Msaada wa kisheria: Nilimpa mimba mke wa mtu, mtoto amefanana sana na mimi, nitampataje?

Msaada wa kisheria: Nilimpa mimba mke wa mtu, mtoto amefanana sana na mimi, nitampataje?

Mkuu kamarah,
Hii kesi yako ni nzito mno tena sio ya kuichukulia nyepesi namna hiyo.

Kwanza, kaa ongea na mke wa mtu na kuweka makubaliano ya kwamba mtoto akifikia umri wa miaka 15 umchukue awe wa kwako.

pili, gharama zote anza kulipia kwa ajili ya kumtunza mwanao ili hali huyo mwanamke anatambua.

tatu, jaribu kuongea na mama mkwe na mke wa mtu na kupanga mikakati kwa usiri mzito wa hali ya juu ya kwamba mtamtunza huyu mtoto na kumlea katika mazingira bora bila yeyote kufahamu kitu.

nne, mshauri huyo dada ambaye ni mke wa mtu kuwa azae na mumewe angalau watoto 5 au 6 ili baadaye akija kugundua mtoto si wake asiumie sana moyoni bali ajipe moyo kwa kuendelea kuwa nawe walio salia.....
Achukue mtoto kwa mke wa mtu akifikisha miaka 15?are u serious?nasema hivi kama anataka mtoto wake mama mtoto amueleze mumewe mtoto sio wake sasa hivi aachwe afu waamue watakachofanya>
 
WEWE MKEO NAYE ATAWEKWA MIMBA. YANI ULISHAGUNDUA NI MKE WA MTU LAKIN BDO UKAPGA MECH NYINGNE, KANA KWAMBA HAITOSH UKAMWAGIA MANII YAKO NDAN KAMA UNAFANYA NA MKEO

MALIPO NI DUNIAN, MBINGUNI HTIMISHO.
 
Huwa tunaambiwa wanaoolewa ni wale wenye tabia nzuri alafu wasio olewa ni wale ambao hawafai kwene jamii majina yote mabaya wanaitwa. Sasa kama wanaoolewa ni kweli ndo wanafaa, wanajiheshimu haya mambo huwa yanatoka wapi?
Ingekuwa hivyo mbona ndoa zingekuwa paradiso ndogo. Upuuzi tu ambao ukiamua ukuingie na kutawala hisia zako umeumia.
 
Duh! Brother kwenye sheria kitanda hakizai halamu, pia hapo utasababisha ukamatwe ugoni maana hiyo nayo ni sababu mojawapo, kwahiyo jamaa huyo mtoto ni mali yake halali
 
Kuna watu mna roho ngumu mpaka shetani anawagopa yaani uzae na mke wa mtu na bado unataka ukadai mtoto are you serious....
 
Nawasalimu wanajf,

Naandika nikiwa na majonzi, huzuni na masikitiko moyoni na usoni.

Katika harakati za hapa na pale, nilikutana na mdada ambaye baadae katika kufunguka aliniambia kuwa ni mke wa jamaa mmoja ambaye katika kunielekeza vizuri nikagundua niliwahi fanya naye kazi ya muda miaka kadhaa iliyopita. (Note : wakati ananieleza haya tayari nilishamgegeda mara moja ).

Baada ya kutambua hayo nilichukua uamuzi wa kuachana naye mara moja, lakini aliniomba sana ila niliendelea na msimamo wangu, alikubaliana na matokeo kwa sharti na ombi la tuandae pambano la mwisho la kuagana, nlikubali kwa shingo upande. Kabla hatujapanga vizuri akapata taarifa kuugua mama mkwe wake kijijini, alienda kumuuguza.

Baada ya wiki tatu akanipigia simu anarudi, na anataka apitie ninapokaa kabla hajaenda kwake kwani alinibebea zawadi(tunaishi Wilaya moja ila tofauti mitaa tu), nilimkubalia na akafika ghetto.

Baada ya stori za hapa na pale, tukajikuta tupo ulingoni, lakini kabla ya mshindo akanisihi kuwa yupo siku hatari hivyo ni-withdrawal(nimwage nje) lakini kutokana na hali ilivyokuwa tulishindwa kufanya hilo. Tulimaliza rounds kadhaa akaenda zake, kibaya mumewe alikuwa amesafiri kikazi na alirudi baada ya wiki. Baada ya muda alinipa taarifa za ujauzito na kuniambia ni wangu. Nilikuwa nje ya nchi kwa muda mwaka na miezi kadhaa.

Amejifungua mtoto wa kiume na sasa mtoto anamiezi kama mitano hivi, nimerudi na nimemuona mtoto kwa kweli ni copy yangu kabisa (mama wa huyu mdada anajua ukweli wote na aliwahi iona picha yangu akaishia kumcheka mwanawe tu).

Kwa kweli naumia Sana kuona damu yangu ikipotea bure.

Kwa wajuvi wa masuala ya sheria na/au ushauri, nifanye vipi ili nimpate huyu mtoto wangu au ndo imekula kwangu?

Ushauri : Inaumiza Sana, tusiwape mimba wake za watu, watoto wanakosa matunzo yetu halisi.

Wasalam, karibuni kwa mapovu, ukosoaji na ushauri.
Kwa nini usijaribu kuongea na huyo mumewe ili wakupangie kiasi cha pesa za matunzo ya mtoto kila mwezi?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Kwa nini usijaribu kuongea na huyo mumewe ili wakupangie kiasi cha pesa za matunzo ya mtoto kila mwezi?
Muulize kwanza kama kajiandaa kutolewa "marinda".....otherwise asithubutu. Keshapoteza hapo.......aombe tu huyo mwanaume awe na maisha mafupi.
 
Hata mm hili nimeshawahi kukutana nalo...lakin hakuna namna...mwaje tu mwanao alelewe na babaake mwenza
 
THE LAW OF THE CHILD ACT, 2009
Cap.300(6)(1) "A child shall have a right to name, nationality and to know his biological parents and extended family.
Cap.300(6)(2) "A person shall not deprive a child of the right to a name, nationality and to know his biological parents and members of the extended family subject to the provisions of any other written laws.

Kwa sheria hizo na zingine mtoto wako unaweza kumchukua, lakini kumbuka na hiyo ndoa ya watu utaivunja. Lakini pia unaweza kuhatarisha usalama wako na huyo mama na pia unaweza kudaiwa fidia kwa kumwingilia mke wa mtu. Sasa uwe tayari kwa fidia na kumchukua na mama yake na mtoto. Otherwise, vumilia tu mtoto alelewe na mume mwenza, akue then akimbie mwenyewe kuja kwako kwa hiari yake.

Hilo tatizo mimi limewahi kunikuta lakini siyo katika mazingira kama yako. wangu alikuwa mchumba wangu, akaingilia jamaa mwingine mwenye nguvu zake kwa wakati huo. Binti akashawishiwa na ndugu na huyo jamaa wapambe wake kwamba aachane ni mimi kwa kuwa sina kitu (hohe hahe). basi akaenda kuolewa akiwa na mtoto wangu tumboni. Mtoto amezaliwa copy right. Niliwaachia wanilele maana walifunga ndoa ya kanisani kabisa ya Kikatoliki. Mtoto yupo form two sasa, nawasiliana naye na namtumia matumizi ya shule na sikukuu hii alitakiwa kuja kwangu. anajua ndugu zake wa damu kwa upande wangu, ananinjua na wazazi wake na ndugu wananua hilo. Hili halikuleta shida kwa sababu anajua alikuwa mchumba wa mtu yeye kaamua kubeba na mimba yake.
 
Huoni kwamba utaivunja ndoa ya huyo mwanamke? Uangalie na upande wa pili pia.
Uyo mwanamke alishaivunja hiyo ndoa yake tayari kwa kufanya ujinga huo wa kuchepuka na hadi kuzaa
 
Huwa tunaambiwa wanaoolewa ni wale wenye tabia nzuri alafu wasio olewa ni wale ambao hawafai kwene jamii majina yote mabaya wanaitwa. Sasa kama wanaoolewa ni kweli ndo wanafaa, wanajiheshimu haya mambo huwa yanatoka wapi?
Akina nani wanasema hivyo?
 
Mkuu huyo mume wa mzinzi mwenzio akikuchinja, hakika atastahili msamaha.
 
Hivi hii michezo na wake za watu huwa hamuogopi?wewe unataka k!f!ro tu huna maana kabisa
 
Nikilipa fidia ntampata mwanangu?
Jiweke kwenye nafasi ya huyo mume wa huyo dada. Mke wako akipata mimba nje ya ndoa utamchukuliaje? Utamsamehe na kuendelea nae au utamuacha.
Acha kuzidi kuharibu ndoa ya watu maana umeshaitia doa.
 
Back
Top Bottom