Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
Umepata wapi selection?
Chuo cha ukweli ,malecturer wapo wa kutosha, kina sheria sana ,hostel zpo ila hazitosh ,watu bnafsi wamejenga hostel nyingi tu zinazozunguka chuo
In short kipo poa.
kaka vipi hzo za watu binafsi sio ghali sana?
Kozi unayoenda kusoma pale ndo mahali pake coz wanatoa mpaka phd ya mass com, jumamosi darasani ni kama kawaida na mitihani unafanya na kama msabato umeumia, hostel zipo za chuo laki 3 uraiani vyumba vipo kuanzia laki 4~6 na hostel za watu binafsi.
1.Hostel zipo za ndani ambazo zina vitanda 2 double decker na nje kuna maelfu ya hostel kadiri pesa yako inavyoruhusu kuanzia 300,000tsh hadi 1,200,000tsh kulingana na hadhi ya hostel na kama unapenda kukaa na mate basi mta share gharama. 2.Nimepata shida kama ulifaulu kweli, haswa unapouliza wanalazimisha kufanya mitihani jumamosi? Ratiba haiwezi kulenga siku moja ya jumamosi ndipo ufanye mtihani, ukweli ni kwamba ratiba ya masomo ni jumatatu hadi jumamosi vinginevyo iwe holiday hivyo siyo mitihani tu, hata lecture kama una una kipindi jumamosi sharti ufuate ratiba.Kama wewe ni Msabato basi utachagua kupuuza lecture,quiz,test or exams na kufuata Usabato wako kabla hujarudishwa kwenu au ufuate elimu iliyokuleta. 3.Walimu wapo lakini chuo kikuu unatakiwa kujiongeza.
kaka hizo figure za kodi kwa mwaka au mwezi!
hadi weekend class..mhh..balaa hilo,.
Mkuu usisahau kuna kifaransa mwaka wa 2 semister zote kinalositisha watu sana, jumamosi vipindi vinaweza kuwa 2 au hata kimoja tena single hivyo usijali sana, kuna library kubwa na yenye material ya kutosha, kama wewe ni mzee wa totoz hapa umefika.
jaman samahan selection umetoa wap