Msaada wa kimapenzi tafadhali

Ni utahaira tu kuomba picha za nyuchi.

Kwanini uombe picha wakati unaweza kumuita na hata kumwambia avae underwaear gani uzipendazo na akaja ukamtomasa vya kutosha?
 
Mapenzi ni kama kula miwa, kuna pingili zinakuwa tamu balaa na Kuna sehemu unakula pingili hazina hata utamu.

Ikifika hiyo stage ya kula pingili zisizo na utamu ndiyo watu hawachelewi kutuma connection.

Utasikia anayetaka connection ya Unique Flower aje PM 😜

Na sisi Wazee tunawahi chapu kuvaa miwani na kusubiria kuona hizo connection zenu

Kuweni makini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…