Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Mxiuuu 😂Njoo niloge na ww 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mxiuuu 😂Njoo niloge na ww 😎
Mwez wa wangap ndio kuna soko la Tumbaku...?Usirogwe utt it's better uweke fixed account kama 40mil then 10mil nenda tabora miezi ya kwanzia mwez wa 3 mpka 5 ununue tumbaku ikiwa tayr imekaushwa ipo kwenye vishada nunua kwa kupoint then uiuze kwenye masoko mda wa masoko ukifika ni uhakika haina ugai gai unapiga pesa zako unatulia
Nimefanyaje tena Mrs MbagaWe nawe kumbe snitch 😹😹
Tili Tili madoidoo ana ana pasto 🎶😹😹😹 Ana Ana Anado kachanika bastooo
Ushauri alinde afya yakeMpe hata ushauri
Kapiga kwenye mshono eee 😂We nawe kumbe snitch 😹😹
Asante kwa kiss 🥰Mxiuuu 😂
walembo wa JF wakiona hili bandiko wanalowa badala ya kutoa ushauri.Habari yako mwana jf
Baba yangu alibahatika kuwa na mali nyingi sana na kwetu tumezaliwa wachache watu wa nne tu,
Sasa mzee ili kuondoka utata ameamua kugawa mali ingali yupo hai Mimi nimepata mgao wa nyumba ya kuishi pamoja na kiasi kama million 50
Kwa upane wa elimu nina degree ya agribusiness kutokea SUA
Pia binafsi sina background yoyote ya kufanya biashara maana mda mwingi nimetumia shuleni
Niliwaza hii pesa niiweke UTT baada ya kuisoma na kuifatilia Sana lakini changamoto inakuja nahofia usalama wa pesa yangu huko UTT hasa hasa kwenye nchi yetu hii ambayo kiongozi anaweza amua chochote mda wowote.
Naombeni ushauri je naweza anzia wapi katika uwekezaji.
Na je UTT ni salama mathalani kwa miaka 30 ijayo. Umri wangu ni miaka 25.
Pia ningeomba Kwa wenye kujua zaidi ni mkoa gani au eneo gani Tanzania ni zuri Kwa mtu mwenye mtaji kuanza biashara na biashara ipi inaweza kuwa na rejesho zuri.
Asanteni
Ajitunze tu mchwa waje wafaidi atiUshauri alinde afya yake
We taratibu em kaa kwa kutulia, mi na u mrs wapi na wapi??Nimefanyaje tena Mrs Mbaga
Hajui kuwa mtwangio ukikaa muda mrefu unakuwa na joto zuri na yeye ndie nayemtunziaAjitunze tu mchwa waje wafaidi ati
Mshono gani? Mi sichukui wahuni 😹😹Kapiga kwenye mshono eee 😂
Njoo kwangu basi dish langu lipo timamu mtani wangu Mbaga hatomaindiWe taratibu em kaa kwa kutulia, mi na u mrs wapi na wapi??
Huyo mbaga dish lake haliko sawa
Mm sio mhuni babe, mm n muimba kwaya kanisani kwetuMshono gani? Mi sichukui wahuni 😹😹
Aende akiwa msafiAjitunze tu mchwa waje wafaidi ati
Nisamehe boss 😔Daaah we mtu wewe ni nini lakin 😂🙌🏾