crazyrider
Member
- Jun 10, 2019
- 27
- 26
- Thread starter
- #21
Nashukuru Mkuu nitaenda kuchekiNenda Taesa pale utapata tempo serikalini then utapata ajira ya moja kwa moja after 6 months. All the best
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nashukuru Mkuu nitaenda kuchekiNenda Taesa pale utapata tempo serikalini then utapata ajira ya moja kwa moja after 6 months. All the best
Kufundisha shule...??? sijakupata kidogo hapo MkuuUnaweza kufundisha ww? ,[emoji41]
Taesa.....you must be not serious..Nenda Taesa pale utapata tempo serikalini then utapata ajira ya moja kwa moja after 6 months. All the best
Ngoja nipite nayo hii Mkuu hahahHio shindwa mwenyeweView attachment 2254659
kila kitu kipo kwenye mtandao....ndugu yangu tafuta mtandaoni...Hapa ungeweka hizo njia kuanzia pakuanzi hadi kumalizia kuhusu hili jambo ulilolisema na ungewasaidia vijana wengi si wakizazi hiki mpaka vijavyo. Tunaomba utuwekee hayo mawazo na huo mchakato ili na wengine waweze kufanya vile ulivyomwelekeza huyoo jamaa
Ni kweli mhando lakini changamoto ni kuwa sponsorship nyingi lazima uwe na kianzio wengi wanataka vianzio ambayo ni application fees za vyuo ambazo unakuta ni more than a million Sasa mtu wa kipato Cha chini anaipata wapiNDUGU YANGU....MIMI NINGEKUWA WEWE ningeomba sponsorship ya kuendelea na masomo USA ambako unaweza kusomeshwa kwa gharama zao na faida ya kubaki huko kwa muda sawa na ule ambao utakaa masomoni...bongo utakaa sana na ajira inayoendana na elimu yako huto pata...zidi kumuomba Mungu na ikikupendeza omba vyuo vya nje vingi kadri ya uwezavyo...hapa nchini kwetu swala la ajira limeshakuwa ugonjwa usio na tiba...UBARIKIWE SANA NDUGU YANGU ukifanikiwa unikumbuke kwenye ufalme wako
Natamani nifahamu hii ya kusoma maana nimekwama kusoma Masters aseeNDUGU YANGU....MIMI NINGEKUWA WEWE ningeomba sponsorship ya kuendelea na masomo USA ambako unaweza kusomeshwa kwa gharama zao na faida ya kubaki huko kwa muda sawa na ule ambao utakaa masomoni...bongo utakaa sana na ajira inayoendana na elimu yako huto pata...zidi kumuomba Mungu na ikikupendeza omba vyuo vya nje vingi kadri ya uwezavyo...hapa nchini kwetu swala la ajira limeshakuwa ugonjwa usio na tiba...UBARIKIWE SANA NDUGU YANGU ukifanikiwa unikumbuke kwenye ufalme wako