the galaxy a
Senior Member
- Mar 25, 2017
- 183
- 110
Habari, Kama kichwa kinavyo sema hapo juu, mimi ni kijana nina miaka 26 elimu ya stashada ya maendeleo ya jamii kwetu ni mtwara kwasasa nipo Dodoma, Ujuzi nilio nao tofauti na elimu yangu:
. Ujuzi wa computer hasa exel,word na publisher
. Saluni ya kiume(kunyoa)
. Kuandaa miradi, nipo hapa kuomba kwa yeyote mwenye shuguli inayoweza kuniingizia kipato, kwa maeneo ya Dodoma hata nje ya Dodoma nafanya kazo yoyote ile
UZOEFU WANGU:
Nimekuwa msimamizi wa sheri ya mafuta(sitaweza kuitaja hapa) miwzi 6
-Kinyozi
Kwa aliyeguswa naomba anisaidie
Ahsante
. Ujuzi wa computer hasa exel,word na publisher
. Saluni ya kiume(kunyoa)
. Kuandaa miradi, nipo hapa kuomba kwa yeyote mwenye shuguli inayoweza kuniingizia kipato, kwa maeneo ya Dodoma hata nje ya Dodoma nafanya kazo yoyote ile
UZOEFU WANGU:
Nimekuwa msimamizi wa sheri ya mafuta(sitaweza kuitaja hapa) miwzi 6
-Kinyozi
- Shughuĺi za ulinzi( JKT MIAKA 4)
- Na pia shughuli za kijamaii mbali mbali za mashirika, na miradi mbalimbali.
Kwa aliyeguswa naomba anisaidie
Ahsante