Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Nina dada angu mmoja ivi hata apigweje au anyanyaswe vip na jamaa ake mkimshauri kuondoka anaenda kumwambia jamaa na wanaanza kuwateta. Jamaa linaanza kujitapa na kutuma vijembe.
🤣🤣🤣🤣 Dah poleni. Ila acheni jamani migegedo inawachanganya hawa dada zetu mpaka basi
 
Thing is hataki tutafute lawyer, he wants to do everything himself mimi ni sign tu... does it makes sense?
Hapa uwe makini zaid nakumbuka kuna stori alilete mdada kule twitter alivyopigwa mil 10 na best yake licha ya kuwa na makubaliano na mwanasheria.Kumbe best alisainisha kijanja janja tu.
So kama ni kuingia hiyo partnership tafuta mda pia na wewe uonane na mwanasheria mwingine akueleweshe a-z.
Otherwise nachoona your ex is into something else.
Linda biashara yako kwa jasho na damu kwa sababu ukisha damage hiyo business it will not be easy to be back at the point upo kwa sasa.
Merry Christmass!
 
Habarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"

Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.

Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.

okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.

tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.

shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.

secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.

mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.

Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.

msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.

Wsalaam.

My advice to you na uta kuja kunishukuru Baadae, Achana na partnership, nenda na speed yako ya ukuwaji was biashara yako; Labda kama mngekuwa mnaanza from “0”

Kwa sasa una wateja na kila kitu? Then we endelea tu hivyo hivyo!

Shida ya partnership:

  • Nani ni final decision maker, mtu akishaweka hela zake atakusumbua kwa kila kitu.
  • Trust - this is another problem, who run the business, Je atakuamini kwa kila kitu?
Au atakuja kukuletea stress!

Tamaa ya kukua haraka imeua biashara nyingi Sana, nenda na speed yako kwa wateja unaowamudu, Acha na partnership!
 
Amueni kufanya moja, either kazi ama mapenzi, never mix things! Huyo Jamaa yako hataki mambo ya kisheria yatambana maana yeye anataka muendeshe biashara kimapenzi, na hapo ndio kategesha mtego wake wa kuja kukubamiza muda wowote usipoendana na mitazamo yake!


Yani huyo bwana mshenzi kweli[emoji2], anakutumia kumuingizia pesa at the same time anakupiga free mbu.pu[emoji16]


Ninachoweza kukushauri, ridhika na mtaji mdogo ulionao, ukuze taratibu! Huyo bwana anakutumia kwa faida yake
 
Hii issue yako ukiipeleka kwenye mkataba hakikisha terms za kwenye huo mkataba zinakuacha salama, mambo yote uliyoshauriwa huko mwanzo kama kugawana faida na hasara, yawepo, na huyo jamaa aone terms zako akikubali asaini, akigoma aache uendelee kupambana kivyako.

Muhimu ukumbuke kuna kitu amekiona hapo kwenye biashara yako ndio maana amevutika nayo, sasa ahakikishe akija anafuata masharti yako, sio yeye aje na masharti yake.
 
Yani huyo bwana mshenzi kweli
emoji2.png
, anakutumia kumuingizia pesa at the same time anakupiga free mbu.pu
emoji16.png
Hahaahahahaahha

Ee bhana weeee
 
This is another problem, sijui natakiwa nijilipe kiasi gani.... au nipe % unayoona inafaa mimi kujilipa.
Wewe ndiye mwenye biashara... Unajua potential yake...

Sasa igawe biashara yake katika makundi mawili... Biashara ni ipi na Tuttyfruity ni yupi... Na waendesha biashara ni akina nani.

What a business is worthy sio kiasi tu ulcha Merchandise ulichonacho.. kuna network uliyotengeneza na rate ya ukuaji wake.. unaongeza subscribers wangapi kila siku nkk.

Mtu anayeoperate anafanya majukumu gani, kwa muda gani.. kama Unafanya kazi 8, kama Mfanyakazi na Msimamizi (Administrator wa venture)... lazima ujilipe kama Admin na Ujiwezeshe kama mfanyakazi. Na usisahau extra time.

Kisha makubaliano ya returns nashauri awekeze fedha yake umpe 25% ya Faida (ROI) hiyo ni kubwa kuliko atakayepata kwingine kokote.. for simply putting money in a business.

U have to be strong.. Wajasiriamali wengi wanauza biashara kizembe sana.. na this is one of them.."Kuogopa au kuwa na Aibu" Ningekuwa mimi na mikataba Hii ningeoffer 15pc hataki akawekwa fixed account aone..

Usisahau na clause ya kujiondoa yeye.. lazima akupe 12months notice na malipo ya fedha yake yanaweza kuwa kwa awamu ndani ya mwaka moja.. that way you don't hurt your business.
 
