Una Social phobiamkuu mi mmoja wapo. ninapokua kwenye watu wengi huwa nashindwa kuwa efficient najisikia nguvu zinaisha mwilini. huwa nahitaji mda wa kukaa peke yangu. na nikiwa peke yangu akili ndio inafanya kazi sana. huwa sipendi kelele kabisa so kuwa peke yangu naepukana na kelele
Nami mmoja wapo..sipendi kelele kabisa yani nikikaa sehemu nikaona watu wanapiga story ambazo hazinipi faida yoyte ile lazima ntanyanyuka maana mwisho wa siku tutaishia kusengenya...napenda sana nikiwa peke angu hata kwenye swala la kuangalia movie basi niangalie mwenywe au kama yupo mtu pemben yangu basi mawazo yetu yawe pamoja..sio mim nasikitika au nachka kuhusu movie we unaaza maswal unacheka nin!!....pia nadhan inanisaidia kuepuka na vitu vingi tu mfano ugomvi au marumban yasonatija...napenda kukaa peke angu nikiangalia movie..kusoma vitabu au kupeluzi kwa simu ili kujua nin kinaendelea dunia..lakin ukinifta nilipo na tukapiga story mdgomdgo hapo sawa ..ila tu usiwe mtopokaji wa ovyo!!....KUPITIA IVYO NAJIONA MWENYE FULAHA NA AMANI KULIKO KUKAA NA WATU WENGI ALAFU WAKAICHOSHA AKILI YANGU
Hata mi pia nina tatzo hilo sipendi kukaa na watu wengi nimezoea kukaa peke yangu na huwa nakuwa na furaha sana nikikaa peke yanguHabari wana JF,
Je ni tatizo gani la kisaikolojia alilonalo mtu anayependa kuishi mwenyewe, kufanya mambo yake mwenyewe, kupenda kukaa mbali na watu na hata wakiwepo wasiwe wengi sana na hata katika swala la kusoma kupenda kusoma mwenyewe kila kitu yeye ni mwenyewe, mwenyewe, mwenyewe.
Karibuni wakuu tumsaidie huyu bwana mwenyewe.
Tatizo la kisaikolojia liitwalo: Socio-phobiaHabari wana JF,
Je ni tatizo gani la kisaikolojia alilonalo mtu anayependa kuishi mwenyewe, kufanya mambo yake mwenyewe, kupenda kukaa mbali na watu na hata wakiwepo wasiwe wengi sana na hata katika swala la kusoma kupenda kusoma mwenyewe kila kitu yeye ni mwenyewe, mwenyewe, mwenyewe.
Karibuni wakuu tumsaidie huyu bwana mwenyewe.
Nimeipenda hii. KudosPsychology says - staying quiet doesn’t mean you've got nothing to say. It means you don’t think they're ready to hear your thoughts
Huo ndo ukweli.Bibi yangu aliwahi niambia mtu wa hivyo mara nyingi ana tabia za UCHOYO.
Kweli kuka peke ako aimanishi ujiamin au unogopa au unaona aibu la hasha!mi bana sina aibu n wala siogop tena linapokuja suala la kunikwaza au nikuambie ukwel kuhusu jambo ambalo naliona haliko poa.. Wee lazma utashngaa ndo huyu anayekaaga kimya au! ....nakupa makavu yako tu den story zinaendeleaSocial Phobia ni yule anayeogopa au kuona aibu kukaa na watu. mimi siko hivyo sina aibu kabisa na wala siogopi kukaa na watu.
Nikiwa home kabisa yan may be ndan ya nyumba aaah tunapiga story fresh tu ila tu usiwe mropotopotu!Mkuu wewe upo kama mimi.. yani mpaka home wananishangaa