Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 13,336
- 12,370
Lazima kuna kitu?, ?????????mpaka mtu anatoroka ujue kuna kaunyama mmemtendea
watu wa Dar mna roho mbaya sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima kuna kitu?, ?????????mpaka mtu anatoroka ujue kuna kaunyama mmemtendea
watu wa Dar mna roho mbaya sana
Kwa hiyo akipatikana hutomuuliza tena?Moderator naomba mnisaidie kufuta huu uzi ,nmeamua kumpotezea na kufatilia doc's zangu upya ..
Kama kichwa kinaona hakuna kitu, pita kimyaLazima kuna kitu?, ?????????
Akipatkana lazima akaripoti police kwanza mengn yaendeleeKwa hiyo akipatikana hutomuuliza tena?
Noted with thanksKama kichwa kinaona hakuna kitu, pita kimya
Na ndo katoka kwao kaja mjini kujitafuta kwahyo kurudi home sio leoKumleta siyo Sababu anaweza asirudi huko alikotoka
Mm ni mwanamkeSwali una mke?
Haaa pole je mshahara ulikuwa unamlipa vizuri,, je alikuwa Kesha pevuka, km Ndiyo unamtambua kijana aliyekuwa karibu naye maana yangu nikwamba usimuilize huyo kijana atakataa tafuta watu walio karibu na huyo kijana, ukijibu nitakuswalika maswali mengineMm ni mwanamke
Alilipwa jioni alfajiri akaondoka na pia amekaa mwezi mmoja ,na sijawah kumuona akiwa na mazoea na mtu hko nnjeHaaa pole je mshahara ulikuwa unamlipa vizuri,, je alikuwa Kesha pevuka, km Ndiyo unamtambua kijana aliyekuwa karibu naye maana yangu nikwamba usimuilize huyo kijana atakataa tafuta watu walio karibu na huyo kijana, ukijibu nitakuswalika maswali mengine
She is above eighteen,kazi hajaanzia hapo kwa maelekezo yake kashafanya nyumba kadhaa.pia aliacha shule wazazi wakamsusa,mshahara sijui lkn ilikua 100kAjira ya watoto-Ulimchukua akiwa na umri sahihi?
Elimu kwa wote- Hukumkatisha masomo?
Usafirishaji binadamu- ulimpataje akafika kwako, una ushahidi wa hiari yake?
Sheria za kazi-Una ushahidi wa malipo ya mshahara wake, yalikuwa yanakidhi kima cha chini kwa wafanyakazi wa majumbani?
Angalia kibao kisije kukugeukia wewe.
Na kazi alitafuta mwenyewe hakulazimishwaShe is above eighteen,kazi hajaanzia hapo kwa maelekezo yake kashafanya nyumba kadhaa.pia aliacha shule wazazi wakamsusa,mshahara sijui lkn ilikua 100k
Na kazi alitafuta mwenyewe hakulazimishwa
Inasemekana mdada alirudi kwao,hayupo kwa mangi wala boda boda,na ni mchawi kila nyumba akiingia anaiba hvyo hvyo..nahisi kuchanganyikiwa 😔😔😔Na kazi alitafuta mwenyewe hakulazimishwa
Hapana ,kama hujawahi kuishi na wafanyakazi huwezi jua.mpaka mtu anatoroka ujue kuna kaunyama mmemtendea
watu wa Dar mna roho mbaya sana
Kwanza huyo binti hakwenda huko Ifakara isipokuwa katoroshwa na inawezekana akawa jirani yako!!Habari wanajamvi
Naombeni msaada kuna mdada wa kazi nlikua naishi nae hapa nyumbani ametoroka usiku,na kaondoka na begi la ndugu yangu
Katokea ifakara kyelekea morogoro mjini