real hustler
Senior Member
- Mar 12, 2021
- 143
- 204
- Thread starter
- #41
Kilimo cha zao gani?Njoo iringa na milioni kumi tu tulime msimu mmoja tu faida 30 milion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kilimo cha zao gani?Njoo iringa na milioni kumi tu tulime msimu mmoja tu faida 30 milion
Yn labla ufe 😂 na ukifa utakuwa unanitokea ww mwnyw kama mzimu 😎🙌🏾😂nijifiche wap mimi na uso wako
We acha tuu mkuu, nna maumivu knoma 😔🤣🤣Maji utaita mma🤒
we alokuroga kafa kitambo sana 😁Yn labla ufe 😂 na ukifa utakuwa unanitokea ww mwnyw kama mzimu 😎
Eh nan huyo, em mtagHuyo mbaga na bichwa lake hapana kwakweli 😹😹😹
Kuna mtu wanaendana naye humu wote chenga
Jitupe chini 😹😹😹Dah nimelia sana 😭
Pole Sana🤣🤣🤣We acha tuu mkuu, nna maumivu knoma 😔
Wanajipigia tuu 😔Wahuni sio watu poa
Pombe sio chai ila bangi inaweza kuwa ubani mashtakaHabari yako mwana jf
Baba yangu alibahatika kuwa na mali nyingi sana na kwetu tumezaliwa wachache watu wa nne tu,
Sasa mzee ili kuondoka utata ameamua kugawa mali ingali yupo hai Mimi nimepata mgao wa nyumba ya kuishi pamoja na kiasi kama million 50
Kwa upane wa elimu nina degree ya agribusiness kutokea SUA
Pia binafsi sina background yoyote ya kufanya biashara maana mda mwingi nimetumia shuleni
Niliwaza hii pesa niiweke UTT baada ya kuisoma na kuifatilia Sana lakini changamoto inakuja nahofia usalama wa pesa yangu huko UTT hasa hasa kwenye nchi yetu hii ambayo kiongozi anaweza amua chochote mda wowote.
Naombeni ushauri je naweza anzia wapi katika uwekezaji.
Na je UTT ni salama mathalani kwa miaka 30 ijayo. Umri wangu ni miaka 25.
Pia ningeomba Kwa wenye kujua zaidi ni mkoa gani au eneo gani Tanzania ni zuri Kwa mtu mwenye mtaji kuanza biashara na biashara ipi inaweza kuwa na rejesho zuri.
Asanteni
Tunaachaje mboga safiWanajipigia tuu 😔
Mpe hata ushauriSina cha kumpa
😹😹😹 Ana Ana Anado kachanika bastoooEh nan huyo, em mtag
Njoo niloge na ww 😎we alokuroga kafa kitambo sana 😁
😔Jitupe chini 😹😹😹
JediNjoo niloge na ww 😎
Naomba kazi mkuu 😔Pole Sana🤣🤣🤣
We nawe kumbe snitch 😹😹Wahuni sio watu poa
Nipe ht kdg tuu ninuse hata harufuSina cha kumpa