Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
HaswaaaaaaHii inaitwa pika bomu. Kwamaelezo haya naona wewe ndio unalazimisha patnership yenu. Kifupi jamaa keshajua wewe ni dhaifu kiasi gani kwake hivyo anatumia kukutisha na wewe umetishika. Nakwambia utakuwa mtumwa wa hiyo biashara hadi ushangae.
Kwa maelezo yake haitoshelezi kuonyesha kwamba yeye ndio alimuacha huyo jamaa. I can dump you and then help you, that's not a problem at all and that doesn't mean nataka njirudishe kwako. It is just that my heart is too soft and I am so humane.Mm ni mpambanaji kama ww. Huyo jamaa kwa jicho la kuangalia maili 100 mbele na kuchungulia gizani hafai kua partner kwenye biashara. Kwa sababu mpaka hapo inaonekana ww ndo ulimuacha kwenye mapenzi. So kajidogoisha akiwa amekuja kishriki biashara lkn lengo lake ni kukuangamiza. Na ukimruhusu tegemea yafuatayo.
1. Kuandaa mkataba wenye lugha ngumu na mambo yaliyojificha. Unatakiwa utumie mwanasheria nguli tena zaidi ya mmoja kuchunguza lugha za mkataba husika.
2. Anataka ajue weakness yako ili a-take advantage na kuimiliki biashara.
3. Kuiangusha biashara yako kwa kuzusha mambo mengine kama vyesi, uchawi na uganga.
4. Kurudi ili mrudiane hatimae aimiliki biashara yeye kama yeye.
Muda ni hakimu mzuri. (Wanawake mkishauriwa mnasemaga mnaonewa wivu....yakiwakuta mnarudi kwa kuweka mikono nyuma mkiomba ushauri)
Hahahahahahaah.Very unfortunate umeshaipokea hiyo hela.
Huyo jamaa anataka kurudi kwa ajili ya issue za mapenzi, na amejua udhaifu wako ulipo.
Pamoja na ushauri wote uliopewa, binafsi ningekushauri usifanye partnership na mtu ambaye ulishapita naye au unapita naye (labda kama ni mume).
Otherwise, vitu vingine viende kama wadau walivyoshauri.
Njoo inbox uniambie how much unataka mtu ainvest...hiyo pasu kwa pasu kwangu mie poa tuuHabarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"
Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.
Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.
okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.
tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.
shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.
secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.
mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.
Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.
msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.
Wsalaam.
Sawa. Sasa twende sawa.Habarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"
Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.
Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.
okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.
tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.
shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.
secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.
mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.
Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.
msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.
Wsalaam.
Hahahahahahaah.
Ataliwa soon huyu dada. Yaani huyu mdogo wetu ametoa macho kwenye hela hajui kategwa tu.
Jamaa anamwambia yupo radhi a-inject more more ili tu yeye apate 50% profit na yeye anakubali tu.
Ngoja anijibu kwanza swali langu then ntamshauri vizuri
Huyu kwisha habari yake. Akumbuke kutuletea mrejesho wa majuto.Dah sasa kumbe hela ulishapokea...na pia unataka familia naye. Hapo patamu.
Yaani ile convo inatosha kabisa kukuonyesha kwamba jamaa is not in for the business. He is in for his own benefit!Nimejaribu kupitia ile convo ya SMS aliyoiweka kati yao, nimenote vitu kadhaa:-
Jamaa anajua udhaifu wa huyu dogo, kiasi kwamba anaweza ku-dictate kuandaa deeds na kusema eti Mwanasheria asihusike na dogo akakubali.
Zile short forms za sms anazozotumia jamaa sioni kama ni business brain, hapo kuna brain ya kichwa cha chini ndiyo inayofanya kazi
Lengo la jamaa kurudi ni kutaka mahusiano yarudi, ila pia anataka ku-manage business.
Hata kama tutakubaliana 50/50, kuna siku ataibuka kusema amepunjwa kwenye mahesabu ya "what is 100%". Na hapo ndo itaibuka ile ya nirudishie hela yangu. Na wakati huo cash hakuna, sijui nini kitafidia.
Mdogo wetu hajajua ukubwa wa biashara yake, naona kapiga hesabu tu za kifedha, kuna kitu Goodwill hajaihusisha, huyu jamaa anaweza kuja kuijaribu hiyo.
All in all, siyo lazima mawazo yetu yawe sawa. Yeye anamfahamu zaidi, aangalie uwezekano wa kuona kama anaweza kudili naye kwa haya aliyoambiwa humu.
Akili za kuambiwa changanya na zako. (Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete).
Tusifanye hivyo tumuokoe....dada ana wazo zuri basi tuwekeze sie wana jf...charity starts at home.Huyu kwisha habari yake. Akumbuke kutuletea mrejesho wa majuto.
Yeah, this is it.Unapokuwa unafanya kazi then upigie mahesabu kiasi cha pesa unachopaswa kujilipa. Na iwe ni sehemu ya matumizi katika uendeshaji.
Kisha faida halisi ndiyo mgawane 50/50.
Yaani ile convo inatosha kabisa kukuonyesha kwamba jamaa is not in for the business. He is in for his own benefit!
Relief Mirzska ππ€£πhe's a smart man na pia ana tumia udhaifu wangu in his advantage. Akiongelea biashara anaingiza na story za kuzaa pamoja etc ππ sijui we are going to be partners for life wakati ana girlfriend.
Fine lakini itabidi akubali kuokolewaTusifanye hivyo tumuokoe....dada ana wazo zuri basi tuwekeze sie wana jf...charity starts at home.
Tusimuache aangamie. Na vile amekuja hapa kuomba ushairi inaonyesha kabisa anajitambua na open minded
Hela kkashapokea na ukute kashaitumia. Kumuokoa tufanyeje, tumchangie?Tusifanye hivyo tumuokoe....dada ana wazo zuri basi tuwekeze sie wana jf...charity starts at home.
Tusimuache aangamie. Na vile amekuja hapa kuomba ushairi inaonyesha kabisa anajitambua na open minded
Hatari sana sheikh wanguNa jamaa alivyokuwa mjanja, kashatuma hela kabla hata ya makubaliano.
Games men play.
I take a note here. thanksTumia mfano ufuatao. Assume hiyo biashara ingekuwa ni yangu kwa 100%, na kwa status hiyo hiyo uliyonayo sasa hivi, naamua kukuajiri unifanyie yale yote unayofanya sasa kwenye hiyo biashara, kwa muda wote ambao unafanya sasa!
Je, ungependa nikulipe Sh. ngapi kwa mwezi?
Baada ya hapo, tutaende sehemu ya pili kwa sababu suala sio tu ku-finance hiyo biashara ni lazima mkubaliane rasmi na sio kimapenzi namna ya ku-share Profit and Loss ili asije akawa anadai faida tu kwa sababu anaona biashara inatengeneza faida. Kwa kifupi, kuna mengi ya kuangalia!
Nina dada angu mmoja ivi hata apigweje au anyanyaswe vip na jamaa ake mkimshauri kuondoka anaenda kumwambia jamaa na wanaanza kuwateta. Jamaa linaanza kujitapa na kutuma vijembe.Hahahahaahhahaha
Ngoja arudi kwanza huyu mdada aje ajibu comments zetu.
Hawa watu waskie tu mkuu.Nina dada angu mmoja ivi hata apigweje au anyanyaswe vip na jamaa ake mkimshauri kuondoka anaenda kumwambia jamaa na wanaanza kuwateta. Jamaa linaanza kujitapa na kutuma vijembe.