Ndio utakuwa na kosa kwakadri ya ukubwa wa mti na adhari zake ukate tuHabari wakuu,
Hivi ikitokea mti uliopo kwenye eneo lako(kwa maana ya ardhi) ukaangukia upande wa jirani mnae pakana nae na ukaleta madhara yawe makubwa kama kuua au madogo mfano kulalia bati likapinda au kuvunja sehem ya choo nk bila mti huo kusababishwa na mtu km kukatwa,ni kwamba umeanguka wenyewe tu au sehemu ya tawi limekatika labda kwa upepo,je mimi mmiliki wa mti huo(eneo) nitakua na kosa kisheria?,
Tusaidiane uelewa.
Ahsante.
Utakuwa na kosa na utashtakiwa tuHabari wakuu,
Hivi ikitokea mti uliopo kwenye eneo lako(kwa maana ya ardhi) ukaangukia upande wa jirani mnae pakana nae na ukaleta madhara yawe makubwa kama kuua au madogo mfano kulalia bati likapinda au kuvunja sehem ya choo nk bila mti huo kusababishwa na mtu km kukatwa,ni kwamba umeanguka wenyewe tu au sehemu ya tawi limekatika labda kwa upepo,je mimi mmiliki wa mti huo(eneo) nitakua na kosa kisheria?,
Tusaidiane uelewa.
Ahsante.
Asante kwa maoni yako mkuu,Ndio.
Kama mmiliki wa mti ulichukua tahadhari zipi kuhakikishi mti hauleti madhara kwa jirani.
Negligence yako inavuka vipimo gani??
Ni upi utambuzi wako juu ya madhara ya mti?
Ulifanya uzembe?
Madhara yaliyotokea ni yapi na yanashabihiana vipi na kwa kiasi gani na negligence yako?
cc Malcom Lumumba
Nadhani kwa mujibu wa sheria za torts unawajibika kulipa. Kwasababu mtu anajetunza kitu huku kwa uelewa wa kawaida "ordinary man" akijua kwamba kwa namna moja au nyingine kinweza kuleta madhara "does so at his own peril"Habari wakuu,
Hivi ikitokea mti uliopo kwenye eneo lako(kwa maana ya ardhi) ukaangukia upande wa jirani mnae pakana nae na ukaleta madhara yawe makubwa kama kuua au madogo mfano kulalia bati likapinda au kuvunja sehem ya choo nk bila mti huo kusababishwa na mtu km kukatwa,ni kwamba umeanguka wenyewe tu au sehemu ya tawi limekatika labda kwa upepo,je mimi mmiliki wa mti huo(eneo) nitakua na kosa kisheria?,
Tusaidiane uelewa.
Ahsante.
Ivi uko serious kweli?Asante kwa maoni yako mkuu,
Inawezekana kabisa nilifanya kila jitihada kama vile kuupogoa matawi kadhaa ambayo mimi niliona yanahatari kama wajibu wangu lakin bado mimi pia nina uhitaji na mti kwa kivuli na faida zingine,pili huyu mtu wakati ananunua eneo aliukuta huo mti na pengine aliona kwamba upo karibu na atakapojengo je yeye kwanini hakuchukua tahadhari ya kuacha hilo eneo,je yeye wajibu wake ulikua upi?,mwisho kilichosababisha mti kukatika ni janga la kiasili kama vile upepo au radi nk kwanini niwajibike?
Ningekuelezea sema mlongolongo...Nipo serious mkuu,nahitaji kujua ndio maana nimeuliza lengo ni kueleweshana kama ni kosa elezea ni kwa sheria ipi ya nchi yetu ili nipate kuelewa
Sheria za tort zipo wazi. Kwa kifupi inaitwa strict liability. Mtu yeyote akiweka kitu kwenye ardhi basi kisilete madhara kwa mtu mwingine. That's why kupitia strict liability, bomba la serikali la mafuta lilipoungua na kuwaka moto na kusababisha madhara kwa watu wa hapa dar nadhani buguruni, walilipwa.Je wajibu wa mnunuzi wa eneo ni upi?,maana wakati ananunua alipaswa kuona hatari iliopo mbele yake
Kuhusu wajibu wa mnunuzi ni kuwa kuna msemo unasema "customers beware" au kwa lugha ya kisheria katika mikataba basi kuna kitu kinaitwa "as is bases" yaani tafsiri yake ni kuwa ukinunua kitu chochote huwa una wajibu wa kufanya research, kupata ushauri na kisha kujua athari ya hicho kitu ili ukinunua basi UMENUNUA NA MAPUNGUFU YAKE. Iwapo umenunua gari kwa mfano then after two weeks likaharibika, km ni used utamrudishia? Hyo ndo tafsiri ya "As is bases" na wewe mnunuzi pia umo kwenye kundi Hilo.Je wajibu wa mnunuzi wa eneo ni upi?,maana wakati ananunua alipaswa kuona hatari iliopo mbele yake
Mkuu hii ni strict liability na si negligence. Ukishtaki kwa njia hii preliminary objection inakuhusu na unaweza shindwa kesi. Soma vizuri strict liability na negligence. Japokuwa unaweza tafsiri kama kuna uwiano lakini strict liability inahusu zaidi jambo lolote ulilosimika, panda, au kuweka chini ya ardhi ikasabisha hasara kwa mtu mwingine.Kwenye sheria hiyo tunaita 'Negligence' meaning "breach of a duty of care which results in damage."
Ni kosa kisheria.
Huwezi kuacha kuchukua tahadhari kwa kutoukata mti au ku prune matawi ambayo kwa njia moja au nyingine yanaweza kuwa hatarishi kwa usalama wako na jirani yako.
Kumbuka kuwa hata kama mti huo ukiangukia kwako na kusababisha madhara kwa binadamu au mnyama yoyote bado utakuwa na kesi ya kujibu.
Asante kwa ufafanuziKuhusu wajibu wa mnunuzi ni kuwa kuna msemo unasema "customers beware" au kwa lugha ya kisheria katika mikataba basi kuna kitu kinaitwa "as is bases" yaani tafsiri yake ni kuwa ukinunua kitu chochote huwa una wajibu wa kufanya research, kupata ushauri na kisha kujua athari ya hicho kitu ili ukinunua basi UMENUNUA NA MAPUNGUFU YAKE. Iwapo umenunua gari kwa mfano then after two weeks likaharibika, km ni used utamrudishia? Hyo ndo tafsiri ya "As is bases" na wewe mnunuzi pia umo kwenye kundi Hilo.
Swali lako linaendana na hii picha... ngoja wenye majibu waje..View attachment 875867
Ila mkuu defence zipo na ni kwa namna gani wakili anawez fika eneo na pia kuweza kung'amua kama anaweza convince the court kutoka strict liability to ACT BY GOD na mahakama ikamuelewaAsante kwa ufafanuzi