Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Partnership kam mmoja ndiyo anafanya kazi huwa inasumbua sana. Imenitokea, mtu anaona kama wewe unafaidi sana. Lakini kumbe hata kujilipa unajilipa kidogo ili mambo yaende. Mbaya zaidi wewe ulieanzisha, unakuwa na uchungu na kitu chako lakini mwingine anakuwa kam sehemu ya kuongelea tu.
 
Tatizo lako unaleta mapenzi na kazi. wewe sema business yangu ipo hivi nahitaji mtu wa kununua shares kadhaa au ku inject mtaji amount kadhaa atabenefiti kwa namna hii na hii, akupe hela asign

sasa nashangaa ww ndo unaambiwa usign kwani unamuomba msaada?
BTw kwann unabembelezana na huyo jamaa. Kama mnafanya bishara fanyeni na kama mnavuana chupi vuaneni.

You either choose one. ikikaa kizembe hata icho kidogo utapoteza.
 
nimekwepa kusoma coment za wengine kukwepa wasije kunitoa kwenye point....point yangu ni kwamba....ume sema biashara inaenda vizuri!na huyo jamaa haupo naye kimapenz kwa sasa na kama biashara inaenda vizur unatak partinership ya nn tena?....pia huyo jamaa kuwa nae makin wenda anatafuta njia ya kukuporomoa ili akutawale ndo mrudiane vizuri....nime andik nimelewa lkn hta ningekuwa timamu intetion yangu inge bak hivihivi.....heri ya x mass n new year

Huyu ndio msema kweli kabisa mm ni mwanaume najua tena najua.Ni mbinu moja kubwa mno!! Kiongozi uko sahihi
 
Katika hizi biashara za ushirikiano (Partnership) kuna kuna mwongozo "Partnership Deed” ambao kwa kawaida huwa mnakubaliana mambo mbali mbali kama vile:
1. Jina la biashara
2. Aina ya biashara mtakazofanya
3. Kiwango cha mtaji kwa kila mmoja wenu kuchangia na hii ndio hutoa kiasi cha pesa za gharama kama vile kodi ya mapato kulipa, gharama za uendeshaji nk
4. Malipo kwa msimamizi/mfanyakazi/gharama za uendeshaji biashara yatalipwa vp kama kutoka ktk faida au kuwa 'partners' nk

Sasa kama hamkuwa na makubaliano yoyote bhasi mwenzio anatumia udhaifu huo kujinufaisha. Anyway, mwambie mrudi mezani mjadili mambo ya msingi kwa msaada wa mwanasheria awape mwongozo wa "Terms muhimu za Partnership Deed”!
Nawasilisha
Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
Kimbia wala usigeuke nyuma.
Kama ulianza mwenyew ukafika hapo ulipo hata huko unapotamani kufika utafika tu.
Biashara bwana ina changamoto hasa mkiwa mnamiliki watu wawili hata kama wewe ndio unaendesha kila kitu.
Why hataki kufuata sheria
It doesn't make sense
 
Kwa maelezo yako ni kuwa huyu jamaa yeye ni mwekezaji na sio mshiriki wa biashara. Kilichopo ni kuw ntaka kuwekea pesa yake then mwisho wa siku faida mgawane sawa. Hili sijaona kama tatizo bali kuna masuala haya muweke wazi:

1. Uhusiano wenu hauna na hautambuliki na biashara ie business entity hvy mnapojadili suala la biashara either uwe na mwanasheria au Business Consultant ambae ataweka vema terms zenu za biashara. Huo mkataba akija nao lazima muujadili na vema ukishirikisha wengine ie wataalam

2. Gharama za uendeshaji biashara lazima ziwekwe wazi ili baada ya kufanyika biashara, yafanyike mahesabu ikibidi mtumie mhasibu ambae atawafanyia na kuweka wazi kila kitu na hatimae kugawana faida

3. Suala la kutumia muda wako mwingi ktk biashara hy, ndiyo ajira yenyewe, hence lazima ulipwe mshahara ambao mtakubaliana. Kumbuka hata huu mshahara ni sehemu ya gharama ya biashara kama ilivyo kodi, umeme maji et al

nimejaribu kuongea nae ndo kanijibu hivyo. Kuna usalama kweli hapa.
 

Attachments

  • 12EE4637-3D79-4E01-A1B6-8EC920F43648.jpeg
    12EE4637-3D79-4E01-A1B6-8EC920F43648.jpeg
    260.5 KB · Views: 10
  • 71FF2C3D-82C1-4500-B367-EEB14C39395F.jpeg
    71FF2C3D-82C1-4500-B367-EEB14C39395F.jpeg
    232.9 KB · Views: 10
  • 0EEA40F4-BFC3-405D-AFBB-669C973F835D.jpeg
    0EEA40F4-BFC3-405D-AFBB-669C973F835D.jpeg
    240.5 KB · Views: 10
Habarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"

Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.

Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.

okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.

tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.

shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.

secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.

mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.

Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.

msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.

Wsalaam.
Terms of partnership are very clear since day 1 on commencement of Business there is no room for you to run contrary to the agreement
 
Terms of partnership are very clear since day 1 on commencement of Business there is no room for you to run contrary to the agreement
"On commencement of business " yani tukianza biashara I can't back out sio?
 
Habarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"

Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.

Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.

okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.

tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.

shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.

secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.

mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.

Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.

msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.

Wsalaam.
That's why we have lawyers na accountants / financial advisers.
Acha ubahili huwezi ishi salama businesswise bila hao !

Yaani hata hamjui operational costs ??
Karudi kukulalia hugo..
 
ahsante kwa mchango wako. Number 1-3 vipo wazi. Number 4 ndo nikijaribu kulileta mezani anasema yeye anataka faida ya 50% regardless. He even suggested kama he can invest more money ili tu apate faida ya 50%.

hatuna makubaliano yoyote ya kimaandishi although pesa ameshanikabidhi lakini bado sijaiingizw kwenye biashara. Deed of partnership amesema he will come up with it.

he's a smart man na pia ana tumia udhaifu wangu in his advantage. Akiongelea biashara anaingiza na story za kuzaa pamoja etc [emoji23][emoji23] sijui we are going to be partners for life wakati ana girlfriend. I know he's saying all this to destruct me. I don't want to say no his offer cause hela naitaka pia lkn pia I want to secure my business and my future. Naamini hii biashara itakua kubwa sana na yeye ameliona hilo ndo mana he wants in.
Trust me, sasahv umeandika unacheka ila baada ya mwaka au chini ya hapo utalia. Nakushauri rudisha hiyo pesa kabla haujaingia matatizoni. Bora ukope iwapo unapungukiwa na sio kufanya kazi na huyo mtu.
 
nimejaribu kuongea nae ndo kanijibu hivyo. Kuna usalama kweli hapa.
Hii inaitwa pika bomu. Kwamaelezo haya naona wewe ndio unalazimisha patnership yenu. Kifupi jamaa keshajua wewe ni dhaifu kiasi gani kwake hivyo anatumia kukutisha na wewe umetishika. Nakwambia utakuwa mtumwa wa hiyo biashara hadi ushangae.
 
Habarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"

Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.

Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.

okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.

tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.

shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.

secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.

mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.

Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.

msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.

Wsalaam.
Kuliko kuchukua pesa yake kwanini usitafute mkopo hata Bank maana kwa inavoonekana jamaa ni janja janja

pilinunaweza chukua profit unayopata ukainject kwenye biashara yako kukuza mtaji

tamaa ya kuruka ndani ya muda mfupi unaweza jikuta unapoteza biashara yote kama ulivosema jamaa anakwepa kutumia mwanasheria anataka adraft yeye mkataba inaonekana kuna kitu anaficha

kuwa makini Dada usije anza upya biashara ni ngumu sana
 
Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
What?! Mbona kama anataka kuwa in control mapema sana?! Hiki ndicho nakiona if you're not careful. Baada ya muda ataanza kuwa na sauti zaidi. Atafanya janja janja hadi mnarudisha mahusiano (don't tell me : there's no way kwa sababu mkianza biz pamoja mtakuwa karibu zaidi). Mkisharudisha uhusiano, na nyie watu mlivyo dhaifu kwa ma-boyfriend wenu, taratibu utaanza tena kuwa controlled emotionally!!

Ngoja kwanza, nisijifanye nawajua wakati siwajui. Hebu rejea siku za mahusiano yenu! Alikuwa ni mtu wa aina gani?! Je, ni mtu ambae alikuwa na tabia ya kutaka kuwa in control of everything kuhusiana na maisha yenu au alikuwa ni mtu aliyekuwa tayari wakati wowote for discussion na kuthamini mawazo yako?

Kumbuka kwamba, kwenye ulimwengu wa biashara idea ndo kila kitu. Ingawaje ni kweli unahitaji mtaji lakini ni yeye ndie anakuhitaji zaidi kuliko anavyomhitaji. Ukikubali hilo la juu, hata kama litakuwa in a win-win situation bado hilo litakuondolea kitu muhimu sana kwako: kuwa in control, na taratibu utaanza kutawaliwa na emotion ambayo kwa kawaida linapokuja suala la mapenzi, emotion huchukua nafasi ya akili kwenye maamuzi!!
 
