FYATU
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 5,567
- 4,683
Mbona mnachunguza yasiyo wahusu jamani mwisho mtataka kujua aliiwekaje hiyo mimba loool tukaushe
Mbona wewe unamind wakati yeye Dokta anapenda, we hukumuona juzi kwenye Luninga na Gazeti kama jf....keshokutwa utamuona na Laptop Luningani anacomplain..."hawa jf wameanza kunifuatafuata..........