Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shabiby, Kimbinyiko & Ngasere.Hutojuta.Habari
Husika na kichwa cha habari hapo juu, wadau wa kusafiri tushirikishane kampun gani ya basi zuri, either luxury au semi luxury ya kutoka Dodoma kwenda Mbeya.
Asante.
Kimbinyiko the bestHabari
Husika na kichwa cha habari hapo juu, wadau wa kusafiri tushirikishane kampun gani ya basi zuri, either luxury au semi luxury ya kutoka Dodoma kwenda Mbeya.
Asante.
Pamoja sana mkuuShukrani mkuu
Mimi nilipanda mwezi wa tisa nikitoka mbeya kwenda dom kiukwel wako vzuri,wako on time na gari ni zuri pia(sipendagi usafiri usoeleweka bora nilipe nauli kubwa ila nisafiri vizuri)Ni Ngasere.
Nliwai panda dsm to mpwapwa
Ni motooo
Ni tajiri wa Mpwapwa
Mpwapwa to Dodoma
Mpwapwa to DSM
Mpwapwa to Iringa
Ruti nlizotaja wako on time
Au watu wangu wa Mpwapwa mnasemaje?
Acha kuharibu biashara za watu mkuu, Ngasere ana bus standard kama Shabiby, F12+ liko standard sana na kwa route hyo ndio linakimbiza kwa sasa hasa kwenye kutunza mda. Nmepanda yote najua walivyo.Ngasere[emoji23] unapanda na mbuzi afu konda akimind abiria wanamjibu konda si amelipa nauli hiyo mwache[emoji23]
Karubandika inaenda Njombe! Na haina hata hadhi ya kuitwa semi luxury! Inasimama simama hovyo njiani kama daladala vile!Kalubandika
Hizo ni marcopolo zilizo choka za kiwango cha kuitwa screpa! Hawajawahi kumiliki semi luxury kwa njia hiyo. By the way, route zao zinaanzia Arusha to Mbeya kupitia Dodoma! Hawaanzii Dodoma kama anavyotaka mtoa mada.Arusha express
mwendo wa kinyongaShabiby is the best. Hakuna longolongo.
Ngasere hawako serious kwenye baadhi ya huduma zao. Kuna mdau alishawahi kukata tiketi kwenye kampuni yao pale Dodoma kuelekea Iringa, asubuhi akajikuta anapandishwa kwenye basi la fuso lenye injini nyuma lenye jina la Nani Kaona, huku akiwa amelipia nauli ya basi kubwa elfu 15000!Ni Ngasere.
Nliwai panda dsm to mpwapwa
Ni motooo
Ni tajiri wa Mpwapwa
Mpwapwa to Dodoma
Mpwapwa to DSM
Mpwapwa to Iringa
Ruti nlizotaja wako on time
Au watu wangu wa Mpwapwa mnasemaje?
Mbona huwa anaingia Mbeya muda karibu sawa na mabasi mengi ya saizi yake ya kutoka Dom (Kimbinyiko, Ngusero)? Mimi nilipanda mara mbili kwa kweli i was super-impressed na huduma zao, na mwendo wao pia ulikua mzuri tuu (sio kinyonga kama ulivyosema, na pia sio waendeshaji hovyo hovyo wa kupaisha roho); Na nilifika mida mizuri tuu.mwendo wa kinyonga
sawa ni kweli ila Kimbinyiko is the bestMbona huwa anaingia Mbeya muda karibu sawa na mabasi mengi ya saizi yake ya kutoka Dom (Kimbinyiko, Ngusero)? Mimi nilipanda mara mbili kwa kweli i was super-impressed na huduma zao, na mwendo wao pia ulikua mzuri tuu (sio kinyonga kama ulivyosema, na pia sio waendeshaji hovyo hovyo wa kupaisha roho); Na nilifika mida mizuri tuu.