Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Msaada wa kisheria: Partnership kwenye biashara

Kama issue ni kugawana 50/50 profit fanya hivi;

Mkubaliane kukulipa msahara kwa kushughulikia uendeshaji biashara, then faida ibaki pale pale 50/50

Ila be ware, partners wana bare liability hata kwa mambo yaliyofanywa na partner wenzao. Exception ni ndogo san kwenye hili

Msingi muongeze kipengele cha salary ili kiseme salary itakuwaje

Then vipengele vya profit vinaweza baki 50/50

Msisahau kusajili iyo partnership deed yenu kwa registrar wa documents.

Kila la kheri.
 
Habarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"

Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.

Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.

okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.

tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.

shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.

secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.

mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.

Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.

msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.

Wsalaam.
Fanya valuation ya mtaji na madeni ili kujua thamani yake,changia mtaji 50/50 na mkataba uoneshe kwamba mtagawana faida na hasara 50/50.Kwakuwa wewe ndiyo mtenda kazi lazima upate mshahara.Kumbuka akaunti ya buashara lazima iwe ya biashara isiwe ya mtu binafsi huko mbeleni TRA wanaweza kuwasumbueni.

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Exactly! Customers base is growing daily! I have more customers than the product. Sometimes customers have to wait up to 2 weeks ili wapate product. Kama ningekuwa nna mtaji wa kutosha I could meet the demand faster.

I've been growing this business in a year, mtaji unaongezeka but at a small pace, that's why when he came with the idea of investing I got over excited.
Natamani sana niinvest kwenye hiyo biashara yako ila sijakaribishwa. Anyway kama twaweza meet PM tuyajenge please. Niko tayri kuingia makubaliano ya kisheria[emoji4][emoji4][emoji4]
 
Nikimwambia upfront anikopeshe atakataa au atanipa riba kubwa.
Nafikiria ninunue mechandise niende nazo kule, when I reach there nimwambie mzigo huu hapa lakini my conditions are 1,2,3 akikataa basi nitamwambia anipe mda niuze then I'll return his money.
Is it a bad idea??
Dada angu, rudisha pesa ya watu kwanza ndipo umpe masharti yako. Akikubali ndipo upokee pesa, akikataa utakuwa huru. Ukumbuke kuwa mpaka sasa kwa mujibu wa maelezo yako, huyo sio mtu mwema kibiashra so usishangae ukichelewa au kufanya mzaha na pesa yake atakuhesabia muda uliokaa nayo na mwisho utatakiwa kulipa fidia maana anaweza kusema ulifanyia biashara pesa yake. Na kama utagundua kitu hapo kwenye maongezi yenu utaona mnawasiliana zaidi kwa chats na sio calls, unaelew maana yake? Anakukusanya taratibu na hiuo ni hackup trick ya kukubana ukitaka kuruka viunzi.
 
nimekwepa kusoma coment za wengine kukwepa wasije kunitoa kwenye point....point yangu ni kwamba....ume sema biashara inaenda vizuri!na huyo jamaa haupo naye kimapenz kwa sasa na kama biashara inaenda vizur unatak partinership ya nn tena?....pia huyo jamaa kuwa nae makin wenda anatafuta njia ya kukuporomoa ili akutawale ndo mrudiane vizuri....nime andik nimelewa lkn hta ningekuwa timamu intetion yangu inge bak hivihivi.....heri ya x mass n new year
Nakazia!

Usipozingatia ushauri huu kuna siku utakuja hapa ukilia sababu ya huyo mpasha kiporo
 
Nikimwambia upfront anikopeshe atakataa au atanipa riba kubwa.
Nafikiria ninunue mechandise niende nazo kule, when I reach there nimwambie mzigo huu hapa lakini my conditions are 1,2,3 akikataa basi nitamwambia anipe mda niuze then I'll return his money.
Is it a bad idea??
Good idea
 
Habarini wana jamvi. Nimeamua kuja hapa kuomba ushauri kwa hili swala. Nimeona nije kwa watu wasionifahamu ili kuondoa "conflict of interest"

Straight kwenye mada, kuna biashara nimekua nikifanya kwa muda wa mwaka mmoja sasa. Nilianza from scratch mwenyewe bila msaada kutoka kwa mtu yeyote. Okay alhamdulilah one year down the line biashara imekua , na ina potential ya kukua zaidi. Yani inshort si meet demand ya wateja kwa sababu nna limited funds.

