Natamani nisingezaliwa
Senior Member
- Sep 9, 2024
- 112
- 265
Popo bawa kivipi sijakuelewaPopo bawa itakuwa alikuja kukusalimia kidogo Samaleko
Sio tangazo madamSawa Tangazo lime eleweka.
Hapana mkuuwewe ni upinde tayari, unawasilisha hoja zako hapa kitaalamu.
Asante mkuuPole sana mkuu
Ok sawaTafuta mke oa. Ama demu uwe unalala naye angalau kwa wiki mara 3
Ok sawa mkuuRudi ukamuone Dr alie kutibu tatizo la mwanzo, then mueleze hiki unacho pitia na atakutafutia wana saiokolojia wakusaidie.
Wewe umegoma kufa? Kwanini haukutaka kwenda?Rudi ukamuone Dr alie kutibu tatizo la mwanzo, then mueleze hiki unacho pitia na atakutafutia wana saiokolojia wakusaidie.
Una uhakika unachongea ndio hizo ni posts zangu niliomba msaada humu nikapata msaada wa watu asilimia 95 nimefanya walivonielekeza namshukuru mungu amenisaidia. Nimekuja hapa sio kuonekana ndivyo sivyo nimekuja kuomba msaada kuhusu hio ndoto sipendi kuota vitu kama hivyo tena wakati nimeshavisahau mambo hayo. Kama huna msaada ni bora ungekaa kimya mkuu ungesoma ungekaa kimya.NIMEPITIA POST ZAKO HUMU AISEEE! π NDIO WALE WALE TU View attachment 3142005
NIMEPITIA POST ZAKO HUMU AISEEE! π NDIO WALE WALE TU View attachment 3142005
Kila jambo lina wakati wake na anae panga sio wewe wala mimi...πWewe umegoma kufa? Kwanini haukutaka kwenda?