Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

No haipo registered wala silipi Tax. Does it mean that nikiamua kumzulumu he can't sue me?

Kwa kuwa mnafanya mambo kmtaani mtaaani mtamalizana kimtaani mtaani hivo hivo.

1. Umelidhia ku-slice your profit into ahalf

2.Kiasi anachojazia kama capital katika biashara yako. Unailinganisha vp na capital ambayo so far usha inject.

Ni x2 au zaidi ya capital yako.
Au kiasi anachotaka kuingiza ni kidogo kulinganisha na ambacho ushaweka?
 
nachojua achana na hio kirambasi...mwombe hela tu ya kuikuza hio bizz...fanya mwenywe ajiri watu...mwisho wa siku utakuwa mtumwa wake...kama anaweza na yeye afanye
 
Mpaka sasa yeye ndo ana sauti zaidi. Whatever I tell him hataki he has got his own plan.
He was controlling and manipulative ndo maana tuliachana actually nilimuacha.!

you are right, idea ndo kila kitu. Imagine umeenda kuishi nchi ambayo hakuna viazi mbatata, kila anaehitaji viazi mbatata lazma afanye importation mwenyewe au mtu atakaeamua kuleta viazi mbatata ndani ya nchi hiyo anauza at a ridiculously high price. Okay wewe ukaona hilo mbona dogo. Ukaanza ku import wewe mwenyewe then ukawa unauza at a resonable price hadi wateja wakipiga mahesabu ya transport na other charges anaona ni bora anunue tu kwako. Since you've been doing it for over a year So una advantage kubwa 1. Umetengeza customer base teyar 2. Little or no competition ( wanaouza viazi ni wachache na hao wachache wanauza bei ya juu zaidi yako so all customers come to you.).

Jamaa anajua its a good business, ina returns kubwa. Lakini yeye kama yeye hawezi kuifanya bila mimi because 1. Haijui hii biashara how it's done, where I get the goods. 2. Hana access ya customers at all. Hata alete viazi yeye hatojua kwa kuwatoa hao watu. Hizo ndo sababu ananihitaji mimi. Lakini ameona 1. Nna udhaifu kwake he's trying to control me na anavyosema we'll see when you comes or we'll talk when you come hapo hamna cha kuongea he knows he can easily manupulate me akiwa karibu na mimi.

Du. Yani unakili mwenyewe kuwa jamaa anakuwezea na wewe mdhaifu kwake. Saa unaomba ushauri gani hapa. Wa namna ya kuondoa hisia au za biashara.
 
No I can't share it. I shared it with one person huyo anataka kunipindua.

Mdada Kumbe unajua kuwa kabisa huyo jamaa anakuja kukupindua, why have you brought this matter here ?

Dah wanawake bhanaaa........
You are smelling a fish but unadelay ku act up.
 
Ukishasajili biashara/kampuni yako unaenda TRA unapewa namba ya mlipa kodi na mashine ya EFD kama kawaida ... Unakuwa unawasilisha mahesabu yako kama wengine wenye maduka physical.

Faida yake unapanua wigo wa kutrade.. formal businesses zinaweza kuanza kukutumia maana unakuwa unaaminika zaidi.. na huwa wanataka supporting documents.. kama Legal Receipts ambazo baadae wanaweza kuzitumia kwenye Tax claims nk.

First thing first.. Sajili biashara yako, Na Pata Leseni ..ili iendeshe biashara kisheria.
Noted.
 
Elimu yangu ndogo ya ujasiliamali niliyoipata VETA Chang'ombe miaka mingi iliyopita.

VYANZO VYA MTAJI
1. Pesa yako mwenyewe
2.Mkopo toka kwa ndugu na jamaa
3. Mkopo kutoka taasisi zakifedha
4. Partinership na
5. Ukajisajili stock of exchange

Inashauliwa kuwa itapendeza vizuri mtaji wako ukiupata katka mtiririko uwo yani yani #1 iwe ndio chanzo chako cha kwanza ikishindikana ukawakope ndugu na jamaa #2, ukishindikana na hapo uende #3 na kuendelea.

Nachokushauri mwanadada mpambanaji, kama kweli unaitaji fund kwa muda huu, na haupo tiyari kusplit profit into ahalf ambayo ni moja ya Hasara ya partnership. Jaribu ku-flip the script yani muambie jamaa hiyo pesa akupe as mkopo usio na liba, akichomoa mrudishie then endelea kutafuta fund kutoka kwa ndugu na jamaa pamoja na marafiki kabla ujaenda kwenye taasisi za kifedha.
 
I remember I watched a movie about the guy who started Macdonalds and the way he eventually lost it to Investors.

25% ROI ni nzuri . Thing is I knew nothing about partnership n business laws. I was thinking I need money to grow my business but sikufikiria upande wa pili. Ahsanteni kwa kunifungua macho
Good.

Achana na hii issue.
 
ahsante kwa mchango wako. Number 1-3 vipo wazi. Number 4 ndo nikijaribu kulileta mezani anasema yeye anataka faida ya 50% regardless. He even suggested kama he can invest more money ili tu apate faida ya 50%.

hatuna makubaliano yoyote ya kimaandishi although pesa ameshanikabidhi lakini bado sijaiingizw kwenye biashara. Deed of partnership amesema he will come up with it.

he's a smart man na pia ana tumia udhaifu wangu in his advantage. Akiongelea biashara anaingiza na story za kuzaa pamoja etc [emoji23][emoji23] sijui we are going to be partners for life wakati ana girlfriend. I know he's saying all this to destruct me. I don't want to say no his offer cause hela naitaka pia lkn pia I want to secure my business and my future. Naamini hii biashara itakua kubwa sana na yeye ameliona hilo ndo mana he wants in.

Kama biashara ina mwenendo mzuri, sidhani kama una haraka ya kupata tamaa ya pesa za kuongeza mtaji kwa style hiyo.
Anakutoa nje ya reli kwa gia ya hiyo pesa, ushauri wangu kuna njia nyingi za kuweza kupata namna ya kuongeza mitaji.
Jamaa kashakuona wapi anakupatia. Mwisho wa siku inabidi ujue nini unataka
 
Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
It does not. Nadhani kuna kitu anakitafuta, labda kurejesha mtaji wake kama alikupaga kianzio hapo mwanzo.Maana inaonyesha ni ex wako.

Otherwise wewe mwenyewe ndiyo unayeweza ku-smell the smell right.
 
Back
Top Bottom