangu na kumuweka kituo kikuu cha polisi(alipata dhamana jana usiku)
Leo hao watoto wa mwenye shamba wameleta vijana toka mtaani na kuja kuvunja vyumba na vibanda vote vya ndugu yangu hapo shambani huku mke na watoto vitu vikiwa nje hadi muda huu ambao giza linaingia.
Sasa mume yupo polisi mke na watoto wapo nje bila sehemu ya kulala.
Wenye mamlaka tunaomba msaada wa kupata haki ya ndugu yetu aliyopo mahabusu hadi muda huu.
Kwa mtu anayehitaji maelezo zaidi naomba aje PM nimpe namba.
Asanteni.
WIZI ukiendana na sheria haina shida labda kwa Natural law theorists .Huu ni wizi kama wizi.
Wewe lazima utakua ndiyo wale Mawakili janjanja,naibia watu!!Mwambie atengeneze scenerio ya Adverse possession ili ionekane alivamia.Asiwatambue hao watoto.Atafute wakili amtengenezee.Ionekane alivamia ,hamjui mmiliki na yuko hapo permanently.
Achana nae huyo mburula hajui maisha ya shamba ,kwanza anagongea Simu ya shemeji yake yaani mvulana wa dada yake kuingia humu JFAsante kwa kuandika.
Ndugu yangu alikuwa ana litunza shamba lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 5 kwa makubaliano ya malipo sio kwamba alikosa eneo la kuishi.
Na kama unasema suala la kufanya usafi wewe kwa akili yako ekari 5 ni eneo la mtu akufanyie usafi bure kwa zaidi ya miaka 10? (Kukata miti,kufyeka na kupanda mazao ya kudumu vyote vifanyike bure kwa kuwa tu ndugu yangu alikuwa anaishi hapo??)
Hayo mambo ya kuroga mwenye shamba ni imani na mawazo yako tu hakuna ukweli hata kidogo.
Mm nimeleta hapa ili kupata msaada hata wa mawazo sio kubishana na mtu.
Ni wapi nimesema Mimi wakili?Wewe lazima utakua ndiyo wale Mawakili janjanja,naibia watu!!
Kushauri au kumfundisha Mtu aseme uwongo ili kujimilikisha Mali isiyokua yake hilo ni kosa la Jinai!!Ni wapi nimesema Mimi wakili?
Ni wapi nimeiba au kushauri WIZI.Ni lini na ni wapi nimeongelea WIZI?
Sasa umeshasema ni shamba la mtu, na amekuwa akilima bure ilihali wenzake wanakodishiwa mashamba, kwa miaka 10, sasa hiyo pesa aliyovuna kwenye shamba la watu na yeye akanunue lakeHabari zenu?
Kuna ndugu yangu alikuwa analinda shamba la mtu kwa muda wa zaidi ya miaka 10(bila malipo) mwenye samba ameshafariki.
Watoto wa mwenye shamba wanataka kumtoa kwa nguvu huyo ndugu yangu ambaye alikuwa anaishi hapo kwa miaka yote huku akiwa na familia yake hali kadhalika alipanda mazao ya kudumu kama michungwa,minazi nk kwa idhini ya mwenye shamba amabaye ameshafariki.
Watoto walitaka kumuondoa kwa nguvu mara kadhaa na kumuweka ndani/polisi bila mafanikio.
Jana walimkamata ndugu yangu na kumuweka kituo kikuu cha polisi(alipata dhamana jana usiku)
Leo hao watoto wa mwenye shamba wameleta vijana toka mtaani na kuja kuvunja vyumba na vibanda vote vya ndugu yangu hapo shambani huku mke na watoto vitu vikiwa nje hadi muda huu ambao giza linaingia.
Sasa mume yupo polisi mke na watoto wapo nje bila sehemu ya kulala.
Wenye mamlaka tunaomba msaada wa kupata haki ya ndugu yetu aliyopo mahabusu hadi muda huu.
Kwa mtu anayehitaji maelezo zaidi naomba aje PM nimpe namba.
Asanteni.