Msaada wa Imani

Msaada wa Imani

..Mkuu Huelewi Fungu,baada Ya Yuda kujinyonga they purchaised the place baada ya yeye kujinyonga Mfano ukajinyongee shambani kwetu alafu sisi tuuze lile shamba kwa ukoo wenu kwa hela!
Ohh kwa hiyo Yuda alinunua shamba baada ya Kufa?
Maana andiko linasema na Yuda alinunua shamba kwa fedha alizozipata kwa njia ya ubadhilifu. Na akiwa huko shambani alianguka na matumbo yake yalipasuka.

Au husomi maandiko? Sasa wewe unasema makuhania walinunua lile shamba alilofia. Mbona unazidi kujichanganya
 
..kwaio Mkuu hamna wa kwanza si ndio???[emoji23][emoji23][emoji23]
Wa kwanza katika kila zama walikuepo. Yaani zama za firauni wapo walioanza kumkubali Mussa. Wapo waliokuwa wa kwanza kumkubali Ibrahimu nk. Nadhani utakua umeelewa
 
aliongea hayo kwa namna ya kibinadamu kipindi alichokuwa amevaa mwili wa mwanadamu (ila roho ya Mungu), mwanadamu ana sehemu kuu tatu, mwili nafsi na roho, na Mungu naye ana roho, nafsi, mwili hana ila kipindi kile alivaa mwili ili achukuliane na sisi tulio katika mwili. hivyo yesu kwasababu sasaivi hana mwili tena, ni Mungu yuleyule ndio maana alisema mimi na baba tu umoja yaani ni kama mwili mmoja tu katika roho. hivyo, kama ni swali kama hilo lako, ni sawa na kuniuliza kwamba "unajua moyo una mkuu wake mwingine aliye juu yake na aliye na mamlaka juu yake?//.....ambao sijui utasema ni akil au ubongo au chochote utakachoamua kusema. soma hayo niliyokuambia hapo juu, kama hautasoma, nyamaza kimya subiri jehanum. bye.
Mbona unatoka POVU Mapema sana? Suala la Jehanamu ni la wale ambao wanadhani kuna mtu aliwabebea mzigo waom bahati mbaya Yeye mwenyewe anayetuhumiawa kubeba mizigo ya watu alisema "mwana hatobeba mzigo wa baba na wala baba hatobeba mzigo wa mwana.

Sasa nimekuuliza je unaamini Mungu baba ni Mkuu kuliko Mungu Mwana? Na je unafahamu Kua huyo mwana Hajui siku wala saa itakua lini?

Punguza jazba kama umeshindwa kujibu unanyamaza
 
..we are sin oriented,nature Yetu ipo opposite na Mapenzi Ya Mungu henceforth our understanding too mfano unavyofikiria wewe thats why we need a mediator which is the Holy spirit that revealed and inspired the prophets to write what they wrote ILI kuyaelewa ILA maneno ya Mungu sio magumu
Hivi Mungu akisema usizini unahitaji mediator gani hapo? Mungu akisema mzinzi apigwe mawe hadi Afe wewe nini ambacho wewe hujakielewa mpaka aje Roho mtakatifu tena akutafsirie? [emoji23]
 
Wa kwanza katika kila zama walikuepo. Yaani zama za firauni wapo walioanza kumkubali Mussa. Wapo waliokuwa wa kwanza kumkubali Ibrahimu nk. Nadhani utakua umeelewa
..nani mwanzilishi sasa wa dini ya kiislamu,maana sikuelewi mkuu!!
 
Hivi Mungu akisema usizini unahitaji mediator gani hapo? Mungu akisema mzinzi apigwe mawe hadi Afe wewe nini ambacho wewe hujakielewa mpaka aje Roho mtakatifu tena akutafsirie? [emoji23]
kaka ni kwasababu kwa uwezo wako huwezi kushinda dhambi. unawapiga mawe kweli lakini kama wewe ungekuwa unapigwa mawe tangu ulipoanza kuzini, sasaivi ungekuwa hai? jiambie nafsi yako hapo tangu umezaliwa haujawahi kuzini? na kwani wanaopigwa mawe wakizini ni wanawake tu wanaume hamuwapigi mawe? mnaishi kimwili ndio maana mnaupiga mwili mawe, kumbe mmesahau kuwa dhambi huanzia rohoni na roho hamna uwezo kuipiga wala kuiokoa ila Mungu kwa njia ya kafara la Yesu Kristo. period.
 
