Msaada wa jinsi kupata mtoto wa kike

kwetu tuko nane,Ke na Me tumegawana nusu kwa nusu,mke wangu kwao wako 5 watatu ni Ke na wawili Me...my first born ni njemba ya maana sana.
 
kwetu tuko nane,Ke na Me tumegawana nusu kwa nusu,mke wangu kwao wako 5 watatu ni Ke na wawili Me...my first born ni njemba ya maana sana.
Kama hali itaendelea hivyo ujue una damu kali kumzidi mkeo.
 
chukua mayai mabichi mawili, utumbo wa kumbikumbi na mavi ya kenge....changanya na bia mbili kunywa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hivi ile topic ya PROBABILITY uliisomaga ukaielewa vizuri? Apply ile topic kwenye maisha ya UZAZI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…