Msaada wa Kazi au Connection ya Kazi

Msaada wa Kazi au Connection ya Kazi

Hio shindwa mwenyewe
IMG-20220608-WA0009.jpg
 
Hapa ungeweka hizo njia kuanzia pakuanzi hadi kumalizia kuhusu hili jambo ulilolisema na ungewasaidia vijana wengi si wakizazi hiki mpaka vijavyo. Tunaomba utuwekee hayo mawazo na huo mchakato ili na wengine waweze kufanya vile ulivyomwelekeza huyoo jamaa
kila kitu kipo kwenye mtandao....ndugu yangu tafuta mtandaoni...
 
NDUGU YANGU....MIMI NINGEKUWA WEWE ningeomba sponsorship ya kuendelea na masomo USA ambako unaweza kusomeshwa kwa gharama zao na faida ya kubaki huko kwa muda sawa na ule ambao utakaa masomoni...bongo utakaa sana na ajira inayoendana na elimu yako huto pata...zidi kumuomba Mungu na ikikupendeza omba vyuo vya nje vingi kadri ya uwezavyo...hapa nchini kwetu swala la ajira limeshakuwa ugonjwa usio na tiba...UBARIKIWE SANA NDUGU YANGU ukifanikiwa unikumbuke kwenye ufalme wako
Ni kweli mhando lakini changamoto ni kuwa sponsorship nyingi lazima uwe na kianzio wengi wanataka vianzio ambayo ni application fees za vyuo ambazo unakuta ni more than a million Sasa mtu wa kipato Cha chini anaipata wapi
 
NDUGU YANGU....MIMI NINGEKUWA WEWE ningeomba sponsorship ya kuendelea na masomo USA ambako unaweza kusomeshwa kwa gharama zao na faida ya kubaki huko kwa muda sawa na ule ambao utakaa masomoni...bongo utakaa sana na ajira inayoendana na elimu yako huto pata...zidi kumuomba Mungu na ikikupendeza omba vyuo vya nje vingi kadri ya uwezavyo...hapa nchini kwetu swala la ajira limeshakuwa ugonjwa usio na tiba...UBARIKIWE SANA NDUGU YANGU ukifanikiwa unikumbuke kwenye ufalme wako
Natamani nifahamu hii ya kusoma maana nimekwama kusoma Masters asee
 
Back
Top Bottom