Erick zeph Stanley
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 647
- 72
Wakuu binafsi nimekuwa admitted st augustine university kozi iitwayyo MASSCOMUNICATION kwa mwenye uelewa kwa undani anipe maelezo kuhusu_
1.hostel zipo au majanga..
2.nimesikia mitihani wanalazimisha kufanya j'mosi je ni kweli?
3.vp malecture wapo wa kutosha hasa kwa Masscom?
Mwisho wanasaut(kwa main campus) kama mpo msisite kujitaja tujuane... Molembe mwanasaut mwenzangu wapi kaka
1.hostel zipo au majanga..
2.nimesikia mitihani wanalazimisha kufanya j'mosi je ni kweli?
3.vp malecture wapo wa kutosha hasa kwa Masscom?
Mwisho wanasaut(kwa main campus) kama mpo msisite kujitaja tujuane... Molembe mwanasaut mwenzangu wapi kaka