Msela Wa Kitaa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2021
- 1,396
- 2,704
fafanua aweke picha ya huyo rafiki yake au picha ya simu?Weka picha yake
Simu....fafanua aweke picha ya huyo rafiki yake au picha ya simu?
MmaMsaada tutani wakuu nimsaidie jamaa yangu
Sehemu ya data ipo on lakini kwenye screen haionekani kuwa on, hata ukiingia mtandaoni hapafunguki
mwambie aende setting, mobile network then access point names (APN) kama hapajajazwa ajaze inategemea na mtandao anaotumia ama awapigie wamtumie ila ni rahisiSimu....
Simu yako kama ni 4g hakikisha n line yako ni 4g washa data enjoy internet yako tofauti na hapo hakuna utakalo fanikiwa vzuri hta ikikubali net itakuwa Haina kasi
Anhaaa daah jamaa ndo anaanza kutumia smartphone nn?!?! ππmwambie aende setting, mobile network then access point names (APN) kama hapajajazwa ajaze inategemea na mtandao anaotumia ama awapigie wamtumie ila ni rahisi
mi sipendi umbea mkuu...Anhaaa daah jamaa ndo anaanza kutumia smartphone nn?!?! ππ
Hili jibu lako nimenifurahisha sanami sipendi umbea mkuu...
mkuu nawe jina lako linafurahisha sana!Hili jibu lako nimenifurahisha sana
Ahsante mkuu tayarimwambie aende setting, mobile network then access point names (APN) kama hapajajazwa ajaze inategemea na mtandao anaotumia ama awapigie wamtumie ila ni rahisi
imekubali...?Ahsante mkuu tayari
yes imekubali mkuuimekubali...?
haya mwambie aje jf tuiseme serikali sasa...πyes imekubali mkuu
kwani haina 3G..? set 3GNi kweli naona inasoma E dah, kwa hiyo jamaa aende tigoshop ili laini iwezeshwe 4G
huyu huku hapawezihaya mwambie aje jf tuiseme serikali sasa...π
Huo sasa ni umbea tena kuisema serikali πππhaya mwambie aje jf tuiseme serikali sasa...π
nishaupata tayari ahsante