dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,758
- 3,199
Habarini Wakuu!
Kwanza Kabisa Heri ya mwaka mpya 2013 iwafikie popote mlipo!
Wadau shida yangu hasa ni kuhusu kikokotoleo (Calculator) ya TRA kenye Magari used, Nimefuatitilia mijadala mbalimbali humu jamvini kuhusu hicho kikokotoleo lakini kila nikipiga hesabu zinakataa!
Kwa mfano ukiagiza gari yenye C.I.F ya 3200USD, iliyotengenezwa mwaka 2004 basi taxes zote zinakuja arround 1,500,000TSH,(kwa mujibu wa kikotoleo cha TRA) ukijumlisha pale TPA gharama zake ni arround 500,000TSH, registration 40,000TSH, insurance arround 700,000TSh! sasa kuna jamaa yangu pale TRA ananiambia niandae 5,000,000TSH kwa ajili ya mchakato wote, wakati hesabu zangu hazifiki hata 3,500,000TSH!
KUna nini nakosea hapo? NIsaidieni kuchambua hili manake sijaziona kwenye mijadala mingine?
Nitashukuru kwa msaada wenu! Na mungu ajaalie mwaka huu uwe wa mafanikio maradufu kwetu sote , Ameeeen!
Kwanza Kabisa Heri ya mwaka mpya 2013 iwafikie popote mlipo!
Wadau shida yangu hasa ni kuhusu kikokotoleo (Calculator) ya TRA kenye Magari used, Nimefuatitilia mijadala mbalimbali humu jamvini kuhusu hicho kikokotoleo lakini kila nikipiga hesabu zinakataa!
Kwa mfano ukiagiza gari yenye C.I.F ya 3200USD, iliyotengenezwa mwaka 2004 basi taxes zote zinakuja arround 1,500,000TSH,(kwa mujibu wa kikotoleo cha TRA) ukijumlisha pale TPA gharama zake ni arround 500,000TSH, registration 40,000TSH, insurance arround 700,000TSh! sasa kuna jamaa yangu pale TRA ananiambia niandae 5,000,000TSH kwa ajili ya mchakato wote, wakati hesabu zangu hazifiki hata 3,500,000TSH!
KUna nini nakosea hapo? NIsaidieni kuchambua hili manake sijaziona kwenye mijadala mingine?
Nitashukuru kwa msaada wenu! Na mungu ajaalie mwaka huu uwe wa mafanikio maradufu kwetu sote , Ameeeen!