Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Hii inaitwa pika bomu. Kwamaelezo haya naona wewe ndio unalazimisha patnership yenu. Kifupi jamaa keshajua wewe ni dhaifu kiasi gani kwake hivyo anatumia kukutisha na wewe umetishika. Nakwambia utakuwa mtumwa wa hiyo biashara hadi ushangae.

What?! Mbona kama anataka kuwa in control mapema sana?! Hiki ndicho nakiona if you're not careful. Baada ya muda ataanza kuwa na sauti zaidi. Atafanya janja janja hadi mnarudisha mahusiano (don't tell me : there's no way kwa sababu mkianza biz pamoja mtakuwa karibu zaidi). Mkisharudisha uhusiano, na nyie watu mlivyo dhaifu kwa ma-boyfriend wenu, taratibu utaanza tena kuwa controlled emotionally!!

Ngoja kwanza, nisijifanye nawajua wakati siwajui. Hebu rejea siku za mahusiano yenu! Alikuwa ni mtu wa aina gani?! Je, ni mtu ambae alikuwa na tabia ya kutaka kuwa in control of everything kuhusiana na maisha yenu au alikuwa ni mtu aliyekuwa tayari wakati wowote for discussion na kuthamini mawazo yako?

Kumbuka kwamba, kwenye ulimwengu wa biashara idea ndo kila kitu. Ingawaje ni kweli unahitaji mtaji lakini ni yeye ndie anakuhitaji zaidi kuliko anavyomhitaji. Ukikubali hilo la juu, hata kama litakuwa in a win-win situation bado hilo litakuondolea kitu muhimu sana kwako: kuwa in control, na taratibu utaanza kutawaliwa na emotion ambayo kwa kawaida linapokuja suala la mapenzi, emotion huchukua nafasi ya akili kwenye maamuzi!!

Mm ni mpambanaji kama ww. Huyo jamaa kwa jicho la kuangalia maili 100 mbele na kuchungulia gizani hafai kua partner kwenye biashara. Kwa sababu mpaka hapo inaonekana ww ndo ulimuacha kwenye mapenzi. So kajidogoisha akiwa amekuja kishriki biashara lkn lengo lake ni kukuangamiza. Na ukimruhusu tegemea yafuatayo.

1. Kuandaa mkataba wenye lugha ngumu na mambo yaliyojificha. Unatakiwa utumie mwanasheria nguli tena zaidi ya mmoja kuchunguza lugha za mkataba husika.
2. Anataka ajue weakness yako ili a-take advantage na kuimiliki biashara.
3. Kuiangusha biashara yako kwa kuzusha mambo mengine kama vyesi, uchawi na uganga.

4. Kurudi ili mrudiane hatimae aimiliki biashara yeye kama yeye.

Muda ni hakimu mzuri. (Wanawake mkishauriwa mnasemaga mnaonewa wivu....yakiwakuta mnarudi kwa kuweka mikono nyuma mkiomba ushauri)

Qmnina. Ww dada hunijui sikujui. Ila sote ni ndugu. Achana na huyo jamaa. Ana roho mbaya na kajiandaa kukufanyia mabaya zaidi na kuyaangamiza maisha yako. Hii comment yako nilkua sijaiona ila nilisema hapo juu. Huyo mtu ulimuacha ww. Ukimpa nafasi utajuta. Nasema utajuta na biashra itakua yake.

Mblock kila sehemu. Ukishamaliza nenda bank yyte uonane na loan oficcer ukachukue mkopo uendeshe biashara zako. Alafu inaonekana anakuona ww kama hujaendna shule au elimu yako ni ndogo kung'amua mambo.

My friend hapa hapana usalama.

See?? You guys mnachat mpaka saa tano na nusu usiku kuzungumza biashara???? If I were to get you as my chick or Gf then i would surely use one of your weaknesses to get to you.

You need the money and from the chat it is clearly seems like you are done,lady!

