nimekwepa kusoma coment za wengine kukwepa wasije kunitoa kwenye point....point yangu ni kwamba....ume sema biashara inaenda vizuri!na huyo jamaa haupo naye kimapenz kwa sasa na kama biashara inaenda vizur unatak partinership ya nn tena?....pia huyo jamaa kuwa nae makin wenda anatafuta njia ya kukuporomoa ili akutawale ndo mrudiane vizuri....nime andik nimelewa lkn hta ningekuwa timamu intetion yangu inge bak hivihivi.....heri ya x mass n new year
Katika hizi biashara za ushirikiano (Partnership) kuna kuna mwongozo "Partnership Deed” ambao kwa kawaida huwa mnakubaliana mambo mbali mbali kama vile:
1. Jina la biashara
2. Aina ya biashara mtakazofanya
3. Kiwango cha mtaji kwa kila mmoja wenu kuchangia na hii ndio hutoa kiasi cha pesa za gharama kama vile kodi ya mapato kulipa, gharama za uendeshaji nk
4. Malipo kwa msimamizi/mfanyakazi/gharama za uendeshaji biashara yatalipwa vp kama kutoka ktk faida au kuwa 'partners' nk
Sasa kama hamkuwa na makubaliano yoyote bhasi mwenzio anatumia udhaifu huo kujinufaisha. Anyway, mwambie mrudi mezani mjadili mambo ya msingi kwa msaada wa mwanasheria awape mwongozo wa "Terms muhimu za Partnership Deed”!
Nawasilisha
Kimbia wala usigeuke nyuma.Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
Kwa maelezo yako ni kuwa huyu jamaa yeye ni mwekezaji na sio mshiriki wa biashara. Kilichopo ni kuw ntaka kuwekea pesa yake then mwisho wa siku faida mgawane sawa. Hili sijaona kama tatizo bali kuna masuala haya muweke wazi:
1. Uhusiano wenu hauna na hautambuliki na biashara ie business entity hvy mnapojadili suala la biashara either uwe na mwanasheria au Business Consultant ambae ataweka vema terms zenu za biashara. Huo mkataba akija nao lazima muujadili na vema ukishirikisha wengine ie wataalam
2. Gharama za uendeshaji biashara lazima ziwekwe wazi ili baada ya kufanyika biashara, yafanyike mahesabu ikibidi mtumie mhasibu ambae atawafanyia na kuweka wazi kila kitu na hatimae kugawana faida
3. Suala la kutumia muda wako mwingi ktk biashara hy, ndiyo ajira yenyewe, hence lazima ulipwe mshahara ambao mtakubaliana. Kumbuka hata huu mshahara ni sehemu ya gharama ya biashara kama ilivyo kodi, umeme maji et al
Terms of partnership are very clear since day 1 on commencement of Business there is no room for you to run contrary to the agreementHabarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"
Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.
Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.
okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.
tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.
shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.
secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.
mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.
Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.
msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.
Wsalaam.
"On commencement of business " yani tukianza biashara I can't back out sio?Terms of partnership are very clear since day 1 on commencement of Business there is no room for you to run contrary to the agreement
That's why we have lawyers na accountants / financial advisers.Habarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"
Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.
Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.
okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.
tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.
shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.
secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.
mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.
Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.
msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.
Wsalaam.
Watu wanajitahidi sana kukushauri kwa weledi ila nimegundua wewe ni takatakaThing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
Kama ni ex, nakushauri achana na hilo wazo. Sio wote lakini wengi huwa na nia ovu mbeleni. Kuwa makini sana.Ni ex.... I'm trying to get more funds to grow my business but at the same time sitaki kujiingiza kwenye situation itakayo ni cost hapo baadae.
