Farolito
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 12,001
- 27,175
Habari wakuu,
Hivi ikitokea mti uliopo kwenye eneo lako(kwa maana ya ardhi) ukaangukia upande wa jirani mnae pakana nae na ukaleta madhara yawe makubwa kama kuua au madogo mfano kulalia bati likapinda au kuvunja sehem ya choo nk bila mti huo kusababishwa na mtu km kukatwa,ni kwamba umeanguka wenyewe tu au sehemu ya tawi limekatika labda kwa upepo,je mimi mmiliki wa mti huo(eneo) nitakua na kosa kisheria?,
Tusaidiane uelewa.
Ahsante.
Hivi ikitokea mti uliopo kwenye eneo lako(kwa maana ya ardhi) ukaangukia upande wa jirani mnae pakana nae na ukaleta madhara yawe makubwa kama kuua au madogo mfano kulalia bati likapinda au kuvunja sehem ya choo nk bila mti huo kusababishwa na mtu km kukatwa,ni kwamba umeanguka wenyewe tu au sehemu ya tawi limekatika labda kwa upepo,je mimi mmiliki wa mti huo(eneo) nitakua na kosa kisheria?,
Tusaidiane uelewa.
Ahsante.