Ohh kwa hiyo Yuda alinunua shamba baada ya Kufa?
Maana andiko linasema na Yuda alinunua shamba kwa fedha alizozipata kwa njia ya ubadhilifu. Na akiwa huko shambani alianguka na matumbo yake yalipasuka.

Au husomi maandiko? Sasa wewe unasema makuhania walinunua lile shamba alilofia. Mbona unazidi kujichanganya
..In both verses Mathew na Acts hamna sehemu ambayo yuda alihusika moja kwa moja kununua shamba,but rather the pharesees sasa kwann wameandika Yuda alinunua??kwa sababu mafarisayo hawakuchukua zile hela walizikataa kwaio zikawa bado ni Yuda's possesion ndo wakaenda kununua shamba alipojinyongea.wakati haya yote yanatokea Yuda alikua ashakufa tayari!!!!!!
 
Hua kuna jambo dogo sana ambalo hua nalipenda kwenye mijadala yangu.
Tunapokua tukifanya mjadala hua wengi wanasoma.
Sasa unapoleta tuhuma zozote kama ulizoziorodhesha hapo juu unatakiwa uambatanishe na ushahidi. Wa maandiko kutoka katika kitabu. Kama huwezi usikaririshwe ukaamini mambo ambayo si ya kweli ndugu.

sasa nipe maandiko yanayosapoti point zako hapo juu ili tuyajadili na tuone kama unasema ukweli au uongo na watu wakujue usemacho .

Mambo mazuri hayataki hasira wala chuki.
 
Hivi Mungu akisema usizini unahitaji mediator gani hapo? Mungu akisema mzinzi apigwe mawe hadi Afe wewe nini ambacho wewe hujakielewa mpaka aje Roho mtakatifu tena akutafsirie? [emoji23]
..umenipa Mfano wa mafungu unayoyaelewa na hayo usioyaelewa utayaelewa vipi sasa kama hio case scenario ya Yuda??? si ndo unaishia kusema Bibla inajichanganya kumbe wewe ndo huelewi kitu [emoji23][emoji23]
 
Mimi nilikua na jiuliza tu kama swa la trinity of god/ utatu wa mungu. Ninavyofahamu utatu wa mungu unauhusiano na kuzaliwa bila mariam kuhusiana na mwanaume. Sasa sijui bibilia na kuruani inasemaje. Swala la nani mkuu naona tutatoka nje ya mjadala wa utatu maana kuna hatawanyama nao waliumbwa bila baba na mama na kuna mitume walikua na baba na mama
Vizuri. Tukienda hivi tutaelewana pole pole.
 
kaka ni kwasababu kwa uwezo wako huwezi kushinda dhambi. unawapiga mawe kweli lakini kama wewe ungekuwa unapigwa mawe tangu ulipoanza kuzini, sasaivi ungekuwa hai? jiambie nafsi yako hapo tangu umezaliwa haujawahi kuzini? na kwani wanaopigwa mawe wakizini ni wanawake tu wanaume hamuwapigi mawe? mnaishi kimwili ndio maana mnaupiga mwili mawe, kumbe mmesahau kuwa dhambi huanzia rohoni na roho hamna uwezo kuipiga wala kuiokoa ila Mungu kwa njia ya kafara la Yesu Kristo. period.
Jamani Mungu tena anakua wa kumtoa mtoto wake kafara. Pia suala la kumpiga mtu mzinzi kuuliwa liko katika biblia sio maneno yangu binafsi.
tena kama hiyo haitoshi mwanamke akiolewa akakutwa hana bikra anatakiwa apigwe mawe mpaka afe

Sas ukiniuliza kama ningekua hai na mimi nakuuliza vipi wewe ungekua hai kama ungekua unaifata biblia inavyoamrisha??
 
Yani mungu kaumba vyote ivyo kwa ajili ya mwanae alafu akubali apigwe misumari na kuwekwa uchi hadharani. .....Ebu stuka kidogo bhana.
wanakondoo huwa hawa hoji wala kuuliza kila wanaambiwa wanameza tu ongereni sana
 
Uislamu upo tango mwanadamu wa kwanza. Au hujaelewa maana ya uislamu?
Islam Translate Button
[is-lahm, iz-, is-luh m, iz-]
noun
1.
the religious faith of Muslims, based on the words and religious system founded by the prophet Muhammad and taught by the Koran, the basic principle of which is absolute submission to a unique and personal god, Allah.

