cacacuona
JF-Expert Member
- Feb 24, 2017
- 655
- 776
Leo nimeamka nawaza hii kitu sikupata jibu ..nikaona nililete kwenye jf maana watu vchwa wako humu. Swali hili: Jeni ni makosa gani unaweza kufanya mwananchi ikapelekea kufukuzwa nchini.mfano nikiwa nimefanya kosa Fulani nafukuzwa tuu nisiishi Tanzania na sifungwi.nahitaji hilo kosa ..linaweza kuwa alternative way..katibu.