Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngasere😂 unapanda na mbuzi afu konda akimind abiria wanamjibu konda si amelipa nauli hiyo mwache😂Gansele, kimbinyiko, shabibi.
Ila kimbinyiko ndio moto
Wanazingua sana haoNgasere😂 unapanda na mbuzi afu konda akimind abiria wanamjibu konda si amelipa nauli hiyo mwache😂
Shabiby is the best. Hakuna longolongo.Habari
Husika na kichwa cha habari hapo juu, wadau wa kusafiri tushirikishane kampun gani ya basi zuri, either luxury au semi luxury ya kutoka Dodoma kwenda Mbeya.
Asante.
SHABIBYHabari
Husika na kichwa cha habari hapo juu, wadau wa kusafiri tushirikishane kampun gani ya basi zuri, either luxury au semi luxury ya kutoka Dodoma kwenda Mbeya.
Asante.
Ni Ngasere.Duh hii sijawahi isikia labda kama kuna wadau watakuja kutoa maoni yake na kama ndivyo linavyotamkwa