Unajua tena ukianza kufanya kitu watu huwa wanakucheki tu kuona how far you will go with it.

okay nisiwe muongo I want to bring all the facts ili mnipe ushauri mzuri, kuna jamaa nilikua natoka nae sawa, katika mapenzi yetu tulivyokua tuna share mambo yetu akawa intrested na biashara yangu, jinsi nnavyoifanya na faida nnayoitengeneza alivutiwa ku invest lkn katika mda ule alikua na mambo mengi hakuweza. Sasa tumeachana na huyu jamaa lakini karudi anataka ku invest . For my own safety nimemwambia a invest the same amount that my business is worth ili asinizidi kete.

tatizo liko hapa, although huyu jamaa ana invest fedha lakini management na operations zote ntakua nafanya mimi. It's an online business currently I run all social media, Facebook, Instagram, WhatsApp business etc. na kama mnavojua online business haina muda wa kufunga yani nakua online muda wote. Nashughulikia logistics kuorder, kusafirisha mpaka kupokea mzigo ni mimi. Sales na deliveries nafanya mimi na ntaendelea nafanya mimi cause this guy yeye anaishi mji mwingine.

shida inakuja hapa, huyu jamaa anataka tugawane profit 50,50. Nimefikiria mimi ndo ntakua ninafanya kazi zote muda wote it is unfair kugawana faida sawa bin sawa.

secondly kuna mtu nimemuuliza kaniambia kama mimi ndo ntakua nna run hiyo biashara full time ikitokea huko mbeleni tukapata hasara basi jamaa anaweza kunibana nimlipe pesa yake + profit. Sijajua hili lina ukweli kiasi gani. Lakini hiki kimenifanya niogope.

mimi nataka tugawane 60% by 40% profit kwa sababu nlizozitaja hapo.
Also jamaa anataka ku draft some kind of legal paper work which will legally bind me in the contract. Sitaki ku sign kitu kitakacho niweka matatizoni baadae au hata kupotezq biashara yangu kabisa cause this is all I got.

Guys nipeni ushauri unaoeleweka, ushauri ulioenda shule. Kama kuna lawyers humu ndani itakua vizuri zaidi.

msiuseme muandiko wangu hakuna alionilipia ada humu ndani.

Wsalaam.
By the way huyu ndio yule njemba that cant make the first move ama alishajasiria na kufanikiwa kuonankifuniko cha asali 😜
 
Bro huku HHM mimi ni mtu na heshima zake respected entrepreneur. Ya kule MMU tuyaache kule kule 😂
Sawa respected entepepenyua...sasa mbona hujaleta makabrasha dragons tufanye uwekezajj au karatasi hazijakaa sawa?
 
Habari;

Mdau hapo kuna mkanganyiko wa mambo, kuna masuala ya kimazoea na ya kuitaalamu -uhasibu ambayo yana sehemu 2

1.Mgawanyo unategemea capital contribution. Mfano partner A amechanga mtaji 500 na Partner B amechangia 1000 jumla ni 1500

2. Makubaliano yenu partners

* kisheria lazima kufanya hayo kwa maandishi (partnership deed)

1.Mgawanyo wa faida unakua kama ifuatavyo
A atapata 500/1500 x FAIDA
B atapata 1000/1500 x FAIDA

FAIDA = Mapato -Matumizi.

matumuzi = pesa iliyotumika kuendesha biashara: ikiwa pamoja na mshahara wa wafanyakazi/manager. Kama wewe ndio mfanyakazi/manager inamaana unatakiwa kujilipa sawa na vile mungeajili mtu baki.
Kwahiyo -jasho lako(kazi) linalipika hapo kabla ya kugawana faida.
Kwa maana nyingine hata kama mlipatana 50/50 kiuhalisia wewe utapata zaidi kwa maana ulishapata mshahara kama manager nk

Kukubali ama kukataa deal ni wewe,

Ingawa kwa kesi yako, unatakiwa kuwa makini kwasababu huyo mwenza ashaona jambo. Na mbili mahusiano ya mwanzo yata sehemu kubwa kuharibu uhalisia wa biashara ama maamuzi sahihi.
Ingawa income injection ya kiurahisi kama hiyo inashawishi sana; na sio hivyo huo mpunga unatakikana kupush biashara yako mbele/mbali zaidi; au sindivyo?

Dude! Mungu akusaidie kua na maamuzi sahihi. Barikiwa
 
KWA HUDUMA

KUSAJIL KAMPUNI
-jina la Biashara
-limited caompany
-partneship

HESABU ZA KAMPUNI(FINANCIAL STATEMENTS)

KUANDIKA MEMORANDUM

USAFI WA:
-Majumbani
-Viwandani
-maofisini
-hosipitalini
-shuleni
-maeneo ya jamii

TUKO NA UZOEFU WAKUTOSHA

Wasiliana nasi kwa # 0788104228

USHAURI NI BURE

Popote ulipo TANZANIA tunakupa huduma.
Klin&Brite
 
Back
Top Bottom