Msaada wa jinsi ya kupata Bank Statement

Msaada wa jinsi ya kupata Bank Statement

Kivip chief
Kuna kipindi hazitoki,,na kuna kipindi mtu fulani ndy anatoa sn, wengine hawatoi,,namaanisha wanakosa.

Kuna kipindi zinamwagika kila ukiingiza ubalozi..
So cheza ma msimu,,

Kwa mtu ambaye upo kwenye mfumo ni rahisi kujuwa nani anatoa kwa sasa na nani hatoi.

Kabla hujaomba viza kwnz chunguza nani anaupepo wa kuzitoa kwa kipindi hiki.
 
Kuna kipindi hazitoki,,na kuna kipindi mtu fulani ndy anatoa sn, wengine hawatoi,,namaanisha wanakosa.

Kuna kipindi zinamwagika kila ukiingiza ubalozi..
So cheza ma msimu,,

Kwa mtu ambaye upo kwenye mfumo ni rahisi kujuwa nani anatoa kwa sasa na nani hatoi.

Kabla hujaomba viza kwnz chunguza nani anaupepo wa kuzitoa kwa kipindi hiki.
Msimu upi sasa au miezi ipi??
 
Back
Top Bottom