Mm ni mpambanaji kama ww. Huyo jamaa kwa jicho la kuangalia maili 100 mbele na kuchungulia gizani hafai kua partner kwenye biashara. Kwa sababu mpaka hapo inaonekana ww ndo ulimuacha kwenye mapenzi. So kajidogoisha akiwa amekuja kishriki biashara lkn lengo lake ni kukuangamiza. Na ukimruhusu tegemea yafuatayo.

1. Kuandaa mkataba wenye lugha ngumu na mambo yaliyojificha. Unatakiwa utumie mwanasheria nguli tena zaidi ya mmoja kuchunguza lugha za mkataba husika.
2. Anataka ajue weakness yako ili a-take advantage na kuimiliki biashara.
3. Kuiangusha biashara yako kwa kuzusha mambo mengine kama vyesi, uchawi na uganga.

4. Kurudi ili mrudiane hatimae aimiliki biashara yeye kama yeye.

Muda ni hakimu mzuri. (Wanawake mkishauriwa mnasemaga mnaonewa wivu....yakiwakuta mnarudi kwa kuweka mikono nyuma mkiomba ushauri)
 
Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
Qmnina. Ww dada hunijui sikujui. Ila sote ni ndugu. Achana na huyo jamaa. Ana roho mbaya na kajiandaa kukufanyia mabaya zaidi na kuyaangamiza maisha yako. Hii comment yako nilkua sijaiona ila nilisema hapo juu. Huyo mtu ulimuacha ww. Ukimpa nafasi utajuta. Nasema utajuta na biashra itakua yake.

Mblock kila sehemu. Ukishamaliza nenda bank yyte uonane na loan oficcer ukachukue mkopo uendeshe biashara zako. Alafu inaonekana anakuona ww kama hujaendna shule au elimu yako ni ndogo kung'amua mambo.
 
Very unfortunate umeshaipokea hiyo hela.

Huyo jamaa anataka kurudi kwa ajili ya issue za mapenzi, na amejua udhaifu wako ulipo.

Pamoja na ushauri wote uliopewa, binafsi ningekushauri usifanye partnership na mtu ambaye ulishapita naye au unapita naye (labda kama ni mume).

Otherwise, vitu vingine viende kama wadau walivyoshauri.
 
Tatizo lako unaleta mapenzi na kazi. wewe sema business yangu ipo hivi nahitaji mtu wa kununua shares kadhaa au ku inject mtaji amount kadhaa atabenefiti kwa namna hii na hii, akupe hela asign

sasa nashangaa ww ndo unaambiwa usign kwani unamuomba msaada?
BTw kwann unabembelezana na huyo jamaa. Kama mnafanya bishara fanyeni na kama mnavuana chupi vuaneni.

You either choose one. ikikaa kizembe hata icho kidogo utapoteza.
Mkuu umemaliza kila kitu.

Huyu mdogo wangu atapoteza hii game for sure. Mimi kabla sijampa ushauri nataka nimuulize.

Tuttyfruity do you have feelings (no matter how small they are) for the the guy??
 
ahsante kwa mchango wako. Number 1-3 vipo wazi. Number 4 ndo nikijaribu kulileta mezani anasema yeye anataka faida ya 50% regardless. He even suggested kama he can invest more money ili tu apate faida ya 50%.

hatuna makubaliano yoyote ya kimaandishi although pesa ameshanikabidhi lakini bado sijaiingizw kwenye biashara. Deed of partnership amesema he will come up with it.

he's a smart man na pia ana tumia udhaifu wangu in his advantage. Akiongelea biashara anaingiza na story za kuzaa pamoja etc 😂😂 sijui we are going to be partners for life wakati ana girlfriend. I know he's saying all this to destruct me. I don't want to say no his offer cause hela naitaka pia lkn pia I want to secure my business and my future. Naamini hii biashara itakua kubwa sana na yeye ameliona hilo ndo mana he wants in.
Dah sasa kumbe hela ulishapokea...na pia unataka familia naye. Hapo patamu.
 
nimejaribu kuongea nae ndo kanijibu hivyo. Kuna usalama kweli hapa.
My friend hapa hapana usalama.

See?? You guys mnachat mpaka saa tano na nusu usiku kuzungumza biashara???? If I were to get you as my chick or Gf then i would surely use one of your weaknesses to get to you.

You need the money and from the chat it is clearly seems like you are done,lady!

Anyway nijibu kwanza, do you have feelings for the guy??? If yes ushauri utakuwa tofauti na if no ushauri pia utakuwa tofauti
 
Back
Top Bottom