In some aspects!!!What????!!!!
Kabisa mkuu, kamnyanyasa sana mwanaume mwenzake.Kweli kabisa. Wangepigwa mawe weeee hadi wakufe maana hizi dharau hazifai.
Kasahau kama mleta mada ni mwanaumeWhat????!!!!
Kitaanda hakizai haramu. Huyo mtoto hawezi kuwa wako kisheria hata siku moja maana amezaliwa ndani ya ndoa ya jamaa na mkewe sana sana utapigwa faini ya ugoni tu.Nikilipa fidia ntampata mwanangu?
Sio akijua,anajua mchezo wote,kashituliwa na jamaa yake kuwa mtoto sio wake,ila sijui anapanga nini,maana alionyeshwa siku moja kwenye msiba kuwa aliyezaa na mkeo yule pale,nilivyokuangalia niliona huruma kweli kweli ndugu yangu,kumbe umelileta humu,poleeee weeeSiyo kuvuruga Nyumba ya watu tu, Bali hata Maisha yake yatakiwa hatarini. Huwezi juwa jamaa akibaini huo upuuzi atachukuwa hatua zipi dhidi yake...