Msaada wa kisheria: Nilimpa mimba mke wa mtu, mtoto amefanana sana na mimi, nitampataje?

Msaada wa kisheria: Nilimpa mimba mke wa mtu, mtoto amefanana sana na mimi, nitampataje?

Aisee mbona kitu rahisi sana unaenda mfuata unamwambia aisee mbona ataelewwa tu mkuu.Kuna cku nimekaa na jamaa yangu tunapiga story mzee mmoja kaja kasema wewe mtoto wa fulani akimwambia best yangu hakutaja jina la baba yake wa sasa ila akataja lingine jamaa hakuelewa ila as times goes jamaa amekuja gundua yupi ni baba yake.Haya mambo yako sana moshi ndo maana wazee huwa wanakukataza kuoa au kuolewa na mtu fulani kumbe wao wanayajua tokea mwanzo.
 
Kisha jua kwamba si wake. We mfwate TU. Hapo ukifwata sheria tunakukata kichwA.
 
Usijaribu utaishia jera ila baba akimkataa Mtoto/ au mama akamwambia Jamaa kuwa Mtoto siyo wake bila kukutaja, unaweza kuwa na unafuu huko mbeleni maana mama Wa Mtoto atampeleka kwao ili alelewe na we utamuhudumia kama unatoa msaada,
Baadae utamchukua kama unamsaidia ili kuikwepa sheria, ( hiyo ni principle ya mapadre wengi), fuata ushauri huu utampata.
 
Nikilipa fidia ntampata mwanangu?
Kitaanda hakizai haramu. Huyo mtoto hawezi kuwa wako kisheria hata siku moja maana amezaliwa ndani ya ndoa ya jamaa na mkewe sana sana utapigwa faini ya ugoni tu.
 
Siyo kuvuruga Nyumba ya watu tu, Bali hata Maisha yake yatakiwa hatarini. Huwezi juwa jamaa akibaini huo upuuzi atachukuwa hatua zipi dhidi yake...
Sio akijua,anajua mchezo wote,kashituliwa na jamaa yake kuwa mtoto sio wake,ila sijui anapanga nini,maana alionyeshwa siku moja kwenye msiba kuwa aliyezaa na mkeo yule pale,nilivyokuangalia niliona huruma kweli kweli ndugu yangu,kumbe umelileta humu,poleeee weee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom