Msaada wa kisheria: Nilimpa mimba mke wa mtu, mtoto amefanana sana na mimi, nitampataje?

Rafiki yangu, mbona habari zako Mimi ninazo tayari? Wewe Fanya hivi, najua # ya simu yangu unayo, nipiie usiku saa 4 hivi tutengeneze appointment wrote watatu na mtoto wako wa nne ili uje nikukabidhi bidhaa yako bila shida!! Fanya hivyo usiogope.
 
Mwambie huyo mwanamke ajifanye mtoto kapotea kisha umchukue.
 
Rafiki yangu, mbona habari zako Mimi ninazo tayari? Wewe Fanya hivi, najua # ya simu yangu unayo, nipiie usiku saa 4 hivi tutengeneze appointment wrote watatu na mtoto wako wa nne ili uje nikukabidhi bidhaa yako bila shida!! Fanya hivyo usiogope.
Akiuona huu ujumbe jamaa lazima ajikojolee kwanza bila kujua....
 



Achana na maisha ya watu na mtoto wa watu, Kama mtoto hajui, Baba yake hajui, unachotaka ni nini? Ubinafsi wako uvuruge nyumba ya watu?
 
hizi game zinazopigwa kwa lengo la kuagana huwa ni hatari sana. pole ndugu
 
Aisee!! Dunia ina mengi sana! Hivi mwanamke hadi unatoka kwenda kulala na mwanaume mwingine,kwamba mumeo hakutoshi??! Navaa viatu vya huyo mumewe anavyolea huyo mtoto kwa mapenzi makubwa akijua ni wake huku mkewe akiwa anamnn'gong'a kisogo !
 
Achana na maisha ya watu na mtoto wa watu, Kama mtoto hajui, Baba yake hajui, unachotaka ni nini? Ubinafsi wako uvuruge nyumba ya watu?
Siyo kuvuruga Nyumba ya watu tu, Bali hata Maisha yake yatakiwa hatarini. Huwezi juwa jamaa akibaini huo upuuzi atachukuwa hatua zipi dhidi yake...
 
Siyo kuvuruga Nyumba ya watu tu, Bali hata Maisha yake yatakiwa hatarini. Huwezi juwa jamaa akibaini huo upuuzi atachukuwa hatua zipi dhidi yake...

Una miaka mingapi? haujielewi unachotaka kufanya, labda umchukue mtoto na Mama yake, mtoto tu? huyo mwanamke anaenda kuishi kwa tabu milele!
 
Aisee!! Dunia ina mengi sana! Hivi mwanamke hadi unatoka kwenda kulala na mwanaume mwingine,kwamba mumeo hakutoshi??! Navaa viatu vya huyo mumewe anavyolea huyo mtoto kwa mapenzi makubwa akijua ni wake huku mkewe akiwa anamnn'gong'a kisogo !
Alafu Mtu Akijichukulia Sheria Mkononi analaumiwa eti...
 

Jibu ni HAPANA. Hutathubutu hata kuripoti polisi hata kama ungemuona akiondoka nayo kwani huwezi jua ka ndo mwenye nalo. Kifupi, Huyu bwana ajinyamazie ila awe akipitia mitaa hiyo mara kwa mara. Ajifanye rafiki wa siku nyingi kwao. Ipo siku, kitanuka tu.
Nimeona wengi wakirudishwa kwao wakiwa weshabalehe. Chochote atakachotoa pale kiwe ni kwa sababu yeye ni rafiki wa hiyo familia.
 
Rafiki yangu, mbona habari zako Mimi ninazo tayari? Wewe Fanya hivi, najua # ya simu yangu unayo, nipiie usiku saa 4 hivi tutengeneze appointment wrote watatu na mtoto wako wa nne ili uje nikukabidhi bidhaa yako bila shida!! Fanya hivyo usiogope.
Alijua haupo JF?
 
Humpati haya kwa dawa elewa ujifa unaenda motoni ILA ya kufa kwako utapata azabu kudogo TENA nakuombea ulaniwe na mungu upewe azabu Kali kama mungu akujalie moto mkali zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…