Nawasalimu wanajf,
Naandika nikiwa na majonzi, huzuni na masikitiko moyoni na usoni.
Katika harakati za hapa na pale, nilikutana na mdada ambaye baadae katika kufunguka aliniambia kuwa ni mke wa jamaa mmoja ambaye katika kunielekeza vizuri nikagundua niliwahi fanya naye kazi ya muda miaka kadhaa iliyopita. (Note : wakati ananieleza haya tayari nilishamgegeda mara moja ).
Baada ya kutambua hayo nilichukua uamuzi wa kuachana naye mara moja, lakini aliniomba sana ila niliendelea na msimamo wangu, alikubaliana na matokeo kwa sharti na ombi la tuandae pambano la mwisho la kuagana, nlikubali kwa shingo upande. Kabla hatujapanga vizuri akapata taarifa kuugua mama mkwe wake kijijini, alienda kumuuguza.
Baada ya wiki tatu akanipigia simu anarudi, na anataka apitie ninapokaa kabla hajaenda kwake kwani alinibebea zawadi(tunaishi Wilaya moja ila tofauti mitaa tu), nilimkubalia na akafika ghetto.
Baada ya stori za hapa na pale, tukajikuta tupo ulingoni, lakini kabla ya mshindo akanisihi kuwa yupo siku hatari hivyo ni-withdrawal(nimwage nje) lakini kutokana na hali ilivyokuwa tulishindwa kufanya hilo. Tulimaliza rounds kadhaa akaenda zake, kibaya mumewe alikuwa amesafiri kikazi na alirudi baada ya wiki. Baada ya muda alinipa taarifa za ujauzito na kuniambia ni wangu. Nilikuwa nje ya nchi kwa muda mwaka na miezi kadhaa.
Amejifungua mtoto wa kiume na sasa mtoto anamiezi kama mitano hivi, nimerudi na nimemuona mtoto kwa kweli ni copy yangu kabisa (mama wa huyu mdada anajua ukweli wote na aliwahi iona picha yangu akaishia kumcheka mwanawe tu).
Kwa kweli naumia Sana kuona damu yangu ikipotea bure.
Kwa wajuvi wa masuala ya sheria na/au ushauri, nifanye vipi ili nimpate huyu mtoto wangu au ndo imekula kwangu?
Ushauri : Inaumiza Sana, tusiwape mimba wake za watu, watoto wanakosa matunzo yetu halisi.
Wasalam, karibuni kwa mapovu, ukosoaji na ushauri.
Naandika nikiwa na majonzi, huzuni na masikitiko moyoni na usoni.
Katika harakati za hapa na pale, nilikutana na mdada ambaye baadae katika kufunguka aliniambia kuwa ni mke wa jamaa mmoja ambaye katika kunielekeza vizuri nikagundua niliwahi fanya naye kazi ya muda miaka kadhaa iliyopita. (Note : wakati ananieleza haya tayari nilishamgegeda mara moja ).
Baada ya kutambua hayo nilichukua uamuzi wa kuachana naye mara moja, lakini aliniomba sana ila niliendelea na msimamo wangu, alikubaliana na matokeo kwa sharti na ombi la tuandae pambano la mwisho la kuagana, nlikubali kwa shingo upande. Kabla hatujapanga vizuri akapata taarifa kuugua mama mkwe wake kijijini, alienda kumuuguza.
Baada ya wiki tatu akanipigia simu anarudi, na anataka apitie ninapokaa kabla hajaenda kwake kwani alinibebea zawadi(tunaishi Wilaya moja ila tofauti mitaa tu), nilimkubalia na akafika ghetto.
Baada ya stori za hapa na pale, tukajikuta tupo ulingoni, lakini kabla ya mshindo akanisihi kuwa yupo siku hatari hivyo ni-withdrawal(nimwage nje) lakini kutokana na hali ilivyokuwa tulishindwa kufanya hilo. Tulimaliza rounds kadhaa akaenda zake, kibaya mumewe alikuwa amesafiri kikazi na alirudi baada ya wiki. Baada ya muda alinipa taarifa za ujauzito na kuniambia ni wangu. Nilikuwa nje ya nchi kwa muda mwaka na miezi kadhaa.
Amejifungua mtoto wa kiume na sasa mtoto anamiezi kama mitano hivi, nimerudi na nimemuona mtoto kwa kweli ni copy yangu kabisa (mama wa huyu mdada anajua ukweli wote na aliwahi iona picha yangu akaishia kumcheka mwanawe tu).
Kwa kweli naumia Sana kuona damu yangu ikipotea bure.
Kwa wajuvi wa masuala ya sheria na/au ushauri, nifanye vipi ili nimpate huyu mtoto wangu au ndo imekula kwangu?
Ushauri : Inaumiza Sana, tusiwape mimba wake za watu, watoto wanakosa matunzo yetu halisi.
Wasalam, karibuni kwa mapovu, ukosoaji na ushauri.