Chrost
Member
- Aug 17, 2022
- 38
- 24
Salaam,Mnamo mwaka 2003 kulitokea Bomoa bomoa katika maeneo ya Jeshi la wananchi kambi ya Changanyikeni 691 kj.
Raia walituhumiwa kuvamia maeneo ya jeshi na kujenga bila kibali
Baada ya nyumba hizo kubomolewa baadhi ya waliobomolewa (waliokuwa na uwezo wa kuchangia pesa kwa ajili ya wakili) walifungua kesi ambapo baada ya kesi kuunguruma kwa miaka 16,Jeshi liliamuliwa na mahakama kuwalipa fidia waliobomolewa.
Utata unaanzia hapa
Jeshi lililipa fidia kwa wale waliobaki mpaka mwisho wa kesi wale walioshindwa kutoa pesa ya wakili wakawekwa pembeni Swali langu hapa hii KISHERIA Imekaaje?
Tulijaribu kuwafata wale walioshinda Kesi na kulipwa, kwa bahati mbaya Hawatoi ushirikiano !
Wajuzi wa Sheria hii imekaaje?
Je tunaweza fanya kitu tukapata haki yetu?
Kama inawezekana Je ni hatua zipi zifuatwe?
ASANTENI,Home of Great Thinkers.
Raia walituhumiwa kuvamia maeneo ya jeshi na kujenga bila kibali
Baada ya nyumba hizo kubomolewa baadhi ya waliobomolewa (waliokuwa na uwezo wa kuchangia pesa kwa ajili ya wakili) walifungua kesi ambapo baada ya kesi kuunguruma kwa miaka 16,Jeshi liliamuliwa na mahakama kuwalipa fidia waliobomolewa.
Utata unaanzia hapa
Jeshi lililipa fidia kwa wale waliobaki mpaka mwisho wa kesi wale walioshindwa kutoa pesa ya wakili wakawekwa pembeni Swali langu hapa hii KISHERIA Imekaaje?
Tulijaribu kuwafata wale walioshinda Kesi na kulipwa, kwa bahati mbaya Hawatoi ushirikiano !
Wajuzi wa Sheria hii imekaaje?
Je tunaweza fanya kitu tukapata haki yetu?
Kama inawezekana Je ni hatua zipi zifuatwe?
ASANTENI,Home of Great Thinkers.