Anyway nijibu kwanza, do you have feelings for the guy??? If yes ushauri utakuwa tofauti na if no ushauri pia utakuwa tofauti

Sawa. Sasa twende sawa.
1. Biashara haina uhusiano wowote na mapenzi yenu wala na mmoja kati yenu. Inasimama kama yenyewe. Inaweza kumfungulia mtu mashtaka ama ikafunguliwa mashtaka. Hakikisha mnairasimisha kwa kuisajili brela.
2. Huyo jamaa aweke wazi kama anataka partnership ama anataka kuinvest. Ikiwa anataka partnership basi akichangia 50%–50% tafsiri yake kisheria ni kwamba mtagawana faida na/au hasara kwa uwiano sawa. Akichangia 70%, wewe ukaweka 30% (thamani ya biashara yako sasa hivi), basi mtagawana faida na/au hasara kwa uwiano huo huo (yeye 70%, wewe 30%) n.k Ila ikiwa anataka kuwekeza, basi utamlipa dividends kulingana na makubaliano. Mara nyingi hii hulipwa bila kujali biashara imetengeneza faida ama la. Na huwa kiwango constant kwa muda maalum mf. 12% kila mwaka.
3. Ikiwa wewe ndo unafanya kazi zote (kwa makubaliano yenu kama business partners) basi utalipwa mshahara kulingana na viwango vya soko. Maana yake kama kazi hiyo hiyo katika kampuni nyingi mtu analipwa laki 5 basi nawewe utalipwa laki 5 ikiwa ni sehemu ya operation expenses (pamoja na data, carriage outwards, inwards, etc).

NB: Mwandiko wako ni mbaya pia fanya upate thamani ya goodwill kabla hujakubaliana thamani halisi ya biashara yako.

For more business consultation and I.T solutions reach me kwa PM

Nimejaribu kupitia ile convo ya SMS aliyoiweka kati yao, nimenote vitu kadhaa:-

Jamaa anajua udhaifu wa huyu dogo, kiasi kwamba anaweza ku-dictate kuandaa deeds na kusema eti Mwanasheria asihusike na dogo akakubali.

Zile short forms za sms anazozotumia jamaa sioni kama ni business brain, hapo kuna brain ya kichwa cha chini ndiyo inayofanya kazi

Lengo la jamaa kurudi ni kutaka mahusiano yarudi, ila pia anataka ku-manage business.

Hata kama tutakubaliana 50/50, kuna siku ataibuka kusema amepunjwa kwenye mahesabu ya "what is 100%". Na hapo ndo itaibuka ile ya nirudishie hela yangu. Na wakati huo cash hakuna, sijui nini kitafidia.

Mdogo wetu hajajua ukubwa wa biashara yake, naona kapiga hesabu tu za kifedha, kuna kitu Goodwill hajaihusisha, huyu jamaa anaweza kuja kuijaribu hiyo.

All in all, siyo lazima mawazo yetu yawe sawa. Yeye anamfahamu zaidi, aangalie uwezekano wa kuona kama anaweza kudili naye kwa haya aliyoambiwa humu.

Akili za kuambiwa changanya na zako. (Rais Mstaafu, Jakaya Mrisho Kikwete).

Yeah, this is it.
Mkubaliane kusajiri kampuni.
  • Wewe ulipwe mishahara.
  • Huo mishahara wako uwe sehemu ya matumizi(expenses).
  • Mugawane faida 50/50 baada ya kutoa matumizi na kodi za kaisari.
  • Wewe na yeye muwe wakurugenzi wenye maamuzi sawa, ingawa wewe utakuwa Managing Director (MD).
  • Hayo makubaliano yawe kwenye MOA.
  • Ulipofikia inabidi uondoke kwenye kufanya biashara kama sole proprietor, nenda hatua nyingine ya limited company ili ikitokea hasara usidaiwe na mtu au na yeyote wewe kama wewe Tuttyfruity bali idaiwe kampuni kama separate entity.
  • Uzuri wa hiyo limited company kila maamuzi huyo partner wako atashiriki hivyo hawezi kudai chochote mkipata hasara.
  • Mwisho angalia kama mwenzio siyo mbishi mbishi au mtu anayetaka kukuongoza zaidi wakati wewe ndiye una uzoefu na unajua zaidi kuhusu hiyo biashara, akiwa mbishi mtaanguka mapema tu.
  • Kila la heri na mapambano ma na jini nyonya fedha TII AARA EEII (TRA).

