the locksman
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 1,102
- 355
Kuna ndugu yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa ngozi,tumejaribu kutumia dawa tulizoandikiwa na daktari,alionyesha dalili za kupona lakini hali imerudia tena.
Leo kuna dawa tumeambiwa tununue inaitwa VINCRISTINA, naomba kama mtu anafahamu hii dawa kwa ugonjwa huu,anisaidie kwa ushauri.
Leo kuna dawa tumeambiwa tununue inaitwa VINCRISTINA, naomba kama mtu anafahamu hii dawa kwa ugonjwa huu,anisaidie kwa ushauri.