Msaada wa kisheria: Nilimpa mimba mke wa mtu, mtoto amefanana sana na mimi, nitampataje?

Msaada wa kisheria: Nilimpa mimba mke wa mtu, mtoto amefanana sana na mimi, nitampataje?

kamarah

JF-Expert Member
Joined
Nov 8, 2016
Posts
950
Reaction score
1,931
Nawasalimu wanajf,

Naandika nikiwa na majonzi, huzuni na masikitiko moyoni na usoni.

Katika harakati za hapa na pale, nilikutana na mdada ambaye baadae katika kufunguka aliniambia kuwa ni mke wa jamaa mmoja ambaye katika kunielekeza vizuri nikagundua niliwahi fanya naye kazi ya muda miaka kadhaa iliyopita. (Note : wakati ananieleza haya tayari nilishamgegeda mara moja ).

Baada ya kutambua hayo nilichukua uamuzi wa kuachana naye mara moja, lakini aliniomba sana ila niliendelea na msimamo wangu, alikubaliana na matokeo kwa sharti na ombi la tuandae pambano la mwisho la kuagana, nlikubali kwa shingo upande. Kabla hatujapanga vizuri akapata taarifa kuugua mama mkwe wake kijijini, alienda kumuuguza.

Baada ya wiki tatu akanipigia simu anarudi, na anataka apitie ninapokaa kabla hajaenda kwake kwani alinibebea zawadi(tunaishi Wilaya moja ila tofauti mitaa tu), nilimkubalia na akafika ghetto.

Baada ya stori za hapa na pale, tukajikuta tupo ulingoni, lakini kabla ya mshindo akanisihi kuwa yupo siku hatari hivyo ni-withdrawal(nimwage nje) lakini kutokana na hali ilivyokuwa tulishindwa kufanya hilo. Tulimaliza rounds kadhaa akaenda zake, kibaya mumewe alikuwa amesafiri kikazi na alirudi baada ya wiki. Baada ya muda alinipa taarifa za ujauzito na kuniambia ni wangu. Nilikuwa nje ya nchi kwa muda mwaka na miezi kadhaa.

Amejifungua mtoto wa kiume na sasa mtoto anamiezi kama mitano hivi, nimerudi na nimemuona mtoto kwa kweli ni copy yangu kabisa (mama wa huyu mdada anajua ukweli wote na aliwahi iona picha yangu akaishia kumcheka mwanawe tu).

Kwa kweli naumia Sana kuona damu yangu ikipotea bure.

Kwa wajuvi wa masuala ya sheria na/au ushauri, nifanye vipi ili nimpate huyu mtoto wangu au ndo imekula kwangu?

Ushauri : Inaumiza Sana, tusiwape mimba wake za watu, watoto wanakosa matunzo yetu halisi.

Wasalam, karibuni kwa mapovu, ukosoaji na ushauri.
 
Huwa tunaambiwa wanaoolewa ni wale wenye tabia nzuri alafu wasio olewa ni wale ambao hawafai kwene jamii majina yote mabaya wanaitwa. Sasa kama wanaoolewa ni kweli ndo wanafaa, wanajiheshimu haya mambo huwa yanatoka wapi?
 
Kwanza tambua kwenye SHERIA kuna principle inayosema "YOU CAN NOT BENEFIT FROM YOUR OWN WRONGS" alafu ujue pia kutokujua sheria sio kinga(defence), kikubwa mume wa huyo mwanamke ndio atakayetoa maamuzi cause tamaduni za kiafrika zipo wazi kuwa mume anamiliki familia, ila kama lolote litatokea kuhatarisha maisha ya mtoto ama mama basi utakuwa na haki ya kupewa mtoto wako kwa taratibu za kisheria, ila jaribu kutafakari hii scenario kupata uelewa zaidi...

" Mwizi kaiba Gari aina(Landcruiser V8) Arusha kaja nayo Dsm, baada ya mwezi ikaibiwa akiwa kai paki Mlimani city, Ni halali akitoa taarifa polisi na kuanza kuitafuta hii gari yeye binafsi kama mmiliki halali wa hiyo gari".?
 
Kwanza tambua kwenye SHERIA kuna principle inayosema "YOU CAN NOT BENEFIT FROM YOUR OWN WRONGS" alafu ujue pia kutokujua sheria sio kinga(defence), kikubwa mume wa huyo mwanamke ndio atakayetoa maamuzi cause tamaduni za kiafrika zipo wazi kuwa Mume anamiliki familia, ila kama lolote litatokea kuhatarisha maisha ya mtoto ama Mama basi utakuwa na haki ya kupewa mtoto wako kwa taratibu za kisheria, ila jaribu kutafakari hii scenario kupata uelewa zaidi...
" Mwizi kaiba Gari aina(Landcruiser V8) Arusha kaja nayo Dsm, baada ya mwezi ikaibiwa akiwa kai pack Mlimani city, Ni halali akitoa taarifa polisi na kuanza kuitafuta hii gari yeye binafsi kama mmiliki halali wa hiyo gari".?
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako
 
Huwa tunaambiwa wanaoolewa ni wale wenye tabia nzuri alafu wasio olewa ni wale ambao hawafai kwene jamii majina yote mabaya wanaitwa. Sasa kama wanaoolewa ni kweli ndo wanafaa, wanajiheshimu haya mambo huwa yanatoka wapi?
Mkuu dunia ina mengi Sana, na watu wana Siri nzito
 
Kweli unajaribu kufanya hivyo na huyo mke unaendanaye huko mlikokuwa mnafanya uchafu wenu
 
Dhambi itakutafuna sana
Hakuna kibaya kinaisha bila malipo yake.
Una roho ngumu sana kutembea na mke wa mtu.
Kwa ushauri tu amwambie ukweli waachane aje kuishi na wewe.
Ingawa hukumu yako ni panga tu sorry shit happens
 
Back
Top Bottom