Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

No haipo registered wala silipi Tax. Does it mean that nikiamua kumzulumu he can't sue me?

Kwa kuwa mnafanya mambo kmtaani mtaaani mtamalizana kimtaani mtaani hivo hivo.

1. Umelidhia ku-slice your profit into ahalf

2.Kiasi anachojazia kama capital katika biashara yako. Unailinganisha vp na capital ambayo so far usha inject.

Ni x2 au zaidi ya capital yako.
Au kiasi anachotaka kuingiza ni kidogo kulinganisha na ambacho ushaweka?
 
nachojua achana na hio kirambasi...mwombe hela tu ya kuikuza hio bizz...fanya mwenywe ajiri watu...mwisho wa siku utakuwa mtumwa wake...kama anaweza na yeye afanye
 

Du. Yani unakili mwenyewe kuwa jamaa anakuwezea na wewe mdhaifu kwake. Saa unaomba ushauri gani hapa. Wa namna ya kuondoa hisia au za biashara.
 
No I can't share it. I shared it with one person huyo anataka kunipindua.

Mdada Kumbe unajua kuwa kabisa huyo jamaa anakuja kukupindua, why have you brought this matter here ?

Dah wanawake bhanaaa........
You are smelling a fish but unadelay ku act up.
 
Noted.
 
Elimu yangu ndogo ya ujasiliamali niliyoipata VETA Chang'ombe miaka mingi iliyopita.

VYANZO VYA MTAJI
1. Pesa yako mwenyewe
2.Mkopo toka kwa ndugu na jamaa
3. Mkopo kutoka taasisi zakifedha
4. Partinership na
5. Ukajisajili stock of exchange

Inashauliwa kuwa itapendeza vizuri mtaji wako ukiupata katka mtiririko uwo yani yani #1 iwe ndio chanzo chako cha kwanza ikishindikana ukawakope ndugu na jamaa #2, ukishindikana na hapo uende #3 na kuendelea.

Nachokushauri mwanadada mpambanaji, kama kweli unaitaji fund kwa muda huu, na haupo tiyari kusplit profit into ahalf ambayo ni moja ya Hasara ya partnership. Jaribu ku-flip the script yani muambie jamaa hiyo pesa akupe as mkopo usio na liba, akichomoa mrudishie then endelea kutafuta fund kutoka kwa ndugu na jamaa pamoja na marafiki kabla ujaenda kwenye taasisi za kifedha.
 
Good.

Achana na hii issue.
 

Kama biashara ina mwenendo mzuri, sidhani kama una haraka ya kupata tamaa ya pesa za kuongeza mtaji kwa style hiyo.
Anakutoa nje ya reli kwa gia ya hiyo pesa, ushauri wangu kuna njia nyingi za kuweza kupata namna ya kuongeza mitaji.
Jamaa kashakuona wapi anakupatia. Mwisho wa siku inabidi ujue nini unataka
 
Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
It does not. Nadhani kuna kitu anakitafuta, labda kurejesha mtaji wake kama alikupaga kianzio hapo mwanzo.Maana inaonyesha ni ex wako.

Otherwise wewe mwenyewe ndiyo unayeweza ku-smell the smell right.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…