Wewe na ndugu yako wote matapeli.
Sasa unakaa shambani kwangu bure?
Unataka hapo nani akufanyie usafi?
Umesitirika wewe na mke na watoto kwa miaka yote 10.
Unataka ulipwe nini na hakukuwa na makubaliano?
Kama unabusara kamtoa ndugu yako akae kwako.
Waache watoto wa marehemu na shamba lao.
Tunajua kuwa kuna sehemu watu wanakaa mashambani na kila mwezi wanalipwa lakini hayo hayakuwa makubaliano kati ya marehemu na ndugu yako.
Na usikute yeye ndo alisitirika na familia yake maana pa kukaa walikuwa hawana, kajiliza kwa marehemu wee marehemu kamuonea huruma, kampa eneo asitirike na familia.
Watu dizaini ya ndugu yako na wewe ndo nyie mnaowaua wenye mashamba au nyumba ili mzitaifishe.
Au mnawaroga wasahau maeneo yao.
Eti ndugu yako apate haki yake.
Haki ya nyoko [emoji57][emoji57][emoji57]