Trust me, sasahv umeandika unacheka ila baada ya mwaka au chini ya hapo utalia. Nakushauri rudisha hiyo pesa kabla haujaingia matatizoni. Bora ukope iwapo unapungukiwa na sio kufanya kazi na huyo mtu.ahsante kwa mchango wako. Number 1-3 vipo wazi. Number 4 ndo nikijaribu kulileta mezani anasema yeye anataka faida ya 50% regardless. He even suggested kama he can invest more money ili tu apate faida ya 50%.
hatuna makubaliano yoyote ya kimaandishi although pesa ameshanikabidhi lakini bado sijaiingizw kwenye biashara. Deed of partnership amesema he will come up with it.
he's a smart man na pia ana tumia udhaifu wangu in his advantage. Akiongelea biashara anaingiza na story za kuzaa pamoja etc [emoji23][emoji23] sijui we are going to be partners for life wakati ana girlfriend. I know he's saying all this to destruct me. I don't want to say no his offer cause hela naitaka pia lkn pia I want to secure my business and my future. Naamini hii biashara itakua kubwa sana na yeye ameliona hilo ndo mana he wants in.
Hii inaitwa pika bomu. Kwamaelezo haya naona wewe ndio unalazimisha patnership yenu. Kifupi jamaa keshajua wewe ni dhaifu kiasi gani kwake hivyo anatumia kukutisha na wewe umetishika. Nakwambia utakuwa mtumwa wa hiyo biashara hadi ushangae.nimejaribu kuongea nae ndo kanijibu hivyo. Kuna usalama kweli hapa.
Kuliko kuchukua pesa yake kwanini usitafute mkopo hata Bank maana kwa inavoonekana jamaa ni janja janjaHabarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"
Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.
Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.
okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.
tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.
shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.
secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.
mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.
Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.
msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.
Wsalaam.
What?! Mbona kama anataka kuwa in control mapema sana?! Hiki ndicho nakiona if you're not careful. Baada ya muda ataanza kuwa na sauti zaidi. Atafanya janja janja hadi mnarudisha mahusiano (don't tell me : there's no way kwa sababu mkianza biz pamoja mtakuwa karibu zaidi). Mkisharudisha uhusiano, na nyie watu mlivyo dhaifu kwa ma-boyfriend wenu, taratibu utaanza tena kuwa controlled emotionally!!Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
Qmnina. Ww dada hunijui sikujui. Ila sote ni ndugu. Achana na huyo jamaa. Ana roho mbaya na kajiandaa kukufanyia mabaya zaidi na kuyaangamiza maisha yako. Hii comment yako nilkua sijaiona ila nilisema hapo juu. Huyo mtu ulimuacha ww. Ukimpa nafasi utajuta. Nasema utajuta na biashra itakua yake.Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
Mkuu umemaliza kila kitu.Tatizo lako unaleta mapenzi na kazi. wewe sema business yangu ipo hivi nahitaji mtu wa kununua shares kadhaa au ku inject mtaji amount kadhaa atabenefiti kwa namna hii na hii, akupe hela asign
sasa nashangaa ww ndo unaambiwa usign kwani unamuomba msaada?
BTw kwann unabembelezana na huyo jamaa. Kama mnafanya bishara fanyeni na kama mnavuana chupi vuaneni.
You either choose one. ikikaa kizembe hata icho kidogo utapoteza.
Dah sasa kumbe hela ulishapokea...na pia unataka familia naye. Hapo patamu.ahsante kwa mchango wako. Number 1-3 vipo wazi. Number 4 ndo nikijaribu kulileta mezani anasema yeye anataka faida ya 50% regardless. He even suggested kama he can invest more money ili tu apate faida ya 50%.
hatuna makubaliano yoyote ya kimaandishi although pesa ameshanikabidhi lakini bado sijaiingizw kwenye biashara. Deed of partnership amesema he will come up with it.
he's a smart man na pia ana tumia udhaifu wangu in his advantage. Akiongelea biashara anaingiza na story za kuzaa pamoja etc 😂😂 sijui we are going to be partners for life wakati ana girlfriend. I know he's saying all this to destruct me. I don't want to say no his offer cause hela naitaka pia lkn pia I want to secure my business and my future. Naamini hii biashara itakua kubwa sana na yeye ameliona hilo ndo mana he wants in.
My friend hapa hapana usalama.nimejaribu kuongea nae ndo kanijibu hivyo. Kuna usalama kweli hapa.