Msaada wa hii alert katika Land Rover discovery 3

Wewe na magari wapi wapi? Unafikiri gari zina longolongo za uchawi unazowadanganya wajinga wenzio humu?

Jifunze kutumia chatgpt utayakuta hayo majibu niliyotowa humu,

Huwa sikisii.
Wewe na nagari wapi wapi?[emoji23]
Jifunze kutumia chatgpt[emoji23] another bullshit kumbe umedesa kwenye chatgpt huko[emoji23] imekuongopea vibaya mno.. Waulize waliyoitegemea ilivyowaingiza chaka au wewe ndio uliingiza chaka

yang kazungumzia red blinker baada ya kuzima gari wewe ukakimbilia kusema ni alarm ya oil..! Tangu lini low oil ikatoa alarm? Wewe si mjuzi wa kila kitu vingine viache vikupite ficha upumbavu wako kwa kukaa kimya
Umesema unamiliki discovery mwaka wa tisa sasa ni discovery toleo gani? Au tukaiulize chatgp itujibu?
 
Nani kaa
Nani kaandika "low alarm oil"? Hata unachokisoma hukielewi. Nimeandika kingine unaota kingine.

Ukizowea uongo mwishowe unajidanganya wewe mwenyewe.
 
Discovery zote za mwingereza ikifikisha miles 100k lazima abadilishe engine na gear box Kwa pamoja. Bila hivyo hakuna rangi ataacha kuziona
Unafungร  gearbox na engine mpya? Kwa hela gani aliyonayo mbongo?
 
Nani kaa

Nani kaandika "low alarm oil"? Hata unachokisoma hukielewi. Nimeandika kingine unaota kingine.

Ukizowea uongo mwishowe unajidanganya wewe mwenyewe.
Alarm ya kukujulisha inataka oil change. Weka oil ya viwango vinavyokubalika.![emoji23]
Ni gari gani hapa duniani inapiga alarm ya oil change?
Alichoandika mtoa [emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Wakuu Naomba msaada wa kujua Maana ya hii Taa ndogo ya kushoto inawaka red katika dashboard chini ya kisahani Cha rpm.

Ulichoandika wewe[emoji1541][emoji1541][emoji1541]

Alarm ya kukujulisha inataka oil change. Weka oil ya viwango vinavyokubalika.!

Punguza ujuaji na kukurupuka!
 
Discovery zote za mwingereza ikifikisha miles 100k lazima abadilishe engine na gear box Kwa pamoja. Bila hivyo hakuna rangi ataacha kuziona
Kwa hiyo wewe ni mfanyakazi wa kiwandani hapo london ama?
 
Alarm ya kukujulisha inataka oil change. Weka oil ya viwango vinavyokubalika.![emoji23]
Ni gari gani hapa duniani inapiga alarm ya oil change?
Sasa umeelewa kuninukuu eeh, sivyo kama ulivyozuwa kwanza. Usilolijuwa ni usiku wa kiza kwako.

Usiyoyajuwa wewe wenzako tunayajuwa, kwa kukujuza tu, gari siku hizi zina kila aina za sensor, Nna uhakika zingine wewe hata kuziota hujaziota, tena hiyo ni ya kizamani, siku hizi zinakwambia kwa sauti kabisa.

Siyo fisi au ungo huo.
 
Kwa hiyo siku hizi kuna gari zinasema faizafix badilisha oil imeisha muda wake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fata hii link chini, utakusaidia ku i reset hiyo alert, inatakiwa kila unapobadili engine oil uifanyie reset....

 
Kabisa tena.

Wewe na magari wapi na wapi.
Iko hivi magari sio kama kulima mihogo chogo Kibiti
Kuna vitu vinaenda kwa viwango vya kimataifa! Na kwenye magari kinachosomeka ni signals na codes na vyote hivyo vinapatikana kwenye dashboard .. Hizo sauti ni option tu na madoido yasiyo na maana yoyote kwakuwa magari hayaendeshwi na vipofu
 
Siyo kweli, mimi nna discovery mwaka wa 9 huu, ina miles 120,000 hiyo ni zaidi ya KM 190,000 na inadunda kama mpya.

Ni matunzo tu, weka oils na filters za viwango vinavyokubalika.
Bibi ume anza kupoteza kumbukumbu
 
Kuna mjuaji mmoja kaandika hivi[emoji1541]

Alarm ya kukujulisha inataka oil change. Weka oil ya viwango vinavyokubalika.!

Nimecheka mpaka nikakaa chini[emoji23]
madereva wa passo ni shidah๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Kama ni dungu la Lukosi huyu atalia mda si mrefu

[emoji1787][emoji23] Lukosi analeta discovery za bei rahisi ila zina mileages za kutosha, Huku anahamasisha wabongo wamiliki Madungu.
Yule jamaa mjanja sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