What?! Mbona kama anataka kuwa in control mapema sana?! Hiki ndicho nakiona if you're not careful. Baada ya muda ataanza kuwa na sauti zaidi. Atafanya janja janja hadi mnarudisha mahusiano (don't tell me : there's no way kwa sababu mkianza biz pamoja mtakuwa karibu zaidi). Mkisharudisha uhusiano, na nyie watu mlivyo dhaifu kwa ma-boyfriend wenu, taratibu utaanza tena kuwa controlled emotionally!!

Ngoja kwanza, nisijifanye nawajua wakati siwajui. Hebu rejea siku za mahusiano yenu! Alikuwa ni mtu wa aina gani?! Je, ni mtu ambae alikuwa na tabia ya kutaka kuwa in control of everything kuhusiana na maisha yenu au alikuwa ni mtu aliyekuwa tayari wakati wowote for discussion na kuthamini mawazo yako?

Kumbuka kwamba, kwenye ulimwengu wa biashara idea ndo kila kitu. Ingawaje ni kweli unahitaji mtaji lakini ni yeye ndie anakuhitaji zaidi kuliko anavyomhitaji. Ukikubali hilo la juu, hata kama litakuwa in a win-win situation bado hilo litakuondolea kitu muhimu sana kwako: kuwa in control, na taratibu utaanza kutawaliwa na emotion ambayo kwa kawaida linapokuja suala la mapenzi, emotion huchukua nafasi ya akili kwenye maamuzi!!
Mpaka sasa yeye ndo ana sauti zaidi. Whatever I tell him hataki he has got his own plan.
He was controlling and manipulative ndo maana tuliachana actually nilimuacha.!

you are right, idea ndo kila kitu. Imagine umeenda kuishi nchi ambayo hakuna viazi mbatata, kila anaehitaji viazi mbatata lazma afanye importation mwenyewe au mtu atakaeamua kuleta viazi mbatata ndani ya nchi hiyo anauza at a ridiculously high price. Okay wewe ukaona hilo mbona dogo. Ukaanza ku import wewe mwenyewe then ukawa unauza at a resonable price hadi wateja wakipiga mahesabu ya transport na other charges anaona ni bora anunue tu kwako. Since you've been doing it for over a year So una advantage kubwa 1. Umetengeza customer base teyar 2. Little or no competition ( wanaouza viazi ni wachache na hao wachache wanauza bei ya juu zaidi yako so all customers come to you.).

Jamaa anajua its a good business, ina returns kubwa. Lakini yeye kama yeye hawezi kuifanya bila mimi because 1. Haijui hii biashara how it's done, where I get the goods. 2. Hana access ya customers at all. Hata alete viazi yeye hatojua kwa kuwatoa hao watu. Hizo ndo sababu ananihitaji mimi. Lakini ameona 1. Nna udhaifu kwake he's trying to control me na anavyosema we'll see when you comes or we'll talk when you come hapo hamna cha kuongea he knows he can easily manupulate me akiwa karibu na mimi.
 
Option ingine mwambie akukopeshe hiyo pesa utamlipa baada ya mda fulani sio hainvest then akileta mambo issue za kurudiana mkubalie endeleeni kutumiana huku unakuza biashara yako...hakikisha unampango wa kumlipa baada ya hicho kipindi ulichokubaliana then ukishamlipa chake utaamua kusuka au kunyoa kuhusu yeye...sometimes kutumiana sio mbaya sna[emoji12]
He's smarter than that. Hawezi kukubali kunikopesha.
 
Mpaka sasa yeye ndo ana sauti zaidi. Whatever I tell him hataki he has got his own plan.
He was controlling and manipulative ndo maana tuliachana actually nilimuacha.!

you are right, idea ndo kila kitu. Imagine umeenda kuishi nchi ambayo hakuna viazi mbatata, kila anaehitaji viazi mbatata lazma afanye importation mwenyewe au mtu atakaeamua kuleta viazi mbatata ndani ya nchi hiyo anauza at a ridiculously high price. Okay wewe ukaona hilo mbona dogo. Ukaanza ku import wewe mwenyewe then ukawa unauza at a resonable price hadi wateja wakipiga mahesabu ya transport na other charges anaona ni bora anunue tu kwako. Since you've been doing it for over a year So una advantage kubwa 1. Umetengeza customer base teyar 2. Little or no competition ( wanaouza viazi ni wachache na hao wachache wanauza bei ya juu zaidi yako so all customers come to you.).

Jamaa anajua its a good business, ina returns kubwa. Lakini yeye kama yeye hawezi kuifanya bila mimi because 1. Haijui hii biashara how it's done, where I get the goods. 2. Hana access ya customers at all. Hata alete viazi yeye hatojua kwa kuwatoa hao watu. Hizo ndo sababu ananihitaji mimi. Lakini ameona 1. Nna udhaifu kwake he's trying to control me na anavyosema we'll see when you comes or we'll talk when you come hapo hamna cha kuongea he knows he can easily manupulate me akiwa karibu na mimi.
🙂 so loveish 😀
He is Evil 🙂
 
Back
Top Bottom