mbapa
Member
- Feb 4, 2014
- 63
- 18
Habari
wanaJf?.
Kuna ndugu yangu ambae ni mtuhumiwa kwa wizi wa mifugo!. Ushahidi unaomweka hatiani hauna kidhibiti wala hajakamatwa kwenye eneo la tukio badala yake amekamatwa kwenye shughuli zake na kuambiwa ameiba siku zilizopita. Shahidi wa mlalamikaji ni askari ambae anasema "nliambiwa na msiri wangu kua mtuhumiwa ameiba sehemu husika tarehe flan saa flan". Naomba ushauri wa kisheria kwa pande hizo mbili. Je, atahukumiwa jela au faini?, au ataachiwa huru?. Na kwanin ahukumiwe au aachiwe huru?. Shauri lipo mahakama ya mwanzo
wanaJf?.
Kuna ndugu yangu ambae ni mtuhumiwa kwa wizi wa mifugo!. Ushahidi unaomweka hatiani hauna kidhibiti wala hajakamatwa kwenye eneo la tukio badala yake amekamatwa kwenye shughuli zake na kuambiwa ameiba siku zilizopita. Shahidi wa mlalamikaji ni askari ambae anasema "nliambiwa na msiri wangu kua mtuhumiwa ameiba sehemu husika tarehe flan saa flan". Naomba ushauri wa kisheria kwa pande hizo mbili. Je, atahukumiwa jela au faini?, au ataachiwa huru?. Na kwanin ahukumiwe au aachiwe huru?. Shauri lipo mahakama ya mwanzo