Wewe ndiye mwenye biashara... Unajua potential yake...

Sasa igawe biashara yake katika makundi mawili... Biashara ni ipi na Tuttyfruity ni yupi... Na waendesha biashara ni akina nani.

What a business is worthy sio kiasi tu ulcha Merchandise ulichonacho.. kuna network uliyotengeneza na rate ya ukuaji wake.. unaongeza subscribers wangapi kila siku nkk.

Mtu anayeoperate anafanya majukumu gani, kwa muda gani.. kama Unafanya kazi 8, kama Mfanyakazi na Msimamizi (Administrator wa venture)... lazima ujilipe kama Admin na Ujiwezeshe kama mfanyakazi. Na usisahau extra time.

Kisha makubaliano ya returns nashauri awekeze fedha yake umpe 25% ya Faida (ROI) hiyo ni kubwa kuliko atakayepata kwingine kokote.. for simply putting money in a business.

U have to be strong.. Wajasiriamali wengi wanauza biashara kizembe sana.. na this is one of them.."Kuogopa au kuwa na Aibu" Ningekuwa mimi na mikataba Hii ningeoffer 15pc hataki akawekwa fixed account aone..

Usisahau na clause ya kujiondoa yeye.. lazima akupe 12months notice na malipo ya fedha yake yanaweza kuwa kwa awamu ndani ya mwaka moja.. that way you don't hurt your business.

i have read what all of you have written and what you are suggesting and I agree with all of you. Truth is huyu jamaa hataki hizo mambo zote mlizonitajia cause in the long run he knows he won't get what he wants. He wants to invest kama ameweka pesa kwenye fixed account izae tu bila kuifanyia kazi au hasara.,Yeye anachotaka ni anipe hela hiyo pesa iwe inazaa 50% kila mwezi na hiyo 50% kasema hatoigusa iendelee ku accumulate. Kwa mahesabu hayo since mimi faida yangu sitoiacha humo I'll be using it so in the long run huyu mtu atakua na pesa nyingi in the business than me eventually biashara itakua yake na si yangu tena.
 
nimekwepa kusoma coment za wengine kukwepa wasije kunitoa kwenye point....point yangu ni kwamba....ume sema biashara inaenda vizuri!na huyo jamaa haupo naye kimapenz kwa sasa na kama biashara inaenda vizur unatak partinership ya nn tena?....pia huyo jamaa kuwa nae makin wenda anatafuta njia ya kukuporomoa ili akutawale ndo mrudiane vizuri....nime andik nimelewa lkn hta ningekuwa timamu intetion yangu inge bak hivihivi.....heri ya x mass n new year
Nahisi hujampata vizuri mtoa mada, ye kasema inaendelea vizuri ila anashindwa kumeet demand za customers kutokana na limited funds, ndo maana ameamua kuingia partineship ili aweze kukuza mtaji na kumeet demand za soko. Inavoonekana kabla ya partineship supply ilikuwa less than demands. I hope you have catch my point.
 
i have read what all of you have written and what you are suggesting and I agree with all of you. Truth is huyu jamaa hataki hizo mambo zote mlizonitajia cause in the long run he knows he won't get what he wants. He wants to invest kama ameweka pesa kwenye fixed account izae tu bila kuifanyia kazi au hasara.,Yeye anachotaka ni anipe hela hiyo pesa iwe inazaa 50% kila mwezi na hiyo 50% kasema hatoigusa iendelee ku accumulate. Kwa mahesabu hayo since mimi faida yangu sitoiacha humo I'll be using it so in the long run huyu mtu atakua na pesa nyingi in the business than me eventually biashara itakua yake na si yangu tena.
Huyo gani kuwekeza... He is a [emoji1655]..stay away..

