popo1986
JF-Expert Member
- Jul 30, 2014
- 1,120
- 372
Wakuu habari za kazi.kunamtu anaomba msaada juu jambo ambalo mwanandoa mwezi walieishi nae zaidi ya miaka 4.na kuzaa mtoto mmoja lkn hivi leo mumewe ameamua kumuacha na mume huyo ameiba hati ya nyumba na cheti cha kuzaliwa mtoto na amekimbia
Sasa huyo dada anataka kujua kwa kesi hii anashitaki wapi wakuu msaada. Au mwenye uelewa na hizi taasisi za kusaidia wanawake wanao onewa
Sasa huyo dada anataka kujua kwa kesi hii anashitaki wapi wakuu msaada. Au mwenye uelewa na hizi taasisi za kusaidia wanawake wanao onewa