Habari za asubuhi wana jukwaa. Mimi ni mwanafunzi katika chuo kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania, Mwanza mwaka wa tatu 'BAED' na nimepanga kufanya utafiti (Research) juu ya mtazamo wa walimu juu ya madaraja mapya ya ufaulu yaliyotolewa mwaka jana.
Naombeni msaada kwa yeyote anaejua chapisho, utafiti uliofanywa au hotuba iliyotolewa kuhusiana na madaraja mapya, kama vile tarehe, aliyetangaza, sababu za mabadiliko na maoni ya wadau wa elimu.
AHSANTENI NA KARIBUNI KWA MAWAZO YANAYOJENGA
Naombeni msaada kwa yeyote anaejua chapisho, utafiti uliofanywa au hotuba iliyotolewa kuhusiana na madaraja mapya, kama vile tarehe, aliyetangaza, sababu za mabadiliko na maoni ya wadau wa elimu.
AHSANTENI NA KARIBUNI KWA MAWAZO YANAYOJENGA