Yeah naimani utapata ufumbuzi mkuu.Asante.
Napeleka wakacheki hizo T pipes, radiator hoses, Oil Cooler na water pipes nyingine. Nitacheki na water pump pia, nasikia huwa ina seal inaweza ku leak pia.
Extrovert niliuliza hivi gari inayopungua coolant Mara kwa Mara inatoa moshi mweupe mwingi muuliza swali akanijibu unatoka mweusi kwa mda then unaacha .SASA KWANGU COOLANT INAPUNGUA SIYO KIVIIILE ILA MOSHI UNATOKA MWEUPE MWINGI una experience nayo ?Pia acheki T-Connectoin.
Sijui kitaalamu inaitwaje ila kimsingi kuna pipe inayotoka kwenye kwenye radiator inaingia kwenye engine na kwenye kitu kama ac hivi. Ina umbo la T. Ikichoka inakatika inakuwa inavujisha maji pembeni ya engine.
Nilifululiza siku 3 najaza reservior tank baada ya masaa machache nakuta iko empty. Kufuatilia ndio nikaja sanuka kumbe imepasuka nikaenda nunua kingine kikaungwa tatizo kwisha.
Extrovert niliuliza hivi gari inayopungua coolant Mara kwa Mara inatoa moshi mweupe mwingi muuliza swali akanijibu unatoka mweusi kwa mda then unaacha .SASA KWANGU COOLANT INAPUNGUA SIYO KIVIIILE ILA MOSHI UNATOKA MWEUPE MWINGI una experience nayo ?Pia acheki T-Connectoin.
Sijui kitaalamu inaitwaje ila kimsingi kuna pipe inayotoka kwenye kwenye radiator inaingia kwenye engine na kwenye kitu kama ac hivi. Ina umbo la T. Ikichoka inakatika inakuwa inavujisha maji pembeni ya engine.
Nilifululiza siku 3 najaza reservior tank baada ya masaa machache nakuta iko empty. Kufuatilia ndio nikaja sanuka kumbe imepasuka nikaenda nunua kingine kikaungwa tatizo kwisha.
Mkuu hio ni underlying condition ya seals za piston (piston rings). Zikiwa zimeisha zinaruhusu leakage ya oil au maji kwenye combustion chamber inayopelekea oil/ maji kuchanganyika na mafuta wakati wa uchomaji hivyo kupelekea ule moshi mweupe au wa blue sometimes.Extrovert niliuliza hivi gari inayopungua coolant Mara kwa Mara inatoa moshi mweupe mwingi muuliza swali akanijibu unatoka mweusi kwa mda then unaacha .SASA KWANGU COOLANT INAPUNGUA SIYO KIVIIILE ILA MOSHI UNATOKA MWEUPE MWINGI una experience nayo ?
Seals za pistons au piston rings zikiisha zinaruhusu oil pekee kuingia kwenye combustion chamber na ndipo pale gari inatoa moshi wa blue...Maji hayawezi kuingia kwenye combustion chamber kwa kupitia piston rings otherwise hilo gari liwe lina shida ya kuchanganya oil na maji.Mkuu hio ni underlying condition ya seals za piston (piston rings). Zikiwa zimeisha zinaruhusu leakage ya oil au maji kwenye combustion chamber inayopelekea oil/ maji kuchanganyika na mafuta wakati wa uchomaji hivyo kupelekea ule moshi mweupe au wa blue sometimes.
Safi mkuu umeeleweka vyema kabisa.Seals za pistons au piston rings zikiisha zinaruhusu oil pekee kuingia kwenye combustion chamber na ndipo pale gari inatoa moshi wa blue...Maji hayawezi kuingia kwenye combustion chamber kwa kupitia piston rings otherwise hilo gari liwe lina shida ya kuchanganya oil na maji.
Maji yanaweza kuingia kwenye combustion chamber kwa kupitia cylinder head gasket iliyochoka, cylinder head iliyopinda, au kama block engine imepiga crack kitu ambacho ni nadra saaaana...hapa ndiyo pale tunapata moshi mwingi mweupe kwa sababu maji yanakuwa yanaungua na kuwa mvuke..
Sent using Jamii Forums mobile app
Fundi gani mzuri wa radiator hapa Dar?Pia acheki T-Connectoin.
Sijui kitaalamu inaitwaje ila kimsingi kuna pipe inayotoka kwenye kwenye radiator inaingia kwenye engine na kwenye kitu kama ac hivi. Ina umbo la T. Ikichoka inakatika inakuwa inavujisha maji pembeni ya engine.
Nilifululiza siku 3 najaza reservior tank baada ya masaa machache nakuta iko empty. Kufuatilia ndio nikaja sanuka kumbe imepasuka nikaenda nunua kingine kikaungwa tatizo kwisha.
Kwa Dar sina fundi specific wa radiator ambaye namfahamu.Fundi gani mzuri wa radiator hapa Dar?
Ok, ngoja niendelee kumtafutaKwa Dar sina fundi specific wa radiator ambaye namfahamu.