..This is the definition of Islam ndugu,islam sio Hali ya submission kama unavosema wewe its a Religion
 
..In both verses Mathew na Acts hamna sehemu ambayo yuda alihusika moja kwa moja kununua shamba,but rather the pharesees sasa kwann wameandika Yuda alinunua??kwa sababu mafarisayo hawakuchukua zile hela walizikataa kwaio zikawa bado ni Yuda's possesion ndo wakaenda kununua shamba alipojinyongea.wakati haya yote yanatokea Yuda alikua ashakufa tayari!!!!!!
Andiko linasema YUDA ALINUNUA SHAMBA NA AKIWA HUKO SHAMBANI KWAKE ALIANGUKA AKAPASUKA.

jamani mbona verse iko wazi . Alinunua shamba na alipokua huko shambani kwake alijikwaa akaanguka akafa. Shamba limenunuliwa na Yuda kwanza na baada ya kununua shamba ndio akafa. Sasa mbona unabadili maandiko. Kama Yuda alikua kishakufa ndio wakanunua shamba inamaana marehemu alinunua shamba?
 
Andiko linasema YUDA ALINUNUA SHAMBA NA AKIWA HUKO SHAMBANI KWAKE ALIANGUKA AKAPASUKA.

jamani mbona verse iko wazi . Alinunua shamba na alipokua huko shambani kwake alijikwaa akaanguka akafa. Shamba limenunuliwa na Yuda kwanza na baada ya kununua shamba ndio akafa. Sasa mbona unabadili maandiko. Kama Yuda alikua kishakufa ndio wakanunua shamba inamaana marehemu alinunua shamba?
unaweza kunijibu swali ni kwanini wewe unaabudu dini ambayo mungu wake anaruhusu kufuga majini na majini ni rafiki yake?
 
..umenipa Mfano wa mafungu unayoyaelewa na hayo usioyaelewa utayaelewa vipi sasa kama hio case scenario ya Yuda??? si ndo unaishia kusema Bibla inajichanganya kumbe wewe ndo huelewi kitu [emoji23][emoji23]
Boss mpaka sasa umeshindwa kusema Nani Alinunua shamba je ni Yuda au ni makuhani? [emoji23]

Umenidanganya kuhusu kifo chake kua alojinyonga halafu mwili ukaoza akaponyoka kwenye kamba ndio akapasuka [emoji23] hiyo fix nimeona nikubali . Sasa maandiko yamesema Yuda alinunua shamba na akiwa shambani kwake alianguka akapasuka.

Wakati mat inasema alizitupa zile shekali za fedha hekaluni

Sasa hapo kipi sahihi. Unaleta stori za walimnunulia marehemu shamba baada ya kufa
 
Andiko linasema YUDA ALINUNUA SHAMBA NA AKIWA HUKO SHAMBANI KWAKE ALIANGUKA AKAPASUKA.

jamani mbona verse iko wazi . Alinunua shamba na alipokua huko shambani kwake alijikwaa akaanguka akafa. Shamba limenunuliwa na Yuda kwanza na baada ya kununua shamba ndio akafa. Sasa mbona unabadili maandiko. Kama Yuda alikua kishakufa ndio wakanunua shamba inamaana marehemu alinunua shamba?
..Mkuu kama hujaelewa Hilo fungu mpka sa Hizi wewe ndo una tatizo Maana Yake nishaielezea kinagaubaga sasa If ur Gonna stick to ur Understanding uliopewa na watu wasiojua Biblia endelea ILA am sorry to dissapoint you najua ulihisi Hilo Fungu haileweki nenda wakuambie Jingine [emoji23]
na Fungu HALISEMI ULICHOANDIKA WEWE kuna alama pale kuonyesha hakuanguka hapo hapo wakati aliponunua shamba
 
unaweza kunijibu swali ni kwanini wewe unaabudu dini ambayo mungu wake anaruhusu kufuga majini na majini ni rafiki yake?
Nioneshe wapi katika andiko Mungu anaruhusu kufuga Majini?
Halafu uniqmbie pia nani alimuumba shetani.

Ukianiambia hayo ntafurahi sana.
 
Nioneshe wapi katika andiko Mungu anaruhusu kufuga Majini?
Halafu uniqmbie pia nani alimuumba shetani.

Ukianiambia hayo ntafurahi sana.
kama unabisha hapo, vipi, inakuwaje kitabu chenu kinatambua kuwa kuna majini mazuri namajini mabaya. vilevile, kwanini meshehe wengi wanauza dawa za kienyeji/waganga wa jadi?au hao vitabu vyenu vinawatambua..
 
Back
Top Bottom