Hakuna sheria ya hivyo kwa raia wa nchi.Leo nimeamka nawaza hii kitu sikupata jibu ..nikaona nililete kwenye jf maana watu vchwa wako humu. Swali hili: Jeni ni makosa gani unaweza kufanya mwananchi ikapelekea kufukuzwa nchini.mfano nikiwa nimefanya kosa Fulani nafukuzwa tuu nisiishi Tanzania na sifungwi.nahitaji hilo kosa ..linaweza kuwa alternative way..katibu.
Ufukuzwe uende wapi kama wewe ni Mtanzania? Anayefukuzwa nchi ni yule ambaye siyo MtanzaniaLeo nimeamka nawaza hii kitu sikupata jibu ..nikaona nililete kwenye jf maana watu vchwa wako humu. Swali hili: Jeni ni makosa gani unaweza kufanya mwananchi ikapelekea kufukuzwa nchini.mfano nikiwa nimefanya kosa Fulani nafukuzwa tuu nisiishi Tanzania na sifungwi.nahitaji hilo kosa ..linaweza kuwa alternative way..katibu.
Hakuna hiyo sheria ukifanya kosa utapelekwa mahakamani ukipatikana na hatia utahukumiwa kwa mujibu wa sheria na kupewa adhabu kulingana na uzito wa kosa lako inaweza kuwa kulipa faini, kifungo au hata hukumu ya kifo. Huwezi kufukuzwa nchini mwako labda uwe sio raia.Leo nimeamka nawaza hii kitu sikupata jibu ..nikaona nililete kwenye jf maana watu vchwa wako humu. Swali hili: Jeni ni makosa gani unaweza kufanya mwananchi ikapelekea kufukuzwa nchini.mfano nikiwa nimefanya kosa Fulani nafukuzwa tuu nisiishi Tanzania na sifungwi.nahitaji hilo kosa ..linaweza kuwa alternative way..katibu.
Hakuna sheria nchini kwetu inayomfumkuza raia nchini kwake.Leo nimeamka nawaza hii kitu sikupata jibu ..nikaona nililete kwenye jf maana watu vchwa wako humu. Swali hili: Jeni ni makosa gani unaweza kufanya mwananchi ikapelekea kufukuzwa nchini.mfano nikiwa nimefanya kosa Fulani nafukuzwa tuu nisiishi Tanzania na sifungwi.nahitaji hilo kosa ..linaweza kuwa alternative way..katibu.
Ukifukuzwa utaenda wapi??Leo nimeamka nawaza hii kitu sikupata jibu ..nikaona nililete kwenye jf maana watu vchwa wako humu. Swali hili: Jeni ni makosa gani unaweza kufanya mwananchi ikapelekea kufukuzwa nchini.mfano nikiwa nimefanya kosa Fulani nafukuzwa tuu nisiishi Tanzania na sifungwi.nahitaji hilo kosa ..linaweza kuwa alternative way..katibu.
Leo nimeamka nawaza hii kitu sikupata jibu ..nikaona nililete kwenye jf maana watu vchwa wako humu. Swali hili: Jeni ni makosa gani unaweza kufanya mwananchi ikapelekea kufukuzwa nchini.mfano nikiwa nimefanya kosa Fulani nafukuzwa tuu nisiishi Tanzania na sifungwi.nahitaji hilo kosa ..linaweza kuwa alternative way..katibu.
Apo utaishia segereaTongoza mchepuko wa mkuu