Anatumia fedha na avenue zote za kuku-manipulate akutumie...

Muwekezaji mnapaswa kuwa na uhusiano unaobeba risk sawa.. otherwise huo unakuwa mkopo..

Mkopo huo wa kutaka Malipo ya nusu ya mapato ghafi ...au hata nusu ya faida haupo.. kama lengo lako ni kujenga Biashara yako.

Remember, you are not an option in this ... He is the option.. his money is not the only money can make you grow.. any money can grow your business.. choose wisely.

Jamaa yako ni shark na anajua Anajikweza.. Ishinde Nafsi Mama.
 
Akikubali kutoa 40/50 atajiumiza sana.
Na biashara itamfia.. maana utakuta kwenye hiyo mikataba anayotaka. Kuingia kuna condition ngumu kiasi kwamba yeye ndio atajikuta na wanasheria anataka kujiondoa kwenye mkataba na kukimbia her own idea and business..

Lazima apate mwanasheria na asikate mkataba.. aupokee aureview alete her Amendments huyo Muwekezaji akikataa basi.. sio riziki
 
i have read what all of you have written and what you are suggesting and I agree with all of you. Truth is huyu jamaa hataki hizo mambo zote mlizonitajia cause in the long run he knows he won't get what he wants. He wants to invest kama ameweka pesa kwenye fixed account izae tu bila kuifanyia kazi au hasara.,Yeye anachotaka ni anipe hela hiyo pesa iwe inazaa 50% kila mwezi na hiyo 50% kasema hatoigusa iendelee ku accumulate. Kwa mahesabu hayo since mimi faida yangu sitoiacha humo I'll be using it so in the long run huyu mtu atakua na pesa nyingi in the business than me eventually biashara itakua yake na si yangu tena.
Do you still need advice???
 
Ww unaona kuna ulazima sana wa kuongeza mwekezaji ili hali biashara inaenda vyema?
Ni bora ukakope kubusti mtaji coz tayari unaijua vyema biashara yako.
 
Na biashara itamfia.. maana utakuta kwenye hiyo mikataba anayotaka. Kuingia kuna condition ngumu kiasi kwamba yeye ndio atajikuta na wanasheria anataka kujiondoa kwenye mkataba na kukimbia her own idea and business..

Lazima apate mwanasheria na asikate mkataba.. aupokee aureview alete her Amendments huyo Muwekezaji akikataa basi.. sio riziki
Yeye ndio anatakiwa kuandaa agreement,the business idea na bussiness yenyewe ni yake!Kwa nini yeye asainishwe?
 
Na biashara itamfia.. maana utakuta kwenye hiyo mikataba anayotaka. Kuingia kuna condition ngumu kiasi kwamba yeye ndio atajikuta na wanasheria anataka kujiondoa kwenye mkataba na kukimbia her own idea and business..

Lazima apate mwanasheria na asikate mkataba.. aupokee aureview alete her Amendments huyo Muwekezaji akikataa basi.. sio riziki
Kama anauhitaji sana wa hiyo pesa ampe 50% kwa condition ya kua once his initial investment ikiwa realised adrop share zake to between 20%-30%. Ili asiwe na manung'uniko milele. Similarly akitaka kutoa his initial investment ina depreciate kwa 20%-30%. Biashara ni makubaliano ati
 
Remember, you are not an option in this ... He is the option.. his money is not the only money can make you grow.. any money can grow your business.. choose wisely.

Jamaa yako ni shark na anajua Anajikweza.. Ishinde Nafsi Mama.
Yes! Thank you.
 
Huyo gani kuwekeza... He is a [emoji1655]..stay away..

Anatumia fedha na avenue zote za kuku-manipulate akutumie...

Muwekezaji mnapaswa kuwa na uhusiano unaobeba risk sawa.. otherwise huo unakuwa mkopo..

Mkopo huo wa kutaka Malipo ya nusu ya mapato ghafi ...au hata nusu ya faida haupo.. kama lengo lako ni kujenga Biashara yako.

Remember, you are not an option in this ... He is the option.. his money is not the only money can make you grow.. any money can grow your business.. choose wisely.

Jamaa yako ni shark na anajua Anajikweza.. Ishinde Nafsi Mama.
Una advice nzuri sana mkuu,but huyu unayemuadvice anakusikia?Labda anakusikiliza mwambie atafute mtu mwingine ambaye hana na hakuwa na mahusiano naye tangu zamani ainject hiyo pesa waingie ubia ambao unatija kwake,maana naona jamaa anataka kuwekeza kama wale wanaokopesha kwa riba.Mwambie anipe condition za hii biashara aje pm tuwe patners kwa fairnesss kabisa.kama hataki mwambie KUSIKIA KWA KENGE...........
 
Wewe ndiye mwenye biashara... Unajua potential yake...

nashauri awekeze fedha yake umpe 25% ya Faida (ROI) hiyo ni kubwa kuliko atakayepata kwingine kokote.. for simply putting money in a business.

U have to be strong.. Wajasiriamali wengi wanauza biashara kizembe sana.. na this is one of them.."Kuogopa au kuwa na Aibu" Ningekuwa mimi na mikataba Hii ningeoffer 15pc hataki akawekwa fixed account aone..

Usisahau na clause ya kujiondoa yeye.. lazima akupe 12months notice na malipo ya fedha yake yanaweza kuwa kwa awamu ndani ya mwaka moja.. that way you don't hurt your business.
I remember I watched a movie about the guy who started Macdonalds and the way he eventually lost it to Investors.

25% ROI ni nzuri . Thing is I knew nothing about partnership n business laws. I was thinking I need money to grow my business but sikufikiria upande wa pili. Ahsanteni kwa kunifungua macho
 
i have read what all of you have written and what you are suggesting and I agree with all of you. Truth is huyu jamaa hataki hizo mambo zote mlizonitajia cause in the long run he knows he won't get what he wants. He wants to invest kama ameweka pesa kwenye fixed account izae tu bila kuifanyia kazi au hasara.,Yeye anachotaka ni anipe hela hiyo pesa iwe inazaa 50% kila mwezi na hiyo 50% kasema hatoigusa iendelee ku accumulate. Kwa mahesabu hayo since mimi faida yangu sitoiacha humo I'll be using it so in the long run huyu mtu atakua na pesa nyingi in the business than me eventually biashara itakua yake na si yangu tena.

Kama ingekuwa business ni rahisi hivyo, a lot of us would be rich.

Kwamba uweke hela kiasi kwenye business halafu iwe inarudi tu, huo siyo upatu.

Thanks to God, watu kibao wametoa constructive ideas, ukizisoma vizuri utaelewa nini cha kufanya.
 
I remember I watched a movie about the guy who started Macdonalds and the way he eventually lost it to Investors.

25% ROI ni nzuri . Thing is I knew nothing about partnership n business laws. I was thinking I need money to grow my business but sikufikiria upande wa pili. Ahsanteni kwa kunifungua macho

If I were you, I would have returned his money and try to find another way of financing my business.

One advise: it is better to grow at a slow pace, because it gives you all the know how of that business. Getting into loans and poor financing at early stages gives you an exponential growth yes, but keeps you at the risk of going south in no time.
 
Back
Top Bottom