Msaada wa haraka unahitajika ili ndugu yangu apate haki yake

Msaada wa haraka unahitajika ili ndugu yangu apate haki yake

Mwambie atengeneze scenerio ya Adverse possession ili ionekane alivamia.Asiwatambue hao watoto.Atafute wakili amtengenezee.Ionekane alivamia ,hamjui mmiliki na yuko hapo permanently.
 
Kwani miaka 10 yote kama halipwi Si angeondoka?? Au unamaanisha miezi 10? Hii kesi Ina utata sana.
 
Asante kwa kuandika.
Ndugu yangu alikuwa ana litunza shamba lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 5 kwa makubaliano ya malipo sio kwamba alikosa eneo la kuishi.
Na kama unasema suala la kufanya usafi wewe kwa akili yako ekari 5 ni eneo la mtu akufanyie usafi bure kwa zaidi ya miaka 10? (Kukata miti,kufyeka na kupanda mazao ya kudumu vyote vifanyike bure kwa kuwa tu ndugu yangu alikuwa anaishi hapo??)
Hayo mambo ya kuroga mwenye shamba ni imani na mawazo yako tu hakuna ukweli hata kidogo.
Mm nimeleta hapa ili kupata msaada hata wa mawazo sio kubishana na mtu.
Huyo ndugu yako alikuwa akiendeshaje maisha ya familia kwa miaka 10 bila malipo?...........
 
Habari zenu?

Kuna ndugu yangu alikuwa analinda shamba la mtu kwa muda wa zaidi ya miaka 10(bila malipo) mwenye samba ameshafariki.

Watoto wa mwenye shamba wanataka kumtoa kwa nguvu huyo ndugu yangu ambaye alikuwa anaishi hapo kwa miaka yote huku akiwa na familia yake hali kadhalika alipanda mazao ya kudumu kama michungwa,minazi nk kwa idhini ya mwenye shamba amabaye ameshafariki.

Watoto walitaka kumuondoa kwa nguvu mara kadhaa na kumuweka ndani/polisi bila mafanikio.

Jana walimkamata ndugu yangu na kumuweka kituo kikuu cha polisi(alipata dhamana jana usiku)

Leo hao watoto wa mwenye shamba wameleta vijana toka mtaani na kuja kuvunja vyumba na vibanda vote vya ndugu yangu hapo shambani huku mke na watoto vitu vikiwa nje hadi muda huu ambao giza linaingia.
Sasa mume yupo polisi mke na watoto wapo nje bila sehemu ya kulala.

Wenye mamlaka tunaomba msaada wa kupata haki ya ndugu yetu aliyopo mahabusu hadi muda huu.

Kwa mtu anayehitaji maelezo zaidi naomba aje PM nimpe namba.

Asanteni.
Mara nyingi wasiotafuta mali huwa na roho za ajabu sana.
Kwani hakuna serikali ya mtaa na kata huko alipo?
 
Mwambie atengeneze scenerio ya Adverse possession ili ionekane alivamia.Asiwatambue hao watoto.Atafute wakili amtengenezee.Ionekane alivamia ,hamjui mmiliki na yuko hapo permanently.
Wewe lazima utakua ndiyo wale Mawakili janjanja,naibia watu!!
 
Asante kwa kuandika.
Ndugu yangu alikuwa ana litunza shamba lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 5 kwa makubaliano ya malipo sio kwamba alikosa eneo la kuishi.
Na kama unasema suala la kufanya usafi wewe kwa akili yako ekari 5 ni eneo la mtu akufanyie usafi bure kwa zaidi ya miaka 10? (Kukata miti,kufyeka na kupanda mazao ya kudumu vyote vifanyike bure kwa kuwa tu ndugu yangu alikuwa anaishi hapo??)
Hayo mambo ya kuroga mwenye shamba ni imani na mawazo yako tu hakuna ukweli hata kidogo.
Mm nimeleta hapa ili kupata msaada hata wa mawazo sio kubishana na mtu.
Achana nae huyo mburula hajui maisha ya shamba ,kwanza anagongea Simu ya shemeji yake yaani mvulana wa dada yake kuingia humu JF
 
Habari zenu?

Kuna ndugu yangu alikuwa analinda shamba la mtu kwa muda wa zaidi ya miaka 10(bila malipo) mwenye samba ameshafariki.

Watoto wa mwenye shamba wanataka kumtoa kwa nguvu huyo ndugu yangu ambaye alikuwa anaishi hapo kwa miaka yote huku akiwa na familia yake hali kadhalika alipanda mazao ya kudumu kama michungwa,minazi nk kwa idhini ya mwenye shamba amabaye ameshafariki.

Watoto walitaka kumuondoa kwa nguvu mara kadhaa na kumuweka ndani/polisi bila mafanikio.

Jana walimkamata ndugu yangu na kumuweka kituo kikuu cha polisi(alipata dhamana jana usiku)

Leo hao watoto wa mwenye shamba wameleta vijana toka mtaani na kuja kuvunja vyumba na vibanda vote vya ndugu yangu hapo shambani huku mke na watoto vitu vikiwa nje hadi muda huu ambao giza linaingia.
Sasa mume yupo polisi mke na watoto wapo nje bila sehemu ya kulala.

Wenye mamlaka tunaomba msaada wa kupata haki ya ndugu yetu aliyopo mahabusu hadi muda huu.

Kwa mtu anayehitaji maelezo zaidi naomba aje PM nimpe namba.

Asanteni.
Sasa umeshasema ni shamba la mtu, na amekuwa akilima bure ilihali wenzake wanakodishiwa mashamba, kwa miaka 10, sasa hiyo pesa aliyovuna kwenye shamba la watu na yeye akanunue lake
 
Back
Top Bottom