grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
Anhaa utampata tu mkuu endelea kufuatiliaWala hata m mahitaji vitu vyangu muhimu ambavyo siwezi kupata popote pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaa utampata tu mkuu endelea kufuatiliaWala hata m mahitaji vitu vyangu muhimu ambavyo siwezi kupata popote pale
Nchi ngumu hii jamani mtuhumiwa Hadi leo sijampata☹️☹️☹️Eata ropiani ropiani ake aiyeu😁😁
Barua yake ilikuwa inasemaje?Nchi ngumu hii jamani mtuhumiwa Hadi leo sijampata☹️☹️☹️
Unaendekeza kilugha alafu unategemea sisi waswahili tukusaidie. Muombe huyo ndugu yako akusaidie sasaNchi ngumu hii jamani mtuhumiwa Hadi leo sijampata☹️☹️☹️
Ni kweliWatch your mouth mkuu Mungu ndo anaejua ukweli
Dada kama dada, mamboNi kweli
Nilikua najifariji tu am sorryUnaendekeza kilugha alafu unategemea sisi waswahili tukusaidie. Muombe huyo ndugu yako akusaidie sasa
Nmeondoka,nimepata kazi mjin nmeshindwa kukaa na mtoto kwahelini sijachukua kitu chenuBarua yake ilikuwa inasemaje?
Sio kila anayetoroka anafanyiwa unyama,mkuu WACHA KUKARIRI.mpaka mtu anatoroka ujue kuna kaunyama mmemtendea
watu wa Dar mna roho mbaya sana
Anaropoka huyo jamaa msamehe.Watch your mouth mkuu Mungu ndo anaejua ukweli
Hapo uzazi kwisha kama hujapata watoto bado!Alafu mm ni mwanamke ,mtu kaiba vitu sensitive Hadi nguo za ndani yan sikumdhania
Yan hyo ni hatari km vile naona atavyoenda kuliza wengne ..kuna ishara mbaya tuliziona lkn tulichukulia poaSio kila anayetoroka anafanyiwa unyama,mkuu WACHA KUKARIRI.
Wasichana hutoroka kwa various reasons;
-Wizi,kama kaona kuna cha thamani anasepa nacho.
-Mimba,kama alipata mimba akiwa kwako aeza toroka.
-Bwana,kama kapata bwana akamzuzua basi atatoroka tu.
Wadada wa kazi wanasumbua sana.
Hata hvyo kwao ni wanga lakini sidhani km ameenda hko,ni njaa tu znamsumbua na wivuHapo uzazi kwisha kama hujapata watoto bado!
Pole kipendh.....wasichana wa geita ni wa kuogopwa...ni wezi ,viburi, vihuni balaa...na mara nyingi huwa wanaletwa na madalaliNamba zipo lakini hakuna ushirikiano maana wapo mbali hko katoro geita na hapatikani
Sawa kipendhiPole kipendh.....wasichana wa geita ni wa kuogopwa...ni wezi ,viburi, vihuni balaa...na mara nyingi huwa wanaletwa na madalali
Wasiliana na huyo aliyekuletea , mtoe kitu kidogo atakusomea ramani utampata.
Km kapanda gari atakuwa amerudi kwao
PoaDada kama dada, mambo
Yan n yule mtoto ambae wazazi hawajali kumuhusu so awepo asiwepo wao haiwashtui ilimradi tu n mtu mzm
Swali una mke?Habari wanajamvi
Naombeni msaada kuna mdada wa kazi nlikua naishi nae hapa nyumbani ametoroka usiku,na kaondoka na begi la ndugu yangu
Katokea ifakara kyelekea morogoro mjini
Kumleta siyo Sababu anaweza asirudi huko alikotokaPoleni sana aliemleta kwako n nani, huyo ndio atakusaidia kumpata.