Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauliza tu je? Malipo hayawezi kuwa hiyo miaka aliyoishi hapo?Ndugu yangu halazimishi kuendelea kuishi pale anachotaka ni alipwe kiasi cha pesa ili ahame shambani maana miaka yote alikuwa akifanya kazi ya kulitunza shamba la baba yao bila malipo yeyote.
Sasa watoto wa marehemu wanataka kutumia nguvu ya pesa na elimu zao kumuaondoa kwa nguvu bila kumpa chochote.
Hana ushahidi wowote wa maandishi toka kwa marehemu ila majirani wa shambani wanamjua kubwa yeye ndio mtunza shamba kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita.
Tatizo lipo kwa wazazi waki Afrika Kuto andika wosia na tabia ya kufanya mambo bila kushirikisha watoto, wazazi wengi wanafanya mambo kinyemela, watoto wangekuwa wanajua tokea wapo dogo wala wasinge mfukuza.Kwa nilivyoelewa mim wale watoto wa marehem waitakiwa wawe waungwana hata kwa kumpa eneo dogo la kujihidhi au wakamnunulia sehem nyingine akaishi na familia yake,ni kumpa kama shukran kwa kuwatunzia hilo shamba maana wengine wangelikuta lishauzwa na kasepa
Tatizo letu watz huwa hatujui kuappriciate na kutoa shukrn sijui tupoje yaan roho mbaya tu
Alikua analipwa kiasi gani? Je aliekua mmiliki wa sehemu alimtuma apande mazao ya kudumu? Watu wanaosaidiwa kwenye maswala ya ardhi na nyumba kwa muda mrefu hua wanajisahau na kuhisi wameshamiliki hio sehemu na wakitaka kuhamishwa hua ni ngumu sana..mimi nadhani amewatajia hao watoto wa marehemu kiasi kikubwa cha fedha...Asante kwa kuandika.
Ndugu yangu alikuwa ana litunza shamba lenye ukubwa wa zaidi ya ekari 5 kwa makubaliano ya malipo sio kwamba alikosa eneo la kuishi.
Na kama unasema suala la kufanya usafi wewe kwa akili yako ekari 5 ni eneo la mtu akufanyie usafi bure kwa zaidi ya miaka 10? (Kukata miti,kufyeka na kupanda mazao ya kudumu vyote vifanyike bure kwa kuwa tu ndugu yangu alikuwa anaishi hapo??)
Hayo mambo ya kuroga mwenye shamba ni imani na mawazo yako tu hakuna ukweli hata kidogo.
Mm nimeleta hapa ili kupata msaada hata wa mawazo sio kubishana na mtu.
Huyo atakuwa mlevi tu yani upewe shamba uliangalie na kuishi miaka 10 na kashindwa kununua shamba kupitia shamba alilopewa kuishi na kulima bure bila kulipishwa pesa.Na yeye kwa nini akae kwa mtu miaka 10?
itakuwa huyo mlinzi alivyo sikia mzee amefariki yeye alikaa kimya hakutaka kwenda kujitambulisha kwa watoto itakuwa watoto walikuwa masomoni nje na walikuwa hawamjui huyo mlinzi na watoto walikuwa hawajai kufika huko shambani na walisikia kwa kuambiwa kuna shamba lenu lipo sehemu fulani na kufatilia wakuta kuna mtu na huyo mtu alikaa kimya tokea mzee wao afariki na siku nyingi zimepita.No inategemea huyo mzee mlinzi aliwaingia vipi hao watoto aa marehemu.
Angeenda kwa gia ya kuwaomba pengine wangemsaidia ila yeye ameenda kwa gia ya kibabe kwa kusema shamba ni mali yake
Kweli kabisa, na huyu hata mwisho nilituma watu nikaona video anavyoongea kama kwake paleUtakuta mtu anapewa nyumba au shamba alinde na kuishi hapo hapo utakuta anaishi miaka mingi anao na kuzaa watoto wanafika mpaka Secondary siku akiambiwa atoke anakuwa mgumu kweli, ushauri tusiweke waangalizi kwenye viwanja, mashamba, Nyumba kwa miaka mingi huwa wana jisahau wanaona kama wamiliki.
Hapo ni busara kutumika ,inaonekana ndugu yako aliwaletea jeuri watoto wa marehemu...haiwezekani watoto wampeleke polisi na polisi wakamfunga ,hapo kutakuwa na kutishia watoto wa marehemu ,watu wa masaiti nawajua jinsi walivyo.
Wanajisahau sana.. wakikaa miaka mitatu mtu anaona ni haki yake. Kwa hvyo kama una site bora ujenge kachumba upangishe lakini sio kumweka mtu akae bure huku Kilinda shamba au siteHapo ni busara kutumika ,inaonekana ndugu yako aliwaletea jeuri watoto wa marehemu...haiwezekani watoto wampeleke polisi na polisi wakamfunga ,hapo kutakuwa na kutishia watoto wa marehemu ,watu wa masaiti nawajua jinsi walivyo.
We nae kipi hujakielewa hapo??Hati ya kiwanja hicho inasoma jina la Nani?
Sijaelewa Ni kwanini Mumeo amekuacha ghafla.We nae kipi hujakielewa hapo??
Maelewano yalikuwa ya baba wa vijana na ndugu yako. Wao hawatakiwi kumfidia chochote ndugu. Ingawaje unasema alikuwa halipwi, lakini alikuwa analifaidi kwa kulilima na kupata mazao..huo ndiyo mshahara. Ila, kama kulikuwa na mapatano ya malipo na kuna ushahidi kuwa mhusika hakuwi kumlipa, basi awasilishe madai yake wakati wa mirathi kugawiwa na ana haki kupewa hata kabla ya wariyhi kupata. Kwa kawaida madeni ya marehemu hulipwa kwanza na warithi hugawana kilichobaki kufuatana na wosia au makubaliano ya mgaso.Ndugu yangu halazimishi kuendelea kuishi pale anachotaka ni alipwe kiasi cha pesa ili ahame shambani maana miaka yote alikuwa akifanya kazi ya kulitunza shamba la baba yao bila malipo yeyote.
Sasa watoto wa marehemu wanataka kutumia nguvu ya pesa na elimu zao kumuaondoa kwa nguvu bila kumpa chochote.
Hana ushahidi wowote wa maandishi toka kwa marehemu ila majirani wa shambani wanamjua kubwa yeye ndio mtunza shamba kwa zaidi ya miaka 10 iliyopita.
Haki gani labda anayotaka nduguyo, kuendelea kubaki hapo? Au kulipwa?How comes 10 yrs hakudai malipo yoyote aje kudai baada ya mmiliki kufariki? Nikisoma kati ya mistari( btn lines) ni kama vile unataka kusema nduguyo ana haki na mahali hapo maana amepanda mazao ya kudumu hlf aameishi kwa miaka 10.Habari zenu?
Kuna ndugu yangu alikuwa analinda shamba la mtu kwa muda wa zaidi ya miaka 10(bila malipo) mwenye samba ameshafariki.
Watoto wa mwenye shamba wanataka kumtoa kwa nguvu huyo ndugu yangu ambaye alikuwa anaishi hapo kwa miaka yote huku akiwa na familia yake hali kadhalika alipanda mazao ya kudumu kama michungwa,minazi nk kwa idhini ya mwenye shamba amabaye ameshafariki.
Watoto walitaka kumuondoa kwa nguvu mara kadhaa na kumuweka ndani/polisi bila mafanikio.
Jana walimkamata ndugu yangu na kumuweka kituo kikuu cha polisi(alipata dhamana jana usiku)
Leo hao watoto wa mwenye shamba wameleta vijana toka mtaani na kuja kuvunja vyumba na vibanda vote vya ndugu yangu hapo shambani huku mke na watoto vitu vikiwa nje hadi muda huu ambao giza linaingia.
Sasa mume yupo polisi mke na watoto wapo nje bila sehemu ya kulala.
Wenye mamlaka tunaomba msaada wa kupata haki ya ndugu yetu aliyopo mahabusu hadi muda huu.
Kwa mtu anayehitaji maelezo zaidi naomba aje PM nimpe namba.
Asanteni.
Wala sio lazima...sema mbongo hatokuelewa!Hivi ni lazima kumlipa mtu fadhila?
Haki gani sasa...mali sio yake. Anapaswa aondoke ama ana mpango wa kuwadhurumu watoto wa mwenye shamba?Habari zenu?
Kuna ndugu yangu alikuwa analinda shamba la mtu kwa muda wa zaidi ya miaka 10(bila malipo) mwenye samba ameshafariki.
Watoto wa mwenye shamba wanataka kumtoa kwa nguvu huyo ndugu yangu ambaye alikuwa anaishi hapo kwa miaka yote huku akiwa na familia yake hali kadhalika alipanda mazao ya kudumu kama michungwa,minazi nk kwa idhini ya mwenye shamba amabaye ameshafariki.
Watoto walitaka kumuondoa kwa nguvu mara kadhaa na kumuweka ndani/polisi bila mafanikio.
Jana walimkamata ndugu yangu na kumuweka kituo kikuu cha polisi(alipata dhamana jana usiku)
Leo hao watoto wa mwenye shamba wameleta vijana toka mtaani na kuja kuvunja vyumba na vibanda vote vya ndugu yangu hapo shambani huku mke na watoto vitu vikiwa nje hadi muda huu ambao giza linaingia.
Sasa mume yupo polisi mke na watoto wapo nje bila sehemu ya kulala.
Wenye mamlaka tunaomba msaada wa kupata haki ya ndugu yetu aliyopo mahabusu hadi muda huu.
Kwa mtu anayehitaji maelezo zaidi naomba aje PM nimpe namba